Ungekua unawauliza FOREX TRADERS wote ningekujibu vizuri kabisa ILA kwa sababu unawauliza wale walio fundishwa na unaye muita ONTARIO basi sina cha kukujibu.Imeshapita miaka miwili sasa taangu Ontario awafundishe ku download pesa na msemo wenu wa Forex is not for everyone.... mkasema tuwaache mpige pesa vipi jamani Mnaendeleaje na Kudownload fedha?
Ontario siku hiz anapatikana wapi?
Ontario yupo kule Instagram anaendelea kukamata maboya dailyImeshapita miaka miwili sasa taangu Ontario awafundishe ku download pesa na msemo wenu wa Forex is not for everyone.... mkasema tuwaache mpige pesa vipi jamani Mnaendeleaje na Kudownload fedha?
Ontario siku hiz anapatikana wapi?
Unamzungumzia CCNP Engineer jamaa alipotea baada ya kuumbuliwa na Humble Africanwe si ndio ulitengeneza mamilioni kwenye forex mpaka utakata kuacha kazi?
Tupo tuna make money au .mupaka tukutangazie usiwaze tuna endelea kumake money @ kama ww unaliwa ni ww sis wengine tunajua tunacho kifanya bro @ forex is simple kama ni ngumu ni kwako @Imeshapita miaka miwili sasa taangu Ontario awafundishe ku download pesa na msemo wenu wa Forex is not for everyone.... mkasema tuwaache mpige pesa vipi jamani Mnaendeleaje na Kudownload fedha?
Ontario siku hiz anapatikana wapi?
Dahhh jamaa mjanja huyu kwa kusaka viewrs kwenye you tube channel yake! eti usijaribu kuanza forex kabla hujaview video
😂 😂 😂 😂 😂Ondoa kwanza picha ya Meko ili tukupatie majibu yanayoendana na ulichouliza.
Aliumbuliwaje mkuu ? NisimulieUnamzungumzia CCNP Engineer jamaa alipotea baada ya kuumbuliwa na Humble African
Daah, JF Kuna mambo Sana humu.Aliumbuliwaje mkuu ? Nisimulie
Maana huyu jamaa alipost mpaka vyeti alikuwa TO na chuo alipiga GPA kali kwa muujibu wa maelezo yake, na aliplan kuacha kazi kisa Forex
wana DOWNLOAD pesa? 🤣 🤣 🤣Imeshapita miaka miwili sasa taangu Ontario awafundishe ku download pesa na msemo wenu wa Forex is not for everyone.... mkasema tuwaache mpige pesa vipi jamani Mnaendeleaje na Kudownload fedha?
Ontario siku hiz anapatikana wapi?
Mimi soo forex trader na wala sijawahi ila hii thread uliyoianzisha sickens me....Imejaa unafiki which sidhan kama ni intention ya hili jukwaaImeshapita miaka miwili sasa taangu Ontario awafundishe ku download pesa na msemo wenu wa Forex is not for everyone.... mkasema tuwaache mpige pesa vipi jamani Mnaendeleaje na Kudownload fedha?
Ontario siku hiz anapatikana wapi?