forex

  1. Dit000

    Wadau wa CFD forex traders pita hapa tubadishane mawazo

    Baada ya kupitia BOT nikaona kitu kinaitwa IFEM yaani interbank foreign exchange market, imenichanganya how it works kwamba ni mfumo unaodili globally au ndani ya nchi, nikaamua kuingia chimbo nikakutana na melezo haya, LONDON, NEW YORK – EBS(electronic brokering service), ICAP’s...
  2. Fbn

    Waliofanikiwa kwa njia wanazozijua wao wanajiona motivational sana!

    Hili swala ni zuri sana, Ila kuna watu wanajifanya kuwa na ushawishi wa kuhamasisha kujituma ili kupata mafanikio. Mfano wa watu hawa: Forex scammer makahaba ya grade za juu watoto wa wakubwa na matajiri waliopata pesa kwa njia za madawa ya kulevya na biashara za ajabu ushirikina shoo off za...
  3. KijanaHuru

    Kilichonifanya niachane na forex ni hiki hapa

    Najua wote muwazima Wacha nisonge kwa mada moja kwa moja. Nimewahi kuleta maandiko mbali mbali ya forex humu kwa siku za nyuma kipindi nikiwa naifanya nk Kwa mara ya kwanza nimeijua mwaka 2013 japo nilianza rasmi kuisoma na kuifanya mwaka 2015, kwa uhalisia siwezi sema nimewahikuliwa...
  4. Post M-alone

    Forex haiwezi kukutoa kimaisha, ni bora ubeti au ukalime

    Wakuu habari zenu, Baada ya kupigwa pesa zangu kwenye forex nimeamua na mimi nije kushare jinsi forex ilivyopelekea mpaka nime break up na gf wangu, lakini yote maisha nimejua wanawake almost wote ni lowkey gold diggers, kwa nini nasema hivyo nimepigwa $3200, $1000 zilikuwa ni za kwangu...
  5. Dit000

    Is forex difficult to learn?

    ONGEZA MAALIFA KIDOGO, WANAUCHUMI KARIBU KWA MAONI. Hili game ni mfano wa kundi la watu watano( hapa namanisha banks,commercial banks, hedge funds n.k), wamekaa chini wamedesign system inayopanda na kushuka( hapa namaanisha ECN network) kutokana na transactions zinazofanyika humo. Sasa...
  6. Mr simple M

    Forex ni betting tu in another system, nasema forex is gambling

    Wakuu nimekuwa nikifanya hizi kitu zote mbili kwa pamoja. I mean forex na na betting na nimekuja gundua hata forex nayo ni betting tu in another system huku tunabet mechi kule tunabet currency. Tofauti nyingine ni msamiati tu huku pips huku odds huku evaluation huku technical and fundamental...
  7. Ellon

    Kitabu gani cha kusoma baada ya Forex Bible na Candlestick Bible?

    Wadau wa Forex mimi Newbie katika FX, nimesoma vitabu viwili 1)Forex Bible 2)Candlestick Bible Naomba recommendation ya kitabu cha 3 na cha 4 cha kusoma kitachonijenga zaidi na kuendana na mfuatano mzuri wa knowledge. Na itakuwa vizuri ukiniambia humo nitajifunza nini zaidi. NB: Sihitaji...
  8. K

    Utapeli wa biashara ya kuwekeza unaofanywa na kampuni ya FX Fire iliyopo mkoani Mwanza

    Naomba watanzania muwe makini sana na kijana anaitwa Peter Kasanga aliyeko mkoani mwanza mwenye kampuni ya fx fire, anafanya biashara ya uwekezaji yaani unawekeza pesa na mwisho wa mwezi unalipwa 60% ya kiasi cha pesa ulicho wekeza, alikuwa akifanya hii biashara ya uewekezaji tangu mwaka jana...
  9. Artifact Collector

    Matumizi ya nguvu sio mazuri: BoT, Police following black market forex

    Copy and paste Sunday news 👋🏽 ya kuanzia siku 😂 Serikali ya mahodari inaendelea kupaiza uchumi! Sasa kuna soko la magendo (haikuanza leo ilianza 2018 walipopora fedha na kufunga maduka ya fedha) Sasa eti serikali inapambana na soko hili Ila ukweli ni huu (numbers don’t lie) 👇🏽 SASA Manunuzi...
  10. Risk manager

    Uliza swali lako kuhusu CFD, Options, Bonds, Stocks and Currency Trading (Forex)

    Habari zenu wanajamii forum! Kama kichwa cha habari kilivyo nipo hapa kuisaidia umma Wa watanzania kuhusiana na biashara hizi ambazo zimeibuka ivi karibuni kwetu huku lakini ila huko nje ni biashara za muda mrefu sana tokea huko karne ya 18. Sie tumezipata kutokana na ujio Wa simu janja ikiwa...
  11. Troll JF

    Matajiri wa Forex mnaendeleaje?

    Imeshapita miaka miwili sasa tangu Ontario awafundishe ku download pesa na msemo wenu wa Forex is not for everyone.... mkasema tuwaache mpige pesa vipi jamani Mnaendeleaje na Kudownload fedha? Ontario siku hiz anapatikana wapi?
  12. Naantombe Mushi

    Miaka mitatu ya jasho kwenye Forex na ukweli mchungu niliojifunza, still 'GAME ON'!

    Niseme tu ukweli, upepo wa Forex ulivoingia Tanzania na mimi sikuwa nyuma. Nilijitoa na mimi kimasomaso kuisaka fursa. Kwa takribani miaka 3 kwenye game la Forex, imekuwa ni miaka ya kujifunza zaidi. Sikuweka nia ya kupata chochote kwa mda wa short term. Niliamua kupeleleza sana hii biashara...
  13. American nigga

    Wataalam wa Forex naweza kuendelea au niache

    Habari wazee, hivi juzi nilianza biashara ya forex kwa kuweka kiasi cha usd 100 kwenye account. na hii ni history tangu nilivyoanza kutrade hadi sasa, naombeni mnipe ushauri kama naweza kuendelea au niache na kama naweza kuendelea nifanye nini ili nipate matokeo mazuri zaidi
  14. covid 19

    Kwa wale Forex Trader, vipi kuhusu huyu broker wa Forex Exness

    Vipi huyu Broker kwa wale waliomtumia na wanaomtumia vipi kuhusu deposit na withdraw method zake? Vipi spread zake zinabadilika badilika au ni muaminifu? Naombeni moja, mbili tatu kuhusu huyu broker tafadhali nataka nifanye maamuzi hapa.
  15. Mtaalam_the_first

    Forex Trading Tanzania: Yafahamu haya kabla ya kujiingiza kwenye hii Biashara

    Habari, Ndugu Watanzania, mimi nikiwa kama mdau ya Forex Trading, nimeona kuna ulazima wa kuandika Makala hii kumsaidia Mtazania yoyote uko nje atakae au anaye tamani kujiingiza kwenye hii biashara. Waweza jiuliza kwa nini nachukua jukumu hili, mafanikio katika sekta hii sio rahisi kama inavyo...
  16. K

    Msaada kuikuza account yangu ya forex

    Kwa wale wadau wa Forex naombeni maujanja ya kuikuza account yangu ya forex kutoka $250 mpaka $1000 ndani ya mwezi mmoja maana naona kama mimi mwenyewe siwezi. Nina miezi mitatu sasa natrade lakini account haikui kabisa kwani naweza kupata $40 leo kesho nikapoteza $60, nimejaribu kukomaa na...
  17. Aizi Azma

    Benki ya FNB - Tanzania imesitisha kufungua akaunti za Forex

    Habari wana jukwaa; I must declare; Mimi bado ni mwanafunzi katika tasnia ya FOREX. Sasa jana nilienda pale FNB Ohio st. ili nifungue akaunti ambayo ingekuwa mahsusi kwaajili ya FX tu. Lakini zoezi halikufanikiwa kwasababu niliambiwa kuwa hivi sasa wameamua kutofungua tena akaunti za FOREX...
  18. The Mongolian Savage

    Kijana wa Uingereza kaliza watu mamilioni ya Pauni kupitia Forex

    Mzuqa wanajamvi! Kijana mdogo 'Ontario wa Uingereza' mwenye miaka 20 Garvin Singh mwanachuo Uingereza anayesomea udaktari kaliza watu zaidi ya pauni za uingereza million 3 kwenye Forex aliyoianzisha kwenye Instagram na WhatsApp. Dogo huyo aliyeanzisha Forex yake kwenye Instagram na WhatsApp...
  19. T

    Wazee wenzangu wa kutrade Forex karibuni tufanye analysis ya pair za kutrade leo

    Kwa wale ambao wana trade forex karibuni tujadili pamoja pair za kutrade, kushare signals, kufanya analysis na kujadili kuhusu take profit and stop loss. Wazee wenzangu karibuni sana tu share experience pamoja na signals na risk pia. NB: Risk Only What You Can Afford to Lose Trade up to...
  20. scatter

    Mwaka 2019 unaisha tiririka mafanikio yako ya kufanya Forex

    Wakuu biashara ya Forex kwa Tanzania imeshamiri sana kwa kipindi cha miaka miwili au mitatu iliyopita. Wengi wameingia katika biashara hii lakini baadhi waliamua kuendelea nayo na wengine wameamua kuachana nayo. Kwa mwaka huu baada ya kufanya biashara hii nimefanikiwa kupata pesa na kuwekeza...
Back
Top Bottom