KERO Lugalo hadi Mwenge kuna foleni balaa

KERO Lugalo hadi Mwenge kuna foleni balaa

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Ipaki gari pembeni weka funguo chini ya uvungu kisha nitajie plate number na model ya gari nije nilichukue nikapige misele utanikuta nalo we daka boda wahi unapoenda
 
Kama una mpango wa kuja Mwenge ukitokea Tegeta au mbezi au Kawe tafuta njia nyingine tu

Kuna foleni ya kutisha na haisogei nimekaa hapa ni lisaa limekata hakuna matumaini ya kusogea hata, natamani hata nilitelekeze gari nichukue boda maana kuna mahali natakiwa kuwahi...

Hii ya leo ni kiboko....
Tuna ugeni toka Singapore
 
Nadhani bagamoyo road ifanyiwe uwekezaji mkubwa kupunguza traffic jam, kama ilivokua Mandela road 2013 kurudi nyuma.
 
Kama una mpango wa kuja Mwenge ukitokea Tegeta au mbezi au Kawe tafuta njia nyingine tu

Kuna foleni ya kutisha na haisogei nimekaa hapa ni lisaa limekata hakuna matumaini ya kusogea hata, natamani hata nilitelekeze gari nichukue boda maana kuna mahali natakiwa kuwahi...

Hii ya leo ni kiboko....
Hapo ni Kila siku Kila. Saa
 
Back
Top Bottom