Imeelezwa kuwa tatizo sugu la foleni katika barabara za jiji la Dar es Salaam linaweza kuongeza msongo wa mawazo kwa watumiaji wa vyombo vya usafiri, kuchochea uchovu kwa madereva na abiria na hatimaye kuongeza uwezekano wa ajali na vifo barabarani.
Hayo yamebainika katika wiki ambayo jiji...
Barabara ya Moshi-Arusha magari hayatembei kuanzia Kia mpaka Arusha Mjini.
Haijulikani changamoto ni nin hasa na wale wa kutoka moshi kwenda arusha wametanua njia nzima na wale wa kutoka arusha kwenda moshi nao wamefanya hivyo hivyo.
Wahusika wenye mamlaka watatue changamoto hii kwani ni zaid...
Huu mji mgumu aisee. Ikifika hii mida ya kurudi majumbani kuna foleni aisee gari hazitembei kabisa.
Kama jioni hii una rwtiba ya kutumia hii barabara fikiria mara mbili.
Kutokana na lori la mafuta lililoanguka Kunduchi limezua foleni kubwa siku nzima ya leo
Tunaomba wahusika walitoe tupumue Maana wameanza kunyonya mafuta
Huwa nasikia awamu hii imefanya mambo makubwa. Kuna hii barabara inayounganisha bandari ya Dar na mikoa karibu yote nchini, lkn pia nchi jirani zinazotumia bandari yetu.
Cha ajabu ni kwamba barabara ya Kibaha Chalinze bado ni nyembamba sana hivyo kusababisha foleni kila siku.
Sasa hivi...
Moja kati ya matukio muhimu ambalo nataraji litapewa nafasi, ni kwa hawa manahodha wa vivuko kuandaa kama ki-parade hivi, wakiwa na mavazi yao meupe, kofia zao, huku wakipunga bendera ya taifa kuashiria kwamba wamekamilisha kazi yao ya kishujaa kwa uaminifu na uzalendo mkubwa, na sasa wanawaaga...
Habari wakuu,
Siku za hivi karibuni kumekua na foleni kali sana kuanzia saa kumi na mbili jioni kuendelea, foleni hiyo inaanzia pale Goba centre mpaka njia nne na ile barabara ya kuelekea mbezi mwisho, mara kadhaa nimeshakutana na hii foleni nyakati za jioni nikiwa natoka kazini, imekua kero...
Watu wengi nchini Denmark, hasa wanaoishi mijini, wanapenda sana baiskeli zao. Hufanya hivi ili kupata uhuru binafsi ambao unawapa fursa ya kuingia na kutoka kwenye msongamano wa magari mjini.
Ukiwa kwenye baiskeli, huhitaji kusubiri kwa muda mrefu. Huhitaji pia kungoja basi lifike au kuingia...
Kumekuwa na ongezeko la foleni kubwa jijini Dar es Salaam, hasa kwenye barabara za kutoka Mwenge kwenda Tegeta, Mwenge kwenda Buguruni, na Posta kuelekea Mwenge, hasa nyakati za asubuhi na jioni.
Je, sababu ni magari kuongezeka? Au ni miundombinu ya barabara kuwa mibovu? Au ni kutokana na...
Mvua ambayo imenyesha maeneo mengi ya Dar es Salaam tangu jana (Mei 8, 2025) imesababisha foleni sehemu nyingi, hapa ni maeneo ya Kimara Mwisho, Stop Over hadi Ubungo Kijazi, kuna foleni kubwa na tumekaa hapa kwa zaidi ya saa moja sasa.
Hali hii sijui itaisha lini hata kama hakuna mvua kila...
Jeshi la Polisi limetumia mabomu ya machozi kuwatawanya madereva bajaji Tunduma, ambao wamefunga barabara za kuingia na kutoka katika mji huo wakishinikiza serikali kuondoa msongamano wa malori kwenye eneo hilo unaokwamisha shughuli zao.
Kwa zaidi ya miezi miwili eneo la Karume ambalo ni maarufu kwa wafanyabiashara wa mitumba kumekuwepo na changamoto ya foleni ambayo inatokana na ujenzi wa njia ya Mwendokasi.
Mkandarasi ameziba njia upande mmoja kwa muda mrefu huku shughuli za ujenzi zikiwa zinafanyika taratibu (slow) jambo...
Habari ndo hiyo. Kwenye uchaguz serikali za mitaa nilienda nipogekura nikaahirisha baada ya kuona mgombea mlengwa ameenguliwa eti hajui kujaza form. Strangely huyo ni mgombea aliyekua mwenyekiti wakati wa rais kikwete
Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye, amesema Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa kiongozi mwenye usikivu mkubwa kwa wakulima wa korosho, akisisitiza kuwa pembejeo za bure alizotoa kupitia serikali yake ni uthibitisho wa dhamira ya kweli ya kuwawezesha wakulima nchini.
Akizungumza Aprili 12, 2025...
Maeneo ya Sabasaba hapa Dodoma, majira ya Asubuhi na Jioni kuna foleni sana ya magari, hakuna utaratibu maalum uliowekwa eneo hilo.
Wakati mwingine Trafiki wanakuwepo lakini si mara zote unajikuta unakaa saa zima foleni.
Yaani hakuna utaratibu mzuri wa kuongoza yake magari pale Soko la...
Takribani wiki mbili sasa malori yamekuwa yakifunga njia ya kuingia kigamboni.
Hii inaonekana taratibu za malori kuingia na kutoka bandarini hazisimamiwi ipasavyo.
Usumbufu wa watumiaji wengine wa njia umekithiri sana.
Hatuoni Jeshi la usalama barabarani likifanya kazi yake ktk hili...
Mrisho Gambo sasa anatakiwa kula chakula alichowalisha wenzake kwa muda mrefu sana, chakula chenye sumu ya fitna. Katika foleni, hakuna aliyebaki isipokuwa ni yeye, na mgawa chakula anamuangalia usoni kwa macho pima akiwa na upawa uliojaa chakula, gambo akiwa na sahani yake mbele ya mgawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.