facebook

  1. A

    Msaada kuset facebook (Instagram Ads)

    Msaada kuset facebook (Instagram Ads). Kama Una Uzoefu Katika kuset target facebooks ads & Instragram njoo Inbox Tuyajenge.
  2. YEHODAYA

    Uganda Rais ashauriwa kuteua Digital Ambassador wa kushughulika na Facebook na mitandao mingine

    Facebook closure will not affect important things in Uganda- Museveni. President Museveni has said the limitation of access to Facebook will not affect the most important things from happening in Uganda. Kenneth Kazibwe by KENNETH KAZIBWE March 1, 2021 at 10:51 am. Facebook closure will not...
  3. Sam Gidori

    Unaishiwa bando haraka? Fahamu namna ya kudhibiti matumizi yako ya data mtandaoni

    Umeshawahi kuwa mhanga wa kifurushi chako kuisha kabla haujakusudia kiishe? Pengine umekuwa ukilalamika kuwa baadhi ya mitandao inakumalizia data zako, na hii inaweza kusababishwa na kutofahamu kiwango cha data kinachotumika kwa matumizi ya kawaida mtandaoni. Si rahisi kuweka makadirio ya moja...
  4. Mathias Byabato

    Appodeal kumaliza usumbufu wa Admob ads na facebook ads

    Wadau. Kama wewe ni developer au unamiliki application nafikiri utakuwa unasumbuka sana na tatizo la ama kupata matangazo ya facebook au admob. hata kama yakipatikan ni nadra sana kudumu kwa muda mrefu. mengi yanakuwa blocked . sasa hapa Appodeal wamekuja na suruhu ambapo wao ukijiunga nao...
  5. Kabelwa

    Nawezaje kupunguza matumizi ya MB kwenye facebook

    Habari wanajamii nimetumia kwa muda mrefu hii application ya facebook lite sasa nimeona nijaribu kutumia hii nyingine facebook ingawa inachukua space kubwa. Sasa nimeshtushwa na ulaji wake wa bando maana linakwenda haraka mno ninaomba kama kuna anaefahamu namna ya kuseti ili isile bando sana...
  6. Kibenje KK

    Do you need Social Media manager?

    It is no doubt that SOCIAL MEDIA is fast becoming a part of our everyday day lives. Currently, over 50% of the world's population use social media. With the rapid increase of active social media users, you should figure out that social media is for your brand/business. The big question is...
  7. Analogia Malenga

    Facebook yawafungia watumiaji wa Australia

    Mtandao wa Facebook umewafungia watumiaji wa Australia ikiwa ni njia ya kupinga suala la Australia kutaka Facebook wawalipe watumiaji wake wanaochapisha habari mbalimbali nchini humo Australia ilizitaka kampuni mbili kubwa za mtandao, Facebook na Google kuwalipa wanaochapisha habari katika...
  8. 2019

    Facebook ya sasa imejaa matapeli, madanga na waganga wa kienyeji tu

    Facebook ya miaka ya 2015 rudi nyuma ilikua tofauti sana na ya sasa. Kwa sasa watumiaji wengi wa facebook ni 1. Matapeli wa mtandao (crypto & investments) 2. Waganga wa kienyeji wapo wengi lakini (west Afrika sana) 3. Wadangaji fake (Wabongo sana) 4. Watu wenye uelewa mdogo (hasa Wabongo) Sioni...
  9. Sam Gidori

    Google yatishia kusitisha huduma zake Australia ikiwa Serikali haitabadili sheria mpya ya malipo ya maudhui, Facebook yafuata mkumbo

    Kampuni ya Google imetishia kufunga huduma zake nchini Australia ikiwa Serikali ya nchi hiyo haitabadili muswada unaoitaka kampuni hiyo kulipia maudhui yanayotoka nchini humo. Mkurugenzi Mtendaji wa huduma za Google Australia, Mel Silva aliiambia kamati ya Senate kuwa hatua hiyo ya serikali...
  10. Analogia Malenga

    India: Wafanyabiashara waomba WhatsApp na Facebook vizuiwe kutokana na sera mpya

    Shirikisho la Wafanyabiashara wa India (CAIT) limeiomba serikali izuie mtandao wa WhatsApp, Facebook na Facebook Messenger kutokana na sera mpya ya Faragha. Wafanyabiashara wamemuandikia Waziri wa Habari na Teknolojia kuwa India inawatumiaji zaidi ya milioni 200 hivyo kuchukua taarifa zao kwa...
  11. Sam Gidori

    Facebook yafungia akaunti za viongozi wa serikali ya Uganda

    Zikiwa zimebaki siku chache kuelekea uchaguzi mkuu nchini Uganda, mtandao wa Facebook umefungia akaunti za viongozi wa serikali kwa tuhuma za kushawishi maamuzi ya umma, mtandao wa AFP umeripoti. Mkuu wa Mawasiliano wa Facebook wa Ukanda wa Nchi za Kusini mwa Sahara, Kezia Anim-Addo amesema...
  12. Mwita Mtu Mrefu

    msaada: jinsi ya kupakua picha kutoka facebook

    Habari. Kwa kipindi cha karibuni nimeanza biashara ya udalali wa magari pikipiki simu vitanda na vitu vingine used hapa Dar. Nimekutana na changamoto ya kupakua picha zilipostiwa FB ili niweze kupost kwingine Naomba msaada ni njia gani nitumie Shukran, Dalali Solo. 0744033555__ TABATA BIMA DAR
  13. Miss Zomboko

    Facebook yakabiliwa na mashtaka ya kuwanunua wapinzani wake kwa lengo la kuwaondoa sokoni

    Kampuni ya #Facebook Inc inaweza kulazimishwa kuuza mali zake ikiwemo #WhatsApp na #Instagram baada ya Tume ya Biashara ya #Marekani kufungua mashtaka dhidi ya kampuni hiyo ikisema ilitumia mkakati wa "kununua au kuzika" kuwarubuni washindani wake Facebook inakuwa kampuni ya pili kubwa kwenye...
  14. Abdalah Abdulrahman

    Kuimarisha mitandao yetu ya kijamii na kuondokana na Utegemezi wa Facebook, WhatsApp na Instagram

    Idadi ya watumiaji wa mitandao ya kijamii Tanzania imeongezeka kwa kasi na kufikia 4.5 Milioni. Idadi hii imegawanyika katika makundi makubwa mawili,Kundi la kwanza ni wale wanaotumia mitandao ya kijamii kwa manufaa bila kuvunja Sheria,na Kundi la pili ni wale wanaotumia mitandao ya kijamii kwa...
  15. Miss Zomboko

    Afisa mpya ya Kamishna wa Kulinda Data atalinda maelezo kuhusu Wakenya yanayohifadhiwa na kampuni za kubwa za kiteknolojia kama vile Facebook, Twitter

    AFISI mpya ya Kamishna wa Kulinda Data italinda maelezo kuhusu Wakenya yanayohifadhiwa na kampuni za kubwa za kiteknolojia kama vile Facebook, Twitter na Google, Immaculate Kassait ambaye ameteuliwa kushikilia wadhifa huo amewahakikishia wabunge. Bi Kassait, ambaye kabla ya Rais Uhuru Kenyatta...
  16. M

    GE2020 Mitandao ya kijamii Tanzania yawa restricted. YouTube, WhatsApp, Twitter, JamiiForums na Telegram zimeguswa - Oktoba 27, 2020

    Najaribu kuingia YouTube lakini inagoma, kama nusu saa iliyopita nilikuwa naipata. Kuna yeyote anapata tatizo kama langu? Natumia Mtandao wa Tigo PIA SOMA = >...
  17. HARAKATI ZOTE

    Msaada kwenye akaunti yangu ya Facebook

    KAMA ULISHAWAHI KUKUTANA NA HILI TATIZO KILA UNAPO LOGIN NIAMBIE ULISOLVE VP? ASUBUHI NJEMA
  18. E

    Baadhi ya wanawake facebook ni matapeli

    Leo nikiwa naendelea kusafu FB, mara nikapokea ombi la urafiki kwa binti mmoja. Mara baada tu ya kumkubali maongezi yalikuwa hivi. Binti. Hi Mimi. Hi mambo Binti. Unapatikana wapi Mimi. Napatikana Dar Binti. Mimi napatikana Arusha ila nyumbani Dar. Mimi. Okay. gud Binti. Sikia basi nitumie elfu...
  19. Miss Zomboko

    Facebook yashtakiwa tena ikituhumiwa kuingilia faragha za watumiaji wa Istagram kupitia kamera za simu

    Kampuni ya Facebook imeshtakiwa kwa tuhuma za kuwafuatilia watuamiaji wa Instagram kwa kutumia kamera za simu zao bila ridhaa ya watumiaji. Facebook imekanusha tuhuma hizo na kueleza kuwa kulikuwa na hitilafu ya programu (bug) ambayo inairekebisha. Imesema kuwa ‘bug’ hiyo ilikuwa ikitoa taarifa...
  20. Thesmartphone class

    Jifunze kutangaza biashara yako na Facebook ads kupitia app ya simu yako

    Habarini wapendwa Kama kichwa Cha huu uzi kinavyojieleza kuhusu Facebook ads. Kwahivyo sisi tumeamua kukufundisha hii huduma kwa kupitia video zitakazo rushwa via WhatsApp messenger. Huduma itatolewa kwa gharama ya Tsh 1000/= na kutukua na full technical support. Napatika kwa WhatsApp no-...
Back
Top Bottom