Express mail is an expedited mail delivery service for which the customer pays a premium for faster delivery. Express mail is a service for domestic and international mail, and is in most nations governed by the country's own postal administration. Since 1999, the international express delivery services are governed by the EMS Cooperative.
Habarini waungwana,
Ni matumaini kwamba watu watakua kwenye maandalizi ya sikukuu ya Pasaka.
Tafadhali napenda kuwajulisha kwamba kampuni niliyoitaja hapo juu inajihusisha na upokeaji na usambazaji wa mizigo inayotoka nje na hasa bidhaa zinazo nunuliwa kwa njia ya mitandaoni.
Ni kwamba...
Government is set to relaunch the Express Penalty System(EPS) and Fine Issuance System(FIS) following a public outcry motorists that caused it to be suspended.
According to an article in the Nile Post, The governmnet under the Ministry of Works and Transport is set to begin fresh consultations...
Kama unahitaji pikipiki kwa usafiri binafsi au kubeba abiria chukua Haojue Express Plus au TVS 125
Na ukihitaji pikipiki ya kubebea mizigo shambani chukua Haojue 125 Mninga utafurahia usafiri wako, nimependekeza hizo kwasababu zifuatazo
1. Ni rahisi kuuza hata ukiwa umeitumia kwa mda mrefu
2...
Habari za majukumu.
Kumekuwa na utaratibu wa abiria wanaokata ticketi online katika kampuni ya GEITA EXPRESS kutozwa gharama za ziada mbali na nauli ilivyoandikwa kwenye mfumo wa ukataji tiketi.
Kwanini hakuna usawa wa gharama za kupata tiketi kwa abiria wanaokata ticketi online na wale...
Anonymous
Thread
abiria
company
express
geita
kampuni
kero
kubwa
kutoza
mabasi
nauli
online
tiketi
Kampuni ya Sea bus express inayofanya route ya Mwanza to Tabora, wanapakia abiria wa kwenda Mbeya badala ya kuwafaulishia Nzega ili wapite njia ya Dodoma Iringa kama walivyokubaliana wao wanawafaulishia Tabora na kupitia njia ya Chunya ambayo ni Barbara ya vumbi.
Nauli ya kutoka Mwanza hadi...
Wakuu, kuna huu mchezo unaendlea huko telegram , unapewa link unaingia kwenye web ya Ali express unalike bidhaa zao unalipwa.
Yeyote mwenye experience, hii ni genuine kwel maana nachojua hamn pesa rahisi hasa mtandaoni. Binafsi nimelipwa hapa ila nahisi kam ni mtego.
Habari wapendwa…
Hivi juzi apo niliona tangazo la kazi kutoka Western Governors University (ni chuo cha online originated huko Marekani), nikafanya interview ( phone interview) na siku chache mbeleni wakaniambia hongera kwa interview na wakanitaka nikusanye taarifa zangu za kibenki kwaajili ya...
Ile kampuni pendwa ya USAFIRISHAJI nchini inapumulia Mashine baada ya Mama wa familia ambae alikua msimamizi Mkuu wa biashara kutangulia mbele ya Haki (RIP) Miaka kadhaa iliyopita.
1. Mabasi chakavu,
2. Hotel Korogwe, huduma mbovu,
3.Ofisi ya Kisutu kufungwa.
**Wazee wa Kichaga kwann...
Dar es Salaam, Tanzania – Tigo Tanzania's recent rebranding of its mobile financial services from Tigo Pesa to Mixx by Yas has sparked mixed reactions among Tanzanians. While the company aims to modernize its brand and offer enhanced digital services, many users have expressed dissatisfaction...
Kuna hii hali mtu unapaanda gari mwendo kasi una haraka zako unakuta gari ya express unaamini itakusaidia kuwahi unapoenda basi abiria wanasogea kwa dereva kuomba msaada vituo vyo ambavyo havipo kwenye utaratibu wa express.
Tanzania bado sana aiseee
Hivi pale Dubai upande metro uende kwa dereva...
Salaam Wakuu,
Naishukuru Serikali kwa kupitia Shirika la reli Tanzania TRC kwa kuendelea na jitihada za kuboresha miundombinu yetu la reli.
Ila kinachonisitikisha, ni uamuzi wa kupachika jina la Mwenyekiti wa chama cha Siasa(CCM) bla kuwashirikisha Wananchi Wanaotoa kodi zao. Hii ni haki...
Invitation To Express Interest
Equinor Tanzania AS, invites interested companies to submit Expressions of Interest for the below services to be carried out onshore the United Republic of Tanzania.
LOT 28: PROVISION OF DRIV ERS AND FLEET MANAGEMENT SERVICES
Companies interested by this...
Habari,
Karibu CITIZEN CARGO LTD
Kampuni ya usafirishaji wa mizigo kutoka CHINA kuja TANZANIA Kwa Ndege (Express Air Cargo)
Gharama zetu ni nafuu kama ifwatavyo;
1. From 1Kg - 10Kg: 12$/Kg
2. From 11Kg - 20Kg: 11$/Kg
3. From 21Kg & Above: 10$/Kg
NB: Bei zetu ni Negotiable.
Muda ni siku 3...
Kama ulikuwa hujui hilo basi sasa anza kuchukua tahadhari mapema. Ama usipande kabisa hilo basi au ukipanda huku ukikaa kwa tahadhari kubwa sana, maana utingo wa basi ndio mastermind.
Kampuni ya mabasi ya Dolphin Express kwa sasa huenda ndio inaongoza kuwa na makondakta (utingo) wezi wa mali za...
Express of Interest (EOI) for the Provision of Transport and
Logistics Services for WFP Tanzania (2024 – 2025).
Express of Interest (EOI) for the Provision of Transport and Logistics Services for WFP Tanzania (2024 -2025).
The United Nations World Food Programme (WFP) is a humanitarian...
Huku magari mengine kama katarama, allys star, isamilo, Abood, happy nation, dar lux (sijui kapotelea wapi) wakikimbizana kupandisha nauli ya Mwanza to dar kwa Sasa ni 78,000/= huyu jamaa zuberi yeye kaishia hapo kwenye 60,000/= yaani huyu Mwamba hajaanza Leo, tokea miaka hiyo yeye nauli zake ni...
PRESS RELEASE 05th September, 2023.
In a joint press statement issued by Tanzania Media Women’s Association (TAMWA Zanzibar), Media Council of Tanzania (MCT) Zanzibar, Union for Journalists who write Development Stories Zanzibar (WAHAMAZA), and Zanzibar Press Club (ZPC) in collaboration with...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limeendelea kuzuia na kudhibiti ajali za barabarani kwa kushirikiana na mamlaka na wadau mbalimbali wa usafirishaji katika Mkoa wa Mbeya.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Benjamini Kuzaga amesema Jeshi hilo linaendelea kuimarisha na kufanya misako na doria katika...
Habari zenu jamani, Beberu nawasalimu kwa bashasha kubwa,
Kwa vipindi vya Asubuhi ndani ya nchi hii hakuna kipindi bora zaidi ya Morning Express cha UFM.
Napendea kipindi hiki vitu vifuatavyo:
✓ Wanatumia kiswahili sanifu sana, Hakuna kiswanglish huku
✓ Wanareport kwa utaratibu, hakuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.