MwajabuOmary
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 2,059
- 2,982
Habarini waungwana,
Ni matumaini kwamba watu watakua kwenye maandalizi ya sikukuu ya Pasaka.
Tafadhali napenda kuwajulisha kwamba kampuni niliyoitaja hapo juu inajihusisha na upokeaji na usambazaji wa mizigo inayotoka nje na hasa bidhaa zinazo nunuliwa kwa njia ya mitandaoni.
Ni kwamba niliagiza bidhaa kutoka China tangu mwezi wa kwanza na bahati nzuri Aliexpress ukilipipia mzigo wako wanakutumia tracking number ya kufuatilia mzigo wako hatua kwa hatua.
Ilichukua si zaidi ya siku 16 mizigo yangu ilifika Dar es salaam. Cha ajabu ni kwamba mpaka kufikia leo zaidi ya siku 30 tangu mizigo ifike Dar sijaipata.
Niliwapata kwa njia ya simu waliniuliza swali la kitoto sana eti wewe umejuaje kama mizigo imefika.
Nikawapigia tena wakaniambia niwatumie tracking number kwa njia ya whatsup nikatuma bila majibu, nilipowapigia tena wakasema hawana whatsup nitume kwa message za kawaida. Nimewatumia kwa njia wliyoitaka wao lkn mpaka leo majibu hakuna.
Miongoni mwa kanuni zao ni kwamba mzigo wa mteja ukifika watakutumia msg kwa ajili ya kupokea lkn hawafanyi hivyo
Nimewatumia msg kwa email yao lkn mpaka leo hakuna majibu.
Naomba mwenye location ya ofisi yao ilipo anipe maelekezo
Naomba kuwasilisha
Ni matumaini kwamba watu watakua kwenye maandalizi ya sikukuu ya Pasaka.
Tafadhali napenda kuwajulisha kwamba kampuni niliyoitaja hapo juu inajihusisha na upokeaji na usambazaji wa mizigo inayotoka nje na hasa bidhaa zinazo nunuliwa kwa njia ya mitandaoni.
Ni kwamba niliagiza bidhaa kutoka China tangu mwezi wa kwanza na bahati nzuri Aliexpress ukilipipia mzigo wako wanakutumia tracking number ya kufuatilia mzigo wako hatua kwa hatua.
Ilichukua si zaidi ya siku 16 mizigo yangu ilifika Dar es salaam. Cha ajabu ni kwamba mpaka kufikia leo zaidi ya siku 30 tangu mizigo ifike Dar sijaipata.
Niliwapata kwa njia ya simu waliniuliza swali la kitoto sana eti wewe umejuaje kama mizigo imefika.
Nikawapigia tena wakaniambia niwatumie tracking number kwa njia ya whatsup nikatuma bila majibu, nilipowapigia tena wakasema hawana whatsup nitume kwa message za kawaida. Nimewatumia kwa njia wliyoitaka wao lkn mpaka leo majibu hakuna.
Miongoni mwa kanuni zao ni kwamba mzigo wa mteja ukifika watakutumia msg kwa ajili ya kupokea lkn hawafanyi hivyo
Nimewatumia msg kwa email yao lkn mpaka leo hakuna majibu.
Naomba mwenye location ya ofisi yao ilipo anipe maelekezo
Naomba kuwasilisha