Hey people,
Kimsingi nilianza kubet mwaka 2017,baada ya kuachana na aliyekuwa mwanaume wangu wa kwanza wakati huo kubet ilikuwa kama mbadala wa kuingia kwenye mahusiano mengine, kwasababu sikutaka kuwa na mahusiano na mwanaume mwingine
Niliona nifocus na shule na mpira
Ninavyoona moja ya “biashara/uwekezaji” iliyokuja kwa kasi kubwa ni kubashiri, kama mnavyoona makampuni mapya kila siku yanaanzishwa
Maswali muhimu ya kujiuliza
Je, mnufaika namba moja ni mkamaria?
Kamari imewekwa ili kumpunguzia au kumuongezea nini mkamaria?
Kwa haraka haraka, experience yangu ya kubet kuanzia 2017 hadi around 2023 ilikuwa nzuri, kwa sababu nilikuwa “namtandika Muindi” kwa kadiri nilivyoweza
Lakini kadri muda ulivyokwenda, nikagundua ni kweli nashinda sana lakini je nashinda katika namna ya faida ama "faida feki"? Wakamaria ni watu wenye imani ya ''ipo siku muindi atakaa'' huku ukiendelea kupoteza bila kujua umepoteza pakubwa kiasi gani
Ukweli ni kwamba kampuni nyingi za betting zimejengwa kubaki kwenye faida tu kama zilivyo biashara zingine
Ukiweza kuacha kubet ni better!
Enwei, kesho games za kutosha wazee
Kimsingi nilianza kubet mwaka 2017,baada ya kuachana na aliyekuwa mwanaume wangu wa kwanza wakati huo kubet ilikuwa kama mbadala wa kuingia kwenye mahusiano mengine, kwasababu sikutaka kuwa na mahusiano na mwanaume mwingine
Niliona nifocus na shule na mpira
Ninavyoona moja ya “biashara/uwekezaji” iliyokuja kwa kasi kubwa ni kubashiri, kama mnavyoona makampuni mapya kila siku yanaanzishwa
Maswali muhimu ya kujiuliza
Je, mnufaika namba moja ni mkamaria?
Kamari imewekwa ili kumpunguzia au kumuongezea nini mkamaria?
Kwa haraka haraka, experience yangu ya kubet kuanzia 2017 hadi around 2023 ilikuwa nzuri, kwa sababu nilikuwa “namtandika Muindi” kwa kadiri nilivyoweza
Lakini kadri muda ulivyokwenda, nikagundua ni kweli nashinda sana lakini je nashinda katika namna ya faida ama "faida feki"? Wakamaria ni watu wenye imani ya ''ipo siku muindi atakaa'' huku ukiendelea kupoteza bila kujua umepoteza pakubwa kiasi gani
Ukweli ni kwamba kampuni nyingi za betting zimejengwa kubaki kwenye faida tu kama zilivyo biashara zingine
Ukiweza kuacha kubet ni better!
Enwei, kesho games za kutosha wazee