Forecaster
JF-Expert Member
- Nov 22, 2013
- 212
- 129
Kwa wenye uzoefu wa Land Rover Discovery nahitaji hii gari je ipo poa Maana naona napewa ushauri kibao hadi unasita...
kila la kheri mkuuKwa wenye uzoefu wa Land Rover Discovery nahitaji hii gari je ipo poa Maana naona napewa ushauri kibao hadi unasita...
Cheki ushauri huu ForecasterDiscovery ipi? Kuna generation I, II, III, IV etc Suspension za umeme (Discovery ii na kuendelea) utaziweza ikifika wakati wa replacement? Discovery generation ya kwanza ndio kidogo naona kwa mazingira yetu inafaa; lakini kupata ambayo bado iko kwenye hali nzuri ni kipengele.
Bajeti yako shingapiKwa wenye uzoefu wa Land Rover Discovery nahitaji hii gari je ipo poa Maana naona napewa ushauri kibao hadi unasita...
Nunua ya petrol na shockups zisiwe za umeme uta enjoy sanaKwa wenye uzoefu wa Land Rover Discovery nahitaji hii gari je ipo poa Maana naona napewa ushauri kibao hadi unasita...
Ford Ranger unyama sanaDiscovery za SA ukiipata ambayo ipo vizuri kutoka kwa kaburu uta enjoy maisha sema hapo home gari nyingi zilikuja kutoka UK na zilikua engine zishafika mwisho watu wakazivamia kwa Tsh 25m mpaka 30m ndio zimejaa garage sasa hivi ila kama una pesa chukua disco 4 ya kuanzia 2014 kuja juu na kipengele cha kodi itabidi uchukue ya 2016 au 2017 ambayo itakua ndani ya muda wa uchakavu..
Naleta sana hizo gari ila kwa watu walio serious..View attachment 3653024View attachment 3653025View attachment 3653025View attachment 3653026View attachment 3653027View attachment 3653029View attachment 3653031View attachment 3653030
Mungu akubariki sana kwa ushauri mzuri sana huu.Discovery za SA ukiipata ambayo ipo vizuri kutoka kwa kaburu uta enjoy maisha sema hapo home gari nyingi zilikuja kutoka UK na zilikua engine zishafika mwisho watu wakazivamia kwa Tsh 25m mpaka 30m ndio zimejaa garage sasa hivi ila kama una pesa chukua disco 4 ya kuanzia 2014 kuja juu na kipengele cha kodi itabidi uchukue ya 2016 au 2017 ambayo itakua ndani ya muda wa uchakavu..
Naleta sana hizo gari ila kwa watu walio serious..View attachment 3653024View attachment 3653025View attachment 3653025View attachment 3653026View attachment 3653027View attachment 3653029View attachment 3653031View attachment 3653030
Duh mabalaa haya nimeona Ford ranger hapo balaa tupu dah umasikini kumanyokoDiscovery za SA ukiipata ambayo ipo vizuri kutoka kwa kaburu uta enjoy maisha sema hapo home gari nyingi zilikuja kutoka UK na zilikua engine zishafika mwisho watu wakazivamia kwa Tsh 25m mpaka 30m ndio zimejaa garage sasa hivi ila kama una pesa chukua disco 4 ya kuanzia 2014 kuja juu na kipengele cha kodi itabidi uchukue ya 2016 au 2017 ambayo itakua ndani ya muda wa uchakavu..
Naleta sana hizo gari ila kwa watu walio serious..View attachment 3653024View attachment 3653025View attachment 3653025View attachment 3653026View attachment 3653027View attachment 3653029View attachment 3653031View attachment 3653030
Gari ya Yesu hioJF hata mwenye Honda hayupo mkuu
Huyu pesa iko mfukoni sio bankKama uchumi wa kati, nakushauri ununue Toyota tu mambo yasiwe mengi.
Mshana Jr ananielwa vizuri nnachomaanisha.
Nimeshauri tu kwa nia njema na sijasema pesa haipo, zingatia neno uchumi wa kati.Huyu pesa iko mfukoni sio bank
Mkuu nimeiona landrover defender hapo...asking price kwa hapo sauzi ni bei gani kwa fedha za mamaDiscovery za SA ukiipata ambayo ipo vizuri kutoka kwa kaburu uta enjoy maisha sema hapo home gari nyingi zilikuja kutoka UK na zilikua engine zishafika mwisho watu wakazivamia kwa Tsh 25m mpaka 30m ndio zimejaa garage sasa hivi ila kama una pesa chukua disco 4 ya kuanzia 2014 kuja juu na kipengele cha kodi itabidi uchukue ya 2016 au 2017 ambayo itakua ndani ya muda wa uchakavu..
Naleta sana hizo gari ila kwa watu walio serious..View attachment 3653024View attachment 3653025View attachment 3653025View attachment 3653026View attachment 3653027View attachment 3653029View attachment 3653031View attachment 3653030
Gari ya ndoto yangu napenda gari za juu juu mpk zinimalize.Nunua ya petrol na shockups zisiwe za umeme uta enjoy sana