Papillon 1906
Senior Member
- Jun 19, 2025
- 198
- 672
Baada ya rejea mbalimbali za matukio ikiwemo penati,faulo na kadi nyekundu katika ligi kuu ya uingereza msimu wa 2025/26.
Imebainika kwamba Manchester city walitakiwa kuongoza ligi kwa pointi mbili akifuatiwa na arsenal kabla ya mechi ya mwisho .
Matukio mawili muhimu:
1.Dalot alitakiwa kupewa kadi nyekundu katika dakika kumi za mwanzo katika mechi ya Manchester derby. City alipoteza 2:0
2.Manchester city alitakiwa kupewa penati katika mchezo dhidi ya Newcastle United. City alipoteza 2:1 ugenini.
Chanzo: Fabrizio romano
Imebainika kwamba Manchester city walitakiwa kuongoza ligi kwa pointi mbili akifuatiwa na arsenal kabla ya mechi ya mwisho .
Matukio mawili muhimu:
1.Dalot alitakiwa kupewa kadi nyekundu katika dakika kumi za mwanzo katika mechi ya Manchester derby. City alipoteza 2:0
2.Manchester city alitakiwa kupewa penati katika mchezo dhidi ya Newcastle United. City alipoteza 2:1 ugenini.
Chanzo: Fabrizio romano