Kimazingira Arsenal kabebwa ubingwa EPL 2025/26

Kimazingira Arsenal kabebwa ubingwa EPL 2025/26

Papillon 1906

Senior Member
Joined
Jun 19, 2025
Posts
198
Reaction score
672
Baada ya rejea mbalimbali za matukio ikiwemo penati,faulo na kadi nyekundu katika ligi kuu ya uingereza msimu wa 2025/26.

Imebainika kwamba Manchester city walitakiwa kuongoza ligi kwa pointi mbili akifuatiwa na arsenal kabla ya mechi ya mwisho .

Matukio mawili muhimu:
1.Dalot alitakiwa kupewa kadi nyekundu katika dakika kumi za mwanzo katika mechi ya Manchester derby. City alipoteza 2:0

2.Manchester city alitakiwa kupewa penati katika mchezo dhidi ya Newcastle United. City alipoteza 2:1 ugenini.

Chanzo: Fabrizio romano

1780566552098.jpg
 
Sahihi
 

Attachments

  • 6306360-0270cef915ef839fd85ba5054429a738.mp4
    2.3 MB
Vipi kadi nyekundu ya foden vs fulham? Na kuna game rodri alikuwa nae apewe kadi sikumbuki na nani
 
Back
Top Bottom