Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,930
- 141,891
……ni [mpaka sasa] kutokutamka kuunga mkono mauaji ya Oktoba 29.
Kama keshatoa kauli kuunga mkono, basi nasimama kusahihishwa.
Kitendo cha yeye kutokusema chochote kuunga mkono mauaji hayo, labda ni dalili kwamba hakukubaliana nayo.
Lakini pia, kama hakukubaliana na hayo mauaji, kwa nini alikubali kuapishwa kiharamu na kufanya kazi na genge la wauaji wasio na mandate yoyote ile ya kuongoza?
Tanzania kwa sasa hatuna Rais wala makamu wa Rais.
Tuna mtawala tu aliyeng’ang’ania kubaki madarakani kiharamu na kwa kupitia damu za watoto na raia wengine wasiokuwa na hatia.
Narudia tena, Samia siyo Rais. Ni mtawala muuaji.
Kama keshatoa kauli kuunga mkono, basi nasimama kusahihishwa.
Kitendo cha yeye kutokusema chochote kuunga mkono mauaji hayo, labda ni dalili kwamba hakukubaliana nayo.
Lakini pia, kama hakukubaliana na hayo mauaji, kwa nini alikubali kuapishwa kiharamu na kufanya kazi na genge la wauaji wasio na mandate yoyote ile ya kuongoza?
Tanzania kwa sasa hatuna Rais wala makamu wa Rais.
Tuna mtawala tu aliyeng’ang’ania kubaki madarakani kiharamu na kwa kupitia damu za watoto na raia wengine wasiokuwa na hatia.
Narudia tena, Samia siyo Rais. Ni mtawala muuaji.