emmanuel nchimbi

Emmanuel John Nchimbi (born 24 December 1971) is a Tanzanian CCM politician and was a Member of Parliament for Songea Town constituency from 2010 to 2015. Currently, he is Chama Cha Mapinduzi General Secretary. He was the Minister of Home Affairs.

View More On Wikipedia.org
  1. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mapokezi ya Mgombea Mwenza Balozi Emmanuel Nchimbi Kishapu – Shinyanga

    MAPOKEZI YA MGOMBEA MWENZA BALOZI EMMANUEL NCHIMBI KISHAPU – SHINYANGA Mgombea Mwenza wa Nafasi ya Rais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Emmanuel Nchimbi, akiwasili Kishapu mkoani Shinyanga kwa ajili ya muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu za CCM, ambapo alipokelewa kwa shangwe na...
  2. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Picha rasmi ya Kampeni: Mgombea urais wa CCM Dkt. Samia na mgombea mwenza Dkt. Nchimbi

    Kuelekea Uchaguzi Mkuu ujao wa Oktoba 29, Hii ndio picha rasmi ya Mgombea Urais Kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Samia Suluhu Hassan. Picha ya pili ni Mgombea mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi
  3. S

    JamiiForums Tanzania GE2025 Asha-Rose Mtengeti Migiro ateuliwa kuwa Katibu Mkuu wa CCM. Achukua nafasi ya Balozi Nchimbi

    Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) taifa imemteua Dkt. Asha Rose Migiro kuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) akichukua nafasi ya Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi ambaye ni Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama hicho.
  4. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Nchimbi: Hatutapokea michango inayopoteza Heshima ya Nchi yetu na kudhalilisha Utu wa Watanzania

    Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Mwenza wa Urais wa chama hicho, Emmanuel Nchimbi, hapa wakati anaongea na Wanahabari mchana wa Agosti 11, 2025 katika ofisi ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba, kuhusu mkakati wa kudhibiti pesa za Raia wa Kigeni amesema; "Kwanza ni jambo muhimu...
  5. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Nchimbi: Tume-scan, tumegundua robo tatu ya Waandishi wa Habari ni wana CCM

    Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Emmanuel Nchimbi, akizungumza na Wanahabari leo tarehe 11 Agosti 2025 katika ofisi ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba wakati wa kutambulisha harambee ya chama itakayofanyika Agosti 12, 2025, pia alitamka kuwa baadhi ya Waandishi wa Habari ni...
  6. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Nchimbi: CCM sio taasisi ya uchunguzi wa fedha haramu, jitihada yetu kubwa ni kujiepusha kuwa Serikali

    Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Mwenza wa Urais wa chama hicho, Emmanuel Nchimbi, amezungumza na wanahabari leo tarehe 11 Agosti 2025 katika ofisi ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba. Akijibu kuhusu jitihada za kudhibiti pesa haramu amesema, "Jitihada yetu kubwa sasa hivi kama...
  7. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 CCM kufanya harambee ya Kitaifa Agosti 12,2025 kukusanya bilioni 100 za kampeni

    Wakuu! Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, na Mwenza wa Urais wa chama hicho, Emmanuel Nchimbi, akizungumza na Wanahabari leo Agosti 11, 2025 katika ofisi ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba amesema, "Tukipokea kila aina ya mchango tutaainisha inapotoka." "Lakini hatutapokea...
  8. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Agosti 9, 2025: Rais Samia achukua fomu ya urais

    Chama cha Mapinduzi kesho, Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi, Dk.Samia Suluhu Hassan na Mgombea Mwenza Dk.Emmanuel Nchimbi, wanaenda kuchukua fomu...kwenye Tume Huru Ya Uchaguzi Dodoma"- Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, CPA Amos Makalla
  9. britanicca

    JamiiForums Tanzania GE2025 Za ndani kutoka CCM zinaeleza kuwa Emmanuel Nchimbi muda wowote anaachia ngazi kwa kujiuzulu

    Za ndaaaniiii Nchimbi Jana alitolewa kwenye kikao kwamba hahusiki, Leo mpango, wa kujiuzulu unasukwa Muda wowote kuanzia leo ataachia ngazi katika nafasi zote - Ugombea mwenza na katibu mkuu Britanicca
  10. F

    JamiiForums Tanzania Pamoja na nyota ya Dkt. Nchimbi kung'aa sana mwaka huu lakini bado nasema 'No reforms no election'

    Ni wazi kuwa mambo ya maridhiano yamemshinda Rais Samia na sasa amemwachia Dr. Nchimbi masuala hayo. Inawezekana pia kuwa anamwachia makubwa zaidi kwa kujua au kutojua, anyway haijalishi. Hivi karibuni Dr. Nchimbi ameonekana kwenye picha na mabalozi wa nchi za Umoja wa Ulaya walioko Tanzania...
  11. Mindyou

    JamiiForums Tanzania GE2025 Picha: Emmanuel Nchimbi afanya kikao kizito na mabalozi wa Umoja wa Ulaya (EU). Je, wameenda kuongelea masuala ya 'Reforms' za Uchaguzi?

    Wakuu, Nimeona Nchimbi ameenda kukutana na mabalozi wa EU. Je hii ina maana kwamba watakuwa wameenda kuzungumzia masuala ya kisiasa nchini na kuhusu No Reforms No Election? Hapa sidhani kama wameenda kuzungumzia mambo ya kiuchumi maana wangemuita Jafo. Ila kama wamemuita Nchimbi maana yake ni...
  12. peno hasegawa

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mchezo mchafu kupitia kamati za Siasa Wilaya na Mkoa, taadhari kwa Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Nchimbi

    Ufuatiliaji wa Chaguzi za Chama Tunakuomba ufuatilie kwa umakini mkubwa mambo yafuatayo katika chaguzi za Chama, hasa wakati wa kupitishwa wajumbe. Ni muhimu kuzingatia majina matatu ya madiwani ngazi ya kata kwenda ngazi ya wilaya/jimbo na mikoani kwenye vikao vya maamuzi. Hali ya Mchezo...
  13. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Dkt. Nchimbi: Ujenzi Jengo jipya la Makao Makuu ya CCM kugharimu Bilioni 34

    Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Mwenyekiti wa chama hicho Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko makubwa katika chama hicho. Akizungumza leo Mei, 28 katika tukio la uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi jengo jipya la Makao Makuu ya CCM...
  14. Mr Beast

    JamiiForums Tanzania Tetesi: PICHA: Huyu Kumrithi Dkt Emmanuel Nchimbi Ukatibu Mkuu wakati wowote

    || Habari zilizozagaa huku mtaani kwa wananchi na makada wa CCM walio wengi na baadhi ya Viongozi wa CCM Tanzania ni kwamba Katibu Mkuu wanaomtaka kutoka Upande wowote wa Muungano baada ya kazi nzuri ya Dkt Emmanuel Nchimbi ni lazima awe na sifa hizi zifuatazo au...
  15. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Nchimbi: Watia nia CCM tambueni uchaguzi siyo vita

    Katibu Mkuu wa Chama cha mapinduzi (CCM), Dkt Emmanuel Nchimbi amewataka Wabunge wenye nia ya kugombea watambuane na yeyote atakayeshinda au kushindwa amuunge mkono mwenzake. Dkt Nchimbi ameyasema hayo wakati akiongea na Wananchi wa Nyamongo, Tarime Vijijini, aliposimama kuwasalimia. “Katika...
  16. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Nchimbi: Vijana msikubali kupotoshwa

    Balozi Nchimbi Nyerere alionya vijana wa Tanzania wasikubali kupotoshwa. Ameeleza kuwa baba wa Taifa alitamani kuona taifa lina wasomi ambao watalitumikia taifa. "Ndiyo maana baba wa Taifa alisema vijana wa Tanzania wasikubali kupotoshwa, vijana wa Tanzania wasikubali kupotezwa, vijana wa...
  17. J

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Balozi Nchimbi: Tusivurugwe miezi michache kuelekea uchaguzi mkuu

    BALOZI NCHIMBI: TUSIVURUGWE MIEZI MICHACHE KUELEKEA UCHAGUZI MKUU Aelekeza RC, Mawaziri wawili kulipa fidia Nyatwali – Bunda Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amewataka Watanzania kuchukua tahadhari dhidi ya wanasiasa wanaojaribu kuhatarisha haki...
  18. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Katibu Mkuu wa CCM Dkt Balozi Nchimbi kuanza ziara ya Siku tano katika Mkoa wa Mara

    Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Dkt Balozi Emmanuel Nchimbi kuanza ziara ya Siku tano katika Mkoa wa Mara Karibu kufuatilia ziara hiyo kupitia vyombo vya Habari na Mitandao yetu ya Kijamii Kazi na Utu , Tunasonga Mbele
  19. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Balozi Nchimbi: Moyo wa Msamaha ndio Utakaolijenga Taifa Letu

    "Moyo wa Msamaha Ndio Utakaolijenga Taifa Letu" ~ Mhe. Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi.
  20. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Makamu Mwenyekiti CCM Emmanuel Nchimbi ahitimisha ziara yake mkoani Ruvuma

    Dkt. Balozi Emmanuel Nchimbi ahitimisha kwa kishindo ziara yake mkoani Ruvuma
Back
Top Bottom