Kanisa katoliki ndio kanisa na dini ya kwanza, Yesu alipopaa mbinguni alimuachia Mtume Petro maagizo ya kulijenga kanisa kwenye msingi mkuu:
1. Hudhuria misa takatifu, dominika na sikukuu zilizoamriwa.
2. Funga siku ya Jumatano ya majivu; usile nyama siku ya ijumaa kuu.
3. Ungama dhambi zako...