Uwezo wa Jeshi la Tanzania (JWTZ) Kulinganisha na majeshi mengine duniani

Venus Star

JF-Expert Member
Dec 6, 2018
19,696
59,856
1693465315090.png


Kutokana na taarifa rasmi za JWTZ kwamba jeshi letu ni la 6 kwa ubora duniani. Katika uzi huu nitajikita katika kuchambua kwa kina uwezo wa majeshi mengine hapa duniani. Nitatumia statistics zilizopo kwenye mitandao mbalimbali na kuonesha picha za vifaa vinavyotumika.
Nitajikita zaidi katika kuongelea mambo:-
1. Bajeti ya Jeshi
2. Idadi ya wanajeshi
3. Vifaa vya kijeshi
4. Operation zilizofanyika
5. Uwezo katika electronic warfare
6. Umilki wa silaha vya nuclear
7. Uwezo wa Jeshi la anga
8. Uwezo wa Jeshi la Majini
9. Mitambo ya kiulinzi
10. Idadi ya Majenerali

Upande wa Bajeti
Bajeti kuu ya serikali ya Tanzania ni USD 18.4 billion. Yaani ndani ya hiyo bajeti kuna bajeti ya jeshi, wizara zingine nk.

Zifuatazo ni bajeti ya majeshi tu katika nchi kumi duniani ya mwaka 2020

  1. The United States — $778 billion
  2. China — $252 billion
  3. India — $72.9 billion
  4. Russia — $61.7 billion
  5. United Kingdom — $59.2 billion
  6. Saudi Arabia — $57.5 billion
  7. Germany — $52.8 billion
  8. France — $52.7 billion
  9. Japan — $49.1 billion
  10. South Korea — $45.7 billion

Tanzania haimo kwenye top 10 kwenye upande wa Budget..... Tunaendelea
 
Idadi ya wanajeshi
Kwa mujibu wa taarifa zilizomo mtandaoni zinaonesha kwamba Tanzania ipo na idadi ya wanajeshi 27,000. Basi ninaweza nikaamua kuongezea mara tatu ya idadi hii iliyoandikwa kwenye mitandao maana huenda wametuhujumu.

27,000 x 3 = 81,000
Tunaweza kusema sasa tupo na askari 81,000.
Hebu sasa tuangalie kwenye nchi zingine
Zifuatazo ni nchi kumi zenye askari wengi duniani mwaka 2020

  1. China: 2,185,000
  2. India: 1,455,550
  3. United States: 1,388,100
  4. North Korea: 1,280,000
  5. Russia: 1,014,000
  6. Pakistan: 654,000
  7. Iran: 610,000
  8. South Korea: 599,000
  9. Vietnam: 482,000
  10. Egypt: 438,500
 
Idadi ya wanajeshi
Kwa mujibu wa taarifa zilizomo mtandaoni zinaonesha kwamba Tanzania ipo na idadi ya wanajeshi 27,000. Basi ninaweza nikaamua kuongezea mara tatu ya idadi hii iliyoandikwa kwenye mitandao maana huenda wametuhujumu.

27,000 x 3 = 81,000
Tunaweza kusema sasa tupo na askari 81,000.
Hebu sasa tuangalie kwenye nchi zingine
Zifuatazo ni nchi kumi zenye askari wengi duniani mwaka 2020

  1. China: 2,185,000
  2. India: 1,455,550
  3. United States: 1,388,100
  4. North Korea: 1,280,000
  5. Russia: 1,014,000
  6. Pakistan: 654,000
  7. Iran: 610,000
  8. South Korea: 599,000
  9. Vietnam: 482,000
  10. Egypt: 438,500
Hao wanajeshi 27,000 ulioambiwa unatakiwa ujue kuwa hao sio regular soldiers

Hao ni Makomandoo

Na value ya Komandoo nadhani unaijua

Komandoo mmoja ni sawa na wanajeshi wakawaida 200

Sasa hapo ni swala la hesabu
 
Kutokana na taarifa rasmi za JWTZ kwamba jeshi letu ni la 6 kwa ubora duniani. Katika uzi huu nitajikita katika kuchambua kwa kina uwezo wa majeshi mengine hapa duniani. Nitatumia statistics zilizopo kwenye mitandao mbalimbali na kuonesha picha za vifaa vinavyotumika.
Nitajikita zaidi katika kuongelea mambo:-
1. Bajeti ya Jeshi
2. Idadi ya wanajeshi
3. Vifaa vya kijeshi
4. Operation zilizofanyika
5. Uwezo katika electronic warfare
6. Umilki wa silaha vya nuclear
7. Uwezo wa Jeshi la anga
8. Uwezo wa Jeshi la Majini
9. Mitambo ya kiulinzi
10. Idadi ya Majenerali

Upande wa Bajeti
Bajeti kuu ya serikali ya Tanzania ni USD 18.4 billion. Yaani ndani ya hiyo bajeti kuna bajeti ya jeshi, wizara zingine nk.

Zifuatazo ni bajeti ya majeshi tu katika nchi kumi duniani ya mwaka 2020

  1. The United States — $778 billion
  2. China — $252 billion
  3. India — $72.9 billion
  4. Russia — $61.7 billion
  5. United Kingdom — $59.2 billion
  6. Saudi Arabia — $57.5 billion
  7. Germany — $52.8 billion
  8. France — $52.7 billion
  9. Japan — $49.1 billion
  10. South Korea — $45.7 billion

Tanzania haimo kwenye top 10 kwenye upande wa Budget..... Tunaendelea
Mbona North Korea haipo kwenye Top 10 wakati inawekeza kila kitu kwenye Jeshi.
 
Hao wanajeshi 27,000 ulioambiwa unatakiwa ujue kuwa hao sio regular soldiers

Hao ni Makomandoo

Na value ya Komandoo nadhani unaijua

Komandoo mmoja ni sawa na wanajeshi wakawaida 200

Sasa hapo ni swala la hesabu
hapo inakuwaje Komandoo mmoja kuwa sawa na wanajeshi wa kawaida 200 mkuu, ebu fafanua kidogo kama unaichanganya 😵‍💫🫨🫨
 
Back
Top Bottom