dodoma

  1. kidadari

    JamiiForums Tanzania Biashara ya viwanja Dodoma imebuma Serikali yawasaka walionunua walipe pesa

    Baada ya kutangazwa kwa jiji la Dodoma serekali iliandaa mpango wa kupima maelfu ya viwanja na kuviuza kwa mkopo. Wengi walivipapatikia wakijua watauza kwa faida baadae. Wengi walionunua sio wakaazi wala hawana mpango wa kujenga na kuishi Dodoma bali walinunua kibiashara. Kumbuka viwanja vingi...
  2. N

    JamiiForums Tanzania TANZIA Frank Malecela, dereva wa RAS Dodoma afariki dunia

    Ni huzuni kubwa hapa dodoma mtu wa watu Mr Frank Malecela dreva wa RAS-Dom hatunae Tena amefariki taarifa zinasema Jana alikuwa ofsini baadae akawa anajisikia vibaya hv usiku hali ikawa mbaya akakimbizwa hospitali lkn ikawa bahati mbaya akaaga dunia.
  3. Y

    JamiiForums Tanzania Ni wapi wanafundisha muziki kwa Dodoma?

    Habari wana JF, Bila kupoteza muda wenu, Ninaomba kujua ni wapi wanafundisha kupiga vyombo vya mziki kama gitaa na piano kwa Jiji la Dodoma. Nashukuru
  4. KAWETELE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dodoma pamepoa sana siku hizi hamna totozi kabisa

    Mwaka 2014 nilikuja Dom kikazi majira kama haya... aisee mji ulikuwa umechangamka sana. kuanzia Chako ni Chako, Mwanga Bar, Club 84 na Maisha. kulikuwa na Totozi na ilikuwa raha saana kuja Dom. kwa sasa nina wiki hapa viwanja hivyo hamna Totozi kabisa. wamejaa makahaba wa pale uhindini...
  5. J

    JamiiForums Tanzania Profesa Ndalichako aongoza viongozi na wananchi wa Dodoma kutoa heshima za mwisho kwa marehemu John Kijazi

    Viongozi wa serikali na wananchi wa Dodoma wanatoa heshima za mwisho kumuaga marehemu John Kijazi chuo kikuu UDOM. Prof Ndalichako ambaye ni waziri wa elimu ndio anaongoza watumishi na wananchi katika tukio hili. Dr Kijazi (RIP) atazikwa siku ya Jumamosi huko Korogwe, Tanga. Tukio hili liko...
  6. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Dodoma: Mkandarasi abainika kuwatoza Wananchi pesa ya fomu za kuunganishiwa umeme licha ya fomu hizo kutolewa bure

    Mkandarasi wa Kampuni ya Edward General Electrical, ametiwa matatani na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), kwa tuhuma za kuwatoza wananchi wanaohitaji kuunganishiwa umeme jijini hapa. Hatua hiyo imechukuliwa ikiwa ni siku chache baada ya TAKUKURU kwa kushirikiana na Shirika la...
  7. chrome

    JamiiForums Tanzania TANZIA Dkt. Muhammed Seif Khatib afariki dunia

    Dkt. Muhammed Seif Khatibu ambaye alikuwa ni miongoni mwa viongozi waandamizi wa siku nyingi Serikalini na kwenye Chama cha Mapinduzi amefariki dunia. Aliwahi kuwa Mbunge wa jimbo la Uzini kisiwani Zanzibar. Nyadhifa alizowahi kushika Dkt. Khatib Mwenyekiti wa UVCCM kutoka 1978 hadi 1983...
  8. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania TANZIA CHADEMA yapata pigo Dodoma, Kamanda Tully Nassa Kiwanga afariki dunia

    Apumzike kwa amani Lakini kwa vile kufanya kazi ya Chadema ni sawa na kutenda kazi ya Mungu , tunaamini Mwenyezi Mungu ataipokea roho yake mahali pema peponi , Amina .
  9. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Mbeya: Wenye nyumba za tope mjini kuhamishwa

    Agizo hilo limetolewa na Katibu Tawala wa Mkoa huo, Mh. Mariam Mtunguja alipokuwa anazungumza na madiwani na watendaji wa Halmashauri hiyo katika Mkutano wa Baraza la Madiwani. "Ni aibu sana kuona mpaka leo hii eti ukipita katikati ya mji kuna nyumba za tope " Alisema.
  10. Nafaka

    JamiiForums Tanzania Kwa mwenye kutoa huduma za Airbnb Dodoma

    Kama unatoa huduma ya Airbnb Dodoma naomba uni PM nahitaji mtu nimcontact directly
  11. Madimba jr

    JamiiForums Tanzania Perfomance Mbovu ya wasanii wakongwe kwenye Serengeti Festival 2021 Dodoma

    Wahenga wanasema vya kale dhahabu,mavi ya kale hayanuki,na uzee dawa lakini hali ni tofauti kwenye upande wa bongo fleva,ya kale yamekua kokoto za Kunduchi,wazee wetu pumzi zimekata,mistari wamesahau,umiliki wa jukwaa zero kabisa ....wateule hasa Jafarai na Mchizi mox hamna kitu kabisa,Salute...
  12. B

    JamiiForums Tanzania Hongera Rais Magufuli kwa kunusa uvamizi unaofanyika Ndachi Nkuhungu, Dodoma

    Jana Mh Rais akiwa eneo la Kizota ukifungua nyumba za askari wa Magereza ulitamka kuna eneo wananchi wanafukuzwa na mapanga. Ni kweli kabisa. Cha ajabu uongozi umekaa kimya na kuwapa wababe wenye silaha kuzidi kumega ardhi za wamama wajane na wakongwe waliostaafu. Ardhi kwa maelekezo hati zao...
  13. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Je, Mtanzania, una imani Bunge linaloendelea Dodoma?

    Inasemekana kwamba hata ambaye amenyimwa macho basi angalau anapewa uwezo wa kunusa na kupapasa, hanyimwi vyote. Ukweli niliouona (maana macho ninayo) ni kwamba wananchi wengi wamelipuuza na kulidharau kabisa bunge jipya linaloendelea Mjini Dodoma, wadau hawana habari nalo wala hawataki hata...
  14. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania I am looking for a very bright woman

    Hii, Naitwa Jophy (29yrs), Christian (KKKT) and God fearing man. Naishi dodoma. I am a university graduate and now nafanya mishe zangu hapa dodoma. I am looking for a very bright woman (girl friend) PM me kama you are aged 21-25. Educated, confident, who is ready to be somebody's partner/wife...
  15. Its Pancho

    JamiiForums Tanzania Ukiwa dodoma usikose viwanja hivi ..

    Kwa sasa Dom bata zimekuwa kibwena kutokana na serikali kuhamia huku. Kuna platinum 4G Kuna Royal village. Kuna waswanu pub ,chimbo linalokuja kwa kasi hapa utamkuta baba mzazi Ushimen anatafuna kuku. Kuna Chako ni chako ,hapa ni spesho kwa kuku watamu usije tu jing'ata kisogo..pia kuna nyapu...
  16. L

    JamiiForums Tanzania Individual Contractor - Construction Site Supervisor, Dodoma, Tanzania

    Individual Contractor - Construction Site Supervisor, Dodoma, Tanzania Organization: Unicef Country: Tanzania Field location: Dodoma, Tanzania Office: UNICEF in Dodoma Follow @UNjobs Closing date: Sunday, 31 January 2021 Individual Contractor - Construction Site Supervisor Job no: 537608...
  17. Fatma-Zehra

    JamiiForums Tanzania Mpendwa Rais Magufuli, Dodoma haina maji. Hali ni mbaya!

    My President, hali ni mbaya sana. Inazidi kuwa mbaya kila kukicha. Mgao wa maji ulikuwa mara mbili kwa wiki na awamu zote zilikuwa zinatoa maji kama mkojo (forgive me kwa lugha hii baba yangu). Kwa sasa ni mara moja kwa wiki on an unknown day, and time. By the way hata yakitoka, you need hours...
  18. U

    JamiiForums Tanzania Rais wa Ethiopia kutembelea Tanzania kwa ziara ya siku moja

    Rais huyo wa nchi ya Ethiopia Mheshimiwa Sahle Work Zewde atawasili nchini kesho Januari 25, 2021 kwa ziara rasmi ya Kiserikali ya siku moja Taarifa kwa mujibu wa Waziri Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba Kabudi
  19. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Waziri Jafo atoa wiki 2 kwa Uongozi wa Dodoma kuifanyia ukarabati Shule ya Msingi Nkuhungu na kuhakikisha inafikisha ufaulu wa asilimia 100

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo ameliagiza Jiji la Dodoma chini ya Mkurugenzi wake Joseph Mafuru kuifanyia ukarabati Shule ya Msingi Nkuhungu pamoja na kuhakikisha inafikisha ufaulu wa asilimia 100 kwenye matokeo ya mitihani ya darasa la nne. Jafo ametoa kauli hiyo leo...
  20. MANG'ONYI

    JamiiForums Tanzania DUWASA mamlaka inayoshindwa kuhudumia mji wa Dodoma

    Ni wiki ya tatu sasa maji hayapatikani maeneo mengi ya mji wa Dodoma hasa Ilazo, Nzuguni na Kisasa. Waziri wa maji amemtumbua mkurugenzi wa DUWASA mhandisi Pallangyo mara tu baada ya kuapishwa lakini tatizo inaonekana ni zaidi ya huyo Mkurugenzi kwani shida ya upatikanaji wa maji iko pale pale...
Back
Top Bottom