diamond platnumz

  1. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Kuna uwezekano mkubwa Mwamposa akawa na pesa zaidi kuliko Diamond Platnumz

    Huyu jamaa harakati zake za kusaka tonge si mchezo, ninashawishika zaidi kuamini kwamba ana pesa zaidi kuliko Diamond Platnumz. Kama Samia atashinda uchaguzi huu, huyu jamaa utajiri wake utazidi kupaa na si ajabu akawa miongoni mwa watu (top 10) wenye pesa zaidi hapa nchini. Gwajima ameteleza...
  2. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Diamond Platnumz afunguka alivyomwaga chozi akishoot video ya komasava: Nililia akaunti ilipofungwa niki-shoot Komasava kutokana na masuala ya kodi

    Baada ya Diamond Platnumz kuulizwa na Billboard-: Unaendesha biashara nyingi, kitu gani kuwa boss wako mwenyewe kimekufundisha kuhusu kuwa msanii bora? "Kuwa boss wako mwenyewe ni suala gumu sana, kudhibiti haya mambo yote ni kazi kubwa, na muda mwingine kama upo katikati ya mahojiano unaweza...
  3. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 DJ wa Diamond, RDJ ajitosa kuchukua fomu ya kugombea Ubunge Jimbo la Mbagala

    DJ wa Msanii Diamond, RDJ amejitosa kuchukua fomu ya kugombea Ubunge Jimbo la Mbagala Kupitia CCM. RDJ amechukua fomu hiyo leo katika ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Temeke, zilizopo mtaa wa Taifa Pub, jijini Dar es Salaam. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea...
  4. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania Diamond Platnumz kashindwa kung'amua au balenciaga wamefeli kwenye designing

    Baada ya diamond Platnumz kuposti kwenye insta story yake kavaa viatu vya Balenciaga vyenye thamani ya euro 1650 sawa na shilingi milioni 4,815,794 za Kitanzania. Viatu hivyo ni brand ya Balenciaga aina ya Botte venom kuna viatu vya kike na vyakiume lakini Diamond Platnumz kanunua vyakike kike...
  5. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Picha ya Diamond Platnumz aliyopigwa Summer Jam 2025 yauzwa pesa ndefu, TSh Milioni 1.3 na Getty Images

    Picha ya Diamond Platnumz aliyopigwa Summer Jam 2025 yauzwa pesa ndefu, TSh Milioni 1.3 na Getty Images Kampuni kubwa inayojulikana kimataifa kwa upigaji picha za wasanii wakubwa na matukio makubwa, Getty Images, imetangaza rasmi kuuza picha moja ya Diamond Platnumz kwa $499 (Tsh Milioni 1.3/=)...
  6. Mhaya

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Anasalitiwa Diamond Platnumz Sembuse Wewe Ambae Huna Sumni

    Hapo chini kwenye video Diamond Platnumz anazungumza namna alivyosalitiwa na mpenzi wake aliyekuwa nae akitoka kimapenzi pia na Waziri wa Nishati wa kipindi icho, mpenzi anayehisiwa kumsaliti Diamond Platnumz hapo inasemekana ni Wema Sepetu. Hata hivyo pia kuna tetesi ziliwai kusema kuwa Mama...
  7. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Diamond Platnumz: Mimi ndiye msanii pekee Afrika ninayeweza kufanya aina zote za muziki wa Afrika

    Super Mega Star, Diamond Platnumz, akiwa kwenye mahojiano huko Ughaibuni (Uingereza) amesema kuwa yeye ndiye msanii pekee barani Afrika anayeweza kufanya aina zote za muziki kutoka katika kila kona ya Afrika. Diamond alisisitiza uwezo wake wa kipekee wa kubadilika na kuendana na mitindo...
  8. sinza pazuri

    JamiiForums Tanzania History imeandikwa, Diamond Platnumz aisimamisha London kwa show kubwa... Watu kama mchanga!!

    https://www.instagram.com/reel/DK2yiqMNG2v/?igsh=aTdsZGNiMHc5bThn Ni kama ndoto ambayo imegeuka kuwa kweli. Msanii wa bongofleva kujaza ukumbi mkubwa kwenye jiji la London. Diamond ameweka historia ambayo itasimama vizazi na vizazi. Tunamdai nini tena Diamond? Heshima anayotupa pande zote...
  9. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Diamond Platnumz amuoa Zuchu. Ni mpango wa kuuzima moto wa Askofu Gwajima?

    Wakuu Huu mbona kama ni mkakati hivi wa kutaka kututoa kwenye Reli? Msanii wa Bongo Fleva, Nadeem Abdul maarufu kwa jina la Diamond Platnumz amemuoa mpenzi wake wa muda mrefu Zuhura Othman Soud maarufu Zuchu. Msanii wa lebo yake WCB Wasafi. Ndoa hiyo imeibuka katikati mjadala mkali baada ya...
  10. Mr Why

    JamiiForums Tanzania Baada ya kutizama kwa kina nyimbo za Diamond Platnumz zilozofungiwa na BASATA, Hallelujah, Wakawaka na nyinginezo sikuona kosa la kimaadili

    Baada ya kutizama kwa kina nyimbo za Diamond Platnumz zilozofungiwa na BASATA, Hallelujah, Wakawaka na nyinginezo sikuona kosa la kimaadili Miaka ya nyuma BASATA ilichukua uamuzi wa kufungia nyimbo hizo kwa madai ya kuvunja maadili, baada ya kutazama kwa kina sikuona maudhui mabaya, akina dada...
  11. Mr Why

    JamiiForums Tanzania Watanzania walalamikia kitendo cha Diamond Platnumz kumvalisha mtoto yatima T-shirt yenye rangi ya Upinde alipokwenda kutoa msaada kwa watoto yatima

    Watanzania walalamikia kitendo cha Diamond Platnumz kumvalisha mtoto yatima T-shirt yenye rangi ya upinde alipokwenda kutoa msaada kwa watoto yatima Diamond Platnumz alitoa msaada wa nguo kwa watoto yatima jambo lililowapa faraja watoto yatima pamoja na walezi wao lakini jambo la kushangaza ni...
  12. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Diamond Platnumz: Usipotoboa kipindi cha Rais Samia, usiilaumu serikali

    Wakuu Msanii wa muziki na Mfanyabiashara Diamond Platnumz amesema mazingira mazuri ya biashara yamemfanya aendelee kupiga hatua uwekezaji na kuzindua brand mpya. Amedai kama kuna mtu ambaye atashindwa kufanya vizuri kwenye biashara kwa kipindi hiki cha Rais Samia basi atakuwa ameshindwa yeye.
  13. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Mwarabu Fighter: Nikiwa kwa Diamond nililala na kula hoteli za kifahari lakini niliishi maisha ya madeni

  14. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Harmonize amuomba msamaha Diamond Platnumz kwa tofauti zilizowahi kutokea kati yao, ikiwamo wakiwa visiwani Zanzibar

    NYOTA wa Bongo Fleva, Harmonize a.k.a Konde Boy amemuomba msamaha Diamond Platnumz kwa tofauti zilizowahi kutokea kati yao, ikiwamo cha siku ya karibuni wakiwa visiwani Zanzibar. Kupitia Insta Story yake, Harmonize ameandika kuwa anatumia mwezi mtukufu wa Ramadhani kuomba msamaha kwa yeyote...
  15. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Harmonize kumalizia ujenzi wa Msikiti ulioanzishwa na Diamond mtwara mwaka 2018 na kuuita 'Masjid Naseeb'

    Msanii wa Bongo Fleva, Harmonize, ametangaza kuwa atamalizia ujenzi wa msikiti ambao Diamond Platnumz aliuanzisha kijijini kwao Mtwara mwaka 2018. Kupitia Insta Story yake, Harmonize amesema kuwa msikiti huo ulianzishwa baada ya wao wawili kujadili umuhimu wa kusaidia jamii na kuwekeza mbele za...
  16. Dr. Mariposa

    JamiiForums Tanzania Diamond tafadhali muache Zuchu huru mbakie kwenye biashara pekee

    Huyu Mondi amemuweka Zuchu kama mateka wake, hamtunzi sawa sawa na wala hamuachilii aende, huyu binti tusipoangalia ataingia kwenye drugs na kuharibu maisha yake yooooooote, she is acting strong outside but inside she is so depressed, Nadhani tuliyaona kwa Vanessa na Jux the girl alikuwa...
  17. Mindyou

    JamiiForums Tanzania Kwa kauli hii huyu Vixen aliyefanya video ya 'Nitafanyaje" ya Diamond ajitafakari sana. Hizi standards anamletea nani?

    Wakuu, Wakati napiga round mbili tatu huko mtandaoni nimekutana na clip ya video vixen aliyefanya video ya Nitafanyaje ya Diamond. Akiwa kwenye interview, huyu Vixen anasema kuwa sasa hivi hataki kufanya video na wasanii wa chini amejikita kufanya kazi na kina davido na wapopo. Ukienda...
  18. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Diamond athibitisha Mbosso kuondoka rasmi WCB Wasafi na hajamdai hata TSh. 10

    Bosi wa lebo ya muziki wa WCB Wasafi Diamond Platnumz amethibitisha Mbosso kuondoka rasmi chini ya lebo hiyo na kuwa msanii huru ambaye anajitegemea mwenyewe kisanaa. Soma: Diamond afafanua ishu ya Mbosso kuondoka WCB Akimwelezea kutokana na ukarimu na heshima ya Mbosso kipindi chote wakiwa...
  19. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mwijaku uso kwa uso na Diamond Platnumz leo Dodoma kwenye mkutano wa CCM

    Mwijaku amekutana na Diamond Platnumz kwenye Ukumbi wa Mkutano wa CCM mjini Dodoma.
  20. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Zuchu amlipua Diamond na familia yake. Adai kufanyiwa Unyanyasaji na Ukandamizaji, kuiburuza mahakamani Wasafi FM

    Msanii wa Bongo Fleva, Zuchu, ameandika barua ya wazi kwa Diamond Platnumz akilalamikia unyanyasaji wa mara kwa mara kutoka kwa taasisi yake Wasafi FM, kupitia maudhui ya kipindi cha Mashamsham. Zuchu amesema maudhui hayo yameathiri sanaa na afya yake ya akili, licha ya uwekezaji mkubwa wa...
Back
Top Bottom