Nawasalimu wakuu.
Mwenye kujuwa dawa ya hii shida naomba anisaidie tafadhali.
Ninashida ya kufa ganzi viganja vya mikono hasa kwenye vidole yaani huwa vinapokezana,vinaweza kufa ganzi vidole viwili vya mwisho au vya Kati tu au wakati mwingine kiganja kizima, na mikono pia hupokezana,na hii...