data

  1. PendoLyimo

    JamiiForums Tanzania TTCL yarejesha vifurushi vya zamani vya DATA, SMS na DAKIKA

    Katika kutii agizo la Serikali lilitolewa April 2 la kusitisha gharama mpya za vifurushi, TTCL Corporation April 3 ilianza na kukamilisha mchakato wa kurejesha gharama za zamani za vifurushi"Kaimu Mkurugenzi wa Biashara Leonard Laibu Tunapenda kuufahamisha umma wa watanzania kuwa shirika...
  2. J

    JamiiForums Tanzania Makubaliano ya Umoja wa Afrika kuhusu ulinzi wa Data binafsi za watu

    Ibara ya 8 ya makubaliano hayo imeweka malengo ambayo Watanzania wangenufaika nayo kama #Serikali ingekuwa imetia saini Moja ya lengo ni: Kila #Taifa lazima lihakikishe linatengeneza sheria kwa ajili ya kuimarisha #Haki za msingi za binadamu, uhuru wa raia ikiwemo ulinzi wa taarifa zao na kutoa...
  3. Civilian Coin

    JamiiForums Tanzania Looking for Promotion my Debut Song at your TV and Radio

    Looking for Promotion my Debut Song at your TV and Radio. [
  4. J

    JamiiForums Tanzania Ni muhimu kwa Mashirika na Kampuni mbalimbali kulinda Data za Wateja wao

    Sheria ya #UlinziWaData ambayo bado haipo nchini Tanzania ina umuhimu mkubwa kwasababu itasaidia kulinda data za mteja kama zifuatazo; Majina ya Watu(Wateja kama ni kwenye Kampuni ya biashara), Anuani za Posta na Makazi za Wananchi ambao na Wateja wa Makampuni ya biashara Barua pepe za watu...
  5. J

    JamiiForums Tanzania Nini maana ya ulinzi wa taarifa binafsi (Personal Data Protection)

    Ulinzi wa taarifa ni mchakato wa kulinda taarifa muhimu dhidi ya kuibwa, kutumiwa vibaya, kuharibika au kupotea. Taarifa hizi ni zile ambazo mtu anajaza, anaandikisha au zinakusanywa kutoka kwake kupitia nyenzo za kidigitali au nje ya mtandao Ingawa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
  6. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Data Clerk at WHO

    Data Clerk - (2101624) Grade: No grade Contractual Arrangement: Special Services Agreement (SSA) Contract Duration (Years, Months, Days): 12 Months Primary Location: Tanzania, United Republic of-Dar-es-Salaam Organization: AF_TZA Tanzania Schedule: Full-time IMPORTANT NOTICE: Please note that...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Makampuni ya simu yadharau agizo la Serikali (TCRA)

    Mpaka sasa hivi makampuni ya simu yanaendelea kuuza vifurushi kwa bei ileile onevu ambayo ililalamikiwa na wananchi hapo jana. Licha ya Serikali kupitia TCRA kuagiza usitishwaji wa viwango hivyo, bado makampuni hayo yamekaidi na yanaendelea 'kuwaibia' wananchi kwa kuuza bando kwa bei ambazo...
  8. heartbeats

    JamiiForums Tanzania Acha kulalamika vifurushi kupanda, anza kuwa na data plan

    PUNGUZA MATUMIZI YA MTANDAO YASIYO NA TIJA. 👉🏿 Punguza kutizama video za kuchekesha na zisizofundisha chochote. 👉🏿Punguza na Acha kutizama video zenye maudhui ya NGONO hapa MB zinakwenda sana bila faida 👉🏿Punguza na futa magroup ya telegram yenye maudhui yasio na faida, mfano magroup ya...
  9. Ushimen

    JamiiForums Tanzania SICPA Tanzania Jobs, March 2021- Data Analyst

    JOB TITLE: Data Analyst Req ID: 20524 Location: Dar Es Salaam (TZ10), Tanzania Department: Customer Projects Deployment & Services (50015623) Job Family: Sales and Customer Support PURPOSE OF THE JOB: We are looking to employ a Data Analyst to actively participate in Service Centre activities...
  10. Sam Gidori

    JamiiForums Tanzania Unaishiwa bando haraka? Fahamu namna ya kudhibiti matumizi yako ya data mtandaoni

    Umeshawahi kuwa mhanga wa kifurushi chako kuisha kabla haujakusudia kiishe? Pengine umekuwa ukilalamika kuwa baadhi ya mitandao inakumalizia data zako, na hii inaweza kusababishwa na kutofahamu kiwango cha data kinachotumika kwa matumizi ya kawaida mtandaoni. Si rahisi kuweka makadirio ya moja...
  11. Niwahi_Kibangi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania IXAfrica breaks ground on data center campus in Nairobi, Kenya

    IXAfrica has broken ground on an 18MW data center in Nairobi, Kenya. Speaking during the ground breaking ceremony, IXAfrica chairman Guy Willner said that the data center will be IXAfrica’s first after years of delays and is on track to be East Africa’s largest ‘hyperscale-ready’ campus. The...
  12. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mollel: Ni ujinga Waziri kutoa Data za Walioathiriwa na Corona kila siku. Bei ya chanjo ni Tsh 400,000

    Naibu Waziri wa Wizara ya Afya Jinsia Wazee na Watoto amesema watu wengi wanasema Tanzania haitoi data, ambapo amesema data haina haja ya kutangazwa kila siku na Waziri, utakuwa ni ujinga mtupu. Amesema Data huwa inataka uchakataji ili kujua tatizo ya magonjwa yanayosababisha vifo na kujua...
  13. Jackal

    JamiiForums Tanzania Israel: Vaccine prevents 98.9% of COVID deaths, Israel’s Health Ministry data shows

    Israel’s Health Ministry said Saturday that coronavirus vaccines were “dramatically” effective and the latest data shows the shots were 98.9% effective at preventing death caused by COVID-19. “The vaccine dramatically reduces serious illness and death and you can see this influence in our...
  14. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Tutaponea wapi sisi Watanzania baada ya Serikali kututupa mkono? Airtel nao washusha kiwango cha Data

    Watanzania kama ilivyo ada tumekuwa wanyonge mpaka basi. Tumekubali kukamuliwa kila sehemu na Serikali imeamua kuendelea kutunyonya mpaka damu. Kifurushi cha Airtel cha Tsh 1,000 kwa GB 1 nacho kimepunguzwa. Sasa ni MB 500 kwa tsh 1000 ndani ya siku 3. Tunajua Serikali nayo inafaidika na...
  15. Granite

    JamiiForums Tanzania Vodacom Kulikoni? TCRA hebu tuokoeni na hizi gharama za Data

    Nilizoea kujiunga Vifurushi vya aina mbili vya wiki 2Gb kwa Tsh.3,000/= au 4Gb kwa Tsh.5,000/= Leo nimekutana na hali tofauti, 1Gb kwa 3,000/= na 2GB kwa 5,000/= kwa kweli nimechanganyikiwa kidogo hasa ukiangalia hali tunayoipitia mtaani. Mbona hii mitandao imekuwa na upandishaji wa gharama...
  16. The Palm Tree

    JamiiForums Tanzania Rwanda, Kenya, Uganda, DR Congo na jirani wengine waanza kupokea chanjo ya COVID 19. Burundi na Tanzania - NO DATA YET

    Katika nchi za Afrika Mashariki, inaonesha kuwa ni Burundi na Tanzania pekee ndiyo hazina virusi vya korona na kwa hiyo hawahitaji chanjo ya COVID 19. HOFU na WOGA ni roho za kuzimu na infact ndiyo lango kuu la nguvu za uharibifu na kifo.... IMANI kwa Mungu Baba Muumba wa vyote ndiyo UHAI na...
  17. J

    JamiiForums Tanzania Dkt. Kigwangalla amuomba Rais Magufuli kutolea kauli ombi walilompelekea Waziri Bashe, lakini Bashe apangua hoja kwa data!

    Leo Rais Magufuli amesimama katika mji wa Puge na kumtaka mbunge wa Nzega vijijini kuelezea matatizo ya jimbo hilo. Ndipo alisimama mh Kigwangalla na kusema wao walipeleka ombi la kujengewa scheme ya umwagiliaji kwa naibu waziri wa kilimo mh Bashe lakini kwa kuwa Rais Magufuli yupo jimboni hapo...
  18. E

    JamiiForums Tanzania Data analysis bure!

    Habari wapendwa! Karibu nikufanyie data analysis bure kwa mahitaji mbalimbali. Inawezekana una repoti kazini,shuleni, au chuoni, Inawezekana unataka kujua ufanisi wa mradi wako kwa kadri ya malengo yako, Inawezekana una utafiti wako unaufanyia kazi na unahitaji majibu ya swali kuu, Inawezekana...
  19. K

    JamiiForums Tanzania Serikali fanyeni mipango kutokana na data

    Nashangazwa na serikali hasa ukizingatia wameweka wasomi wengi sana. Kwasababu ya mazoea wasomi wetu sio wabunifu na hakuna sera siku hizi na mapingo mizuri zaidi ya kumsubiria Magufuli anasema nini. 1. Elimu: Kwanini tunakurupuka sasa na kujenga vibanda tunavyoita madarasa! wakati kuna kitengo...
  20. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Data Officer at MDH - 06 Positions

    Management and Development for Health (MDH) is a non-profit, non-governmental organization whose primary aim is to contribute to address public health priorities of the people of Tanzania and the world at large. These priorities include: communicable diseases such as HIV/AIDS, Tuberculosis and...
Back
Top Bottom