data

  1. M

    Makampuni ya simu yadharau agizo la Serikali (TCRA)

    Mpaka sasa hivi makampuni ya simu yanaendelea kuuza vifurushi kwa bei ileile onevu ambayo ililalamikiwa na wananchi hapo jana. Licha ya Serikali kupitia TCRA kuagiza usitishwaji wa viwango hivyo, bado makampuni hayo yamekaidi na yanaendelea 'kuwaibia' wananchi kwa kuuza bando kwa bei ambazo...
  2. heartbeats

    Acha kulalamika vifurushi kupanda, anza kuwa na data plan

    PUNGUZA MATUMIZI YA MTANDAO YASIYO NA TIJA. 👉🏿 Punguza kutizama video za kuchekesha na zisizofundisha chochote. 👉🏿Punguza na Acha kutizama video zenye maudhui ya NGONO hapa MB zinakwenda sana bila faida 👉🏿Punguza na futa magroup ya telegram yenye maudhui yasio na faida, mfano magroup ya...
  3. Ushimen

    SICPA Tanzania Jobs, March 2021- Data Analyst

    JOB TITLE: Data Analyst Req ID: 20524 Location: Dar Es Salaam (TZ10), Tanzania Department: Customer Projects Deployment & Services (50015623) Job Family: Sales and Customer Support PURPOSE OF THE JOB: We are looking to employ a Data Analyst to actively participate in Service Centre activities...
  4. Sam Gidori

    Unaishiwa bando haraka? Fahamu namna ya kudhibiti matumizi yako ya data mtandaoni

    Umeshawahi kuwa mhanga wa kifurushi chako kuisha kabla haujakusudia kiishe? Pengine umekuwa ukilalamika kuwa baadhi ya mitandao inakumalizia data zako, na hii inaweza kusababishwa na kutofahamu kiwango cha data kinachotumika kwa matumizi ya kawaida mtandaoni. Si rahisi kuweka makadirio ya moja...
  5. Niwahi_Kibangi

    IXAfrica breaks ground on data center campus in Nairobi, Kenya

    IXAfrica has broken ground on an 18MW data center in Nairobi, Kenya. Speaking during the ground breaking ceremony, IXAfrica chairman Guy Willner said that the data center will be IXAfrica’s first after years of delays and is on track to be East Africa’s largest ‘hyperscale-ready’ campus. The...
  6. Analogia Malenga

    Dkt. Mollel: Ni ujinga Waziri kutoa Data za Walioathiriwa na Corona kila siku. Bei ya chanjo ni Tsh 400,000

    Naibu Waziri wa Wizara ya Afya Jinsia Wazee na Watoto amesema watu wengi wanasema Tanzania haitoi data, ambapo amesema data haina haja ya kutangazwa kila siku na Waziri, utakuwa ni ujinga mtupu. Amesema Data huwa inataka uchakataji ili kujua tatizo ya magonjwa yanayosababisha vifo na kujua...
  7. Jackal

    Israel: Vaccine prevents 98.9% of COVID deaths, Israel’s Health Ministry data shows

    Israel’s Health Ministry said Saturday that coronavirus vaccines were “dramatically” effective and the latest data shows the shots were 98.9% effective at preventing death caused by COVID-19. “The vaccine dramatically reduces serious illness and death and you can see this influence in our...
  8. Chizi Maarifa

    Tutaponea wapi sisi Watanzania baada ya Serikali kututupa mkono? Airtel nao washusha kiwango cha Data

    Watanzania kama ilivyo ada tumekuwa wanyonge mpaka basi. Tumekubali kukamuliwa kila sehemu na Serikali imeamua kuendelea kutunyonya mpaka damu. Kifurushi cha Airtel cha Tsh 1,000 kwa GB 1 nacho kimepunguzwa. Sasa ni MB 500 kwa tsh 1000 ndani ya siku 3. Tunajua Serikali nayo inafaidika na...
  9. Granite

    Vodacom Kulikoni? TCRA hebu tuokoeni na hizi gharama za Data

    Nilizoea kujiunga Vifurushi vya aina mbili vya wiki 2Gb kwa Tsh.3,000/= au 4Gb kwa Tsh.5,000/= Leo nimekutana na hali tofauti, 1Gb kwa 3,000/= na 2GB kwa 5,000/= kwa kweli nimechanganyikiwa kidogo hasa ukiangalia hali tunayoipitia mtaani. Mbona hii mitandao imekuwa na upandishaji wa gharama...
  10. The Palm Tree

    Rwanda, Kenya, Uganda, DR Congo na jirani wengine waanza kupokea chanjo ya COVID 19. Burundi na Tanzania - NO DATA YET

    Katika nchi za Afrika Mashariki, inaonesha kuwa ni Burundi na Tanzania pekee ndiyo hazina virusi vya korona na kwa hiyo hawahitaji chanjo ya COVID 19. HOFU na WOGA ni roho za kuzimu na infact ndiyo lango kuu la nguvu za uharibifu na kifo.... IMANI kwa Mungu Baba Muumba wa vyote ndiyo UHAI na...
  11. J

    Dkt. Kigwangalla amuomba Rais Magufuli kutolea kauli ombi walilompelekea Waziri Bashe, lakini Bashe apangua hoja kwa data!

    Leo Rais Magufuli amesimama katika mji wa Puge na kumtaka mbunge wa Nzega vijijini kuelezea matatizo ya jimbo hilo. Ndipo alisimama mh Kigwangalla na kusema wao walipeleka ombi la kujengewa scheme ya umwagiliaji kwa naibu waziri wa kilimo mh Bashe lakini kwa kuwa Rais Magufuli yupo jimboni hapo...
  12. E

    Data analysis bure!

    Habari wapendwa! Karibu nikufanyie data analysis bure kwa mahitaji mbalimbali. Inawezekana una repoti kazini,shuleni, au chuoni, Inawezekana unataka kujua ufanisi wa mradi wako kwa kadri ya malengo yako, Inawezekana una utafiti wako unaufanyia kazi na unahitaji majibu ya swali kuu, Inawezekana...
  13. K

    Serikali fanyeni mipango kutokana na data

    Nashangazwa na serikali hasa ukizingatia wameweka wasomi wengi sana. Kwasababu ya mazoea wasomi wetu sio wabunifu na hakuna sera siku hizi na mapingo mizuri zaidi ya kumsubiria Magufuli anasema nini. 1. Elimu: Kwanini tunakurupuka sasa na kujenga vibanda tunavyoita madarasa! wakati kuna kitengo...
  14. Jamii Opportunities

    Data Officer at MDH - 06 Positions

    Management and Development for Health (MDH) is a non-profit, non-governmental organization whose primary aim is to contribute to address public health priorities of the people of Tanzania and the world at large. These priorities include: communicable diseases such as HIV/AIDS, Tuberculosis and...
  15. sky soldier

    Usilalamike unaibiwa, jifunze kubana matumizi ya kifurusshi cha data kwenye computer yako

    "Yani nimejiunga kifurushi cha gb 1 baada ya dakika 5 kimeisha, makampuni ya simu wezi" Hizo ni baadhi ya kauli za watu wanaodhani wanaibiwa bila kujua kwamba lawama zipo upande wao Computer zetu hizi za windows zimetengenezwa katika namna ya kwamba endapo kutakuwa kuna updates basi zitaji...
  16. Jamii Opportunities

    GIS and data analysis specialist at The Grumeti Fund Trust

    GIS AND DATA ANALYSIS SPECIALIST DEPARTMENT: RESEARCH AND MONITORING DUTY STATION GRUMETI; MARA REGION, TANZANIA REPORTING LINE HEAD OF DEPARTMENT; RESEARCH AND MONITORING Description The Grumeti Fund Trust’s Research & Monitoring department is looking for a highly qualified and motivated...
  17. isajorsergio

    WhatsApp yarahisisha mfumo wa kuhifadhi nafasi katika simu yako

    Mtandao wa kijamii na mawasiliano WhatsApp umefanya maboresho katika mfumo wa uhifadhi na nafasi 'Storage' kwa kurahisisha namna ya upatikanaji wa data/mafaili (Picha, Gifs, Video na Stika) zinazochukua nafasi kubwa katika simu yako. Zana hii itashuhudiwa kwa watumiaji wa WhatsApp duniani kote...
  18. M

    TCRA na Kampuni za Simu zirudishe vifurushi vya data za Wateja baada ya Mitandao kuzimwa

    Makampuni ya mawasiliano nchini yamezima data takriban wiki moja sasa. Wakati yakizima, hayakuwatangazia wateja juu ya uzimaji huo, na hivyo wateja wengi wakajikuta vifurushi walivyokuwa wameweka kwenda bure! Lakini pia, kwa wale ambao hawakujua kuwa kuna kuzimwa kwa makusudi kwa mtandao...
  19. Replica

    WiFi ya Umma: Jinsi wadukuzi wanaweza kuitumia kuiba data zako

    Upo kwenye simu janja yako muda wote? Muda wote imeunganishwa kwenye mtandao unavyosogoa na marafiki kupitia Whatsapp, Instagram na mitandao mingine ya kijamii? Upo kwenye hatari ya wizi wa mtandaoni Kadri mjadala kuhusu wizi unaowezeshwa na komputa unaendelea kushika hatamu kwenye mitandao ya...
  20. Miss Zomboko

    Afisa mpya ya Kamishna wa Kulinda Data atalinda maelezo kuhusu Wakenya yanayohifadhiwa na kampuni za kubwa za kiteknolojia kama vile Facebook, Twitter

    AFISI mpya ya Kamishna wa Kulinda Data italinda maelezo kuhusu Wakenya yanayohifadhiwa na kampuni za kubwa za kiteknolojia kama vile Facebook, Twitter na Google, Immaculate Kassait ambaye ameteuliwa kushikilia wadhifa huo amewahakikishia wabunge. Bi Kassait, ambaye kabla ya Rais Uhuru Kenyatta...
Back
Top Bottom