data

  1. T

    JamiiForums Tanzania Data Tasks and Research Solutions with Digital Technologies

    Whether you are an undergraduate, a master, or a Ph.D. student, researcher, consultant, or working on any project (from personal projects to critical mission data-intensive projects) that requires you to collect, store, manage, process, and analyze data or just doing one of these tasks, we have...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi (uhasibi, cashier, teller, auditor,data clerk,bookeepr)

    Mimi mhitimu wa shahada ya kwanza ya uhasibu ( Bachelor degree of accounting-IFM) ,Mwenye uzoefu wa mwaka mmoja katika fani ya uhasibu.pia nina uzoefu katika application za MS Exel,MS word , MS PowerPoint, typing . Kwa sasa nafanya CPA (T) nipo intermediate level Nipo dar es salaam pia naweza...
  3. Khadija Mtalame

    JamiiForums Tanzania Mafyongo Ikulu: Wakurugenzi wawili wameteuliwa sehemu mbili tofauti

    1. Lutengano George;- kateuliwa Wilaya ya Bukombe-Geita na Wilaya ya Misungwi-Mwanza (21&108) 2. Dollar Rajab Kusenge naye kateuliwa Wilaya ya Kasulu -Kigoma na Wilaya ya Njombe- Njombe-. (46&115) Ikulu hawako serious. Zaidi, soma: News Alert: - UTEUZI: Rais Samia afanya uteuzi wa Wakurugenzi...
  4. Artifact Collector

    JamiiForums Tanzania MYU Capital develop data science system with no acquisition cost, you will pay only installation and set up cost

    MYU Capital is analytics and investment research company, develop data science system. We Assist enterprise to develop data science system for different purpose you will pay zero in acquisition, and paying only installation and set up cost. After handover system to you we will fix all problem...
  5. J

    JamiiForums Tanzania Jinsi gani ya kuset data plan katika Simu?

    Samahani, mwenye uelewa na hii feature anisaidie jinsi ya kuset data plan
  6. Shujaa Mwendazake

    JamiiForums Tanzania Serikali acheni "Kutengeneza Kick" kwa gharama zetu; Bando za Data mlitudanganya, tuondoleeni kabisa hii Sheria ya Tozo

    Nilipomsikia Mh Mwigulu kuwa wameagizwa na Mama kuangalia upya Tozo za miamala kuwa zinatia shaka ghafla nimekumbuka suala la Bando za data kupunguzwa kipindi kile na Mh Ndugulile. Zilipopunguzwa ziliibuka sarakasi nyingi na maneno yakawa ni mengi. Hatimaye Mama Samia akaagiza zirudishwe na...
  7. Below 40

    JamiiForums Tanzania Samsung s6 edge+ inafeli ku acces internet data.

    Asalam wakuu natumaini wazima. Kuna simu Samsung s6 inazingua accessibility ya internet kila nikijaribu ku surf inanambia unblock Samsung internet first hata nikitumia wi fi mziki ni uleule,naombeni ushauri kabla sija restore factory au kuiflash nifanye nini?
  8. Kasomi

    JamiiForums Tanzania Kujua Application zinazotumia Data na kuweka ukomo

    Kujua aplikesheni zinazotumia zaidi data. Nenda sehemu ya settings(Mipangilio) Kisha bonyeza kitufe cha Network & internet/connections(mtandao na miunganisho) Kisha bonyeza Data Usage(Matumizi ya data) kisha Mobile data usage(matumizi ya data ya simu). Kudhibiti matumizi. Nenda kwenye...
  9. Rebeca 83

    JamiiForums Tanzania Do we need data for Covid?

    Covid-19 is viral infection pandemic that emerged in 2019 that has bought undesired consequences such as business closures, anxiety, uncertainty, loss of life etc. in dealing with it measures such as social distancing, face coverings etc have been deployed. Efficiency of these measures have been...
  10. Hamis Juma

    JamiiForums Tanzania Data Collection - part time (Varsity students and recent graduates)

    Asante. Wamepatikana, asante wachache kwa mliokuja PM na offfer zenu, tutaigawa wote tupate.
  11. Mesorphine

    JamiiForums Tanzania Msaada juu ya kuprint data zote kwenye drop down list kwenye excel 2013

    Habari ya uzima wakuu katika jukwaa la technolojia. Naomba mwenye ujuzi wa kwenye ms. excel anisaidie jinsi ya kuprint data zote kwenye “drop down menu” automatically kwa kutumia button moja. Au hata kwa kutumia VBA code azinisaidie then kuziset kwa kuedit sheet ya drop down list na cell...
  12. Suley2019

    JamiiForums Tanzania IMF: Tanzania lazima iweke wazi takwimu za COVID-19 ili ipate msaada wa dharura

    Tanzania inahitaji kuweka wazi data ya ueneaji kwa Covid-19 kabla ya kupata idhini ya mkopo wa dharura wa Dola 574 milioni kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa. Maamuzi hayo yanatokana hali ya kutojulikana kwa takwimu halisi za ugonjwa huo tangu Serikali ilipoacha kuziweka wazi Mei mwaka 2020...
  13. stakehigh

    JamiiForums Tanzania Mauzo ya data Tanzania ni hasara

    Kwa wale waliofuatilia interview ya boss wa Voda Hashim Hendi, ali-hint kuhusu bei za data kwamba makampuni ya simu Tanzania yanauza data kwa Sh1 to 1.2 per megabyte, kama aliyoyasema ni kweli basi nchi nzima makampuni hayana net profit kwenye mauzo ya data na hata process ya kuuza minara...
  14. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Data Analyst at The School of St Jude

    Data Analyst Want to work for one of the largest charities of its kind in Africa? Are you passionate about data and making stories out of numbers? If it sounds like we’re talking about you… Keep reading! About Us The School of St Jude is a pioneering leader in charitable education within...
  15. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Data Manager at ASUTA

    Job Title: Data Manager Job Location: Dar es salaam. Temeke District Organisation: Asasi ya Uwezeshaji Tanzania – ASUTA Asasi ya Uwezeshaji Tanzania – ASUTA working in partnership with FHI 360 on Epidemic Control (EpiC) which is a global project funded by the U.S. President’s Emergency Plan...
  16. Kigger

    JamiiForums Tanzania Msaada wa wipe data/factory reset

    Msaada wa kurestore simu imejiweka pin Mara nyingi sasa inanipa 24 hours ndio niweze weka pin na mi nahitaji kutumia muda huu nisema ni flash kila kitu kitajifuta msaada wenu nitumie njia gani niweze weka pin bila kufuta vitu kwenye simu
  17. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Mtandao wa tigo ni Wezi wa Data

    Leo mimi mwenyewe ni mwathirika wa wizi wa bundle unaofanywa na tigo. Yaani kudownload nyimbo 3 ambazo jumla hazifiki 20MB na kutumia JF na Whatsapp. Nacheck muda huu nina 34MB katika one GB nliyokuwa nayo asubuhi. Huu ni uhuni na wizi wa kiwango kikubwa sana. Hakuna kitu ambacho nmefungua...
  18. stakehigh

    JamiiForums Tanzania Huenda Tanzania ikawa inauza data kwa bei ndogo kuliko nchi zote Afrika

    For the second year running, Tanzania is the country in East Africa where you will pay lowest to access the internet on your smartphone, according to data released recently by British technology research firm Cable. The report, Worldwide Mobile Data Pricing 2021, reveals that Somalia is no...
  19. Geza Ulole

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Here is the rank for EA's data affordability and internet accessibility

    Tanzania remains the place to be for cheapest data, internet access WEDNESDAY APRIL 28 2021 Summary For the second year running, Tanzania is the country in East Africa where you will pay lowest to access the internet on your smartphone. PHOTO | FILE | NMG Countries with long-established...
  20. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Data Clerk at World Health Organization

    Purpose of the SSA: Background Tanzania has made tremendous progress in eradication of poliomyelitis and elimination of MNTE and measles. . The last case of Polio was in 1996 and since then no case of wild poliomyelitis or cVDPV has been detected in Tanzania. In 2020, the WHO African region was...
Back
Top Bottom