dar

Darkənd (also, Dər, Dar, and Der) is a village and municipality in the Ordubad District of Nakhchivan, Azerbaijan. It is located in the south of the Ordubad-Nakhchivan highway, 15 km in the south-west from the district center, on the right bank of the Gilanchay River. Its population is busy with gardening, vegetable-growing, animal husbandry. There are secondary school and a medical center in the village. It has a population of 500. The ruins of the historical and architectural monuments is in the territory of the village. The tomb, the mosque's minaret, etc. is attracting attention.

View More On Wikipedia.org
  1. J

    Horticulturist Job Vacancy, Dar es Salaam

    Job Title: Horticulturist Location: Dar es Salaam, Tanzania Job Summary: We are seeking a Horticulturist to help improve plant growth, yield, and quality. Horticulturist will manage gardening operations, care for various plants, and lead research efforts to optimize crop development. Key...
  2. JanguKamaJangu

    Askari Polisi ni wengi leo Mitaa ya Dar es Salaam, wanaimarisha ulinzi na wanaonekana wapo tayari kwa “kazi”

    Naona ulinzi umeimarishwa mitaa ya katikati ya Jiji la Dar es Salaam, maeneo mengi kuna askari ambao wanaonekana wapo tayari kwa kazi wakiwa na silaha, magari ya maji ya kuwasha, virungu na vingine vingi.
  3. M

    PreGE2025 Polisi watanda Dar es Salaam kuzuia CHADEMA kwenye kesi ya Lissu

    Nimepatwa na mshangao kwa kukuta kila sehemu ya makutano na taa katikati ya jiji la Dar es Salaam ikiwa na magari mawili hadi matatu ya Jeshi la Polisi ambayo yamewasha double hazard na askari wakiwa na silaha wamesimama pembeni ya gari hizo. Hii haina tafsiri zaidi ya hofu dhidi ya Chadema...
  4. comrade_kipepe

    Dar es Salaam kuna raha sana, ila CCM ndio wanapaharibu

    Kuna sehemu hapa npo na mtoto aisee, Mali mpya kabisa Watu wa mikoan huko uzeni mashamba na mifugo mje mjini aisee
  5. M

    Mvua kubwa inayoendelea kunyesha Dar leo Aprili 23, tupia picha eneo lililoathirika

    Wakuu mvua ya leo kiboko, imeanza kunyesha kuanzisha jana usiku, tupo nayo mpaka sasa. Kama kawaida mvua kama hii ya mfululizo lazima iache madhara sehemu mbalimbali kama miundombinu kuharibika, foleni kuongezeka, watu kuchelewa kazini nk nk. Vipi eneo ulililopo mvua haijaacha madhara? Tupia...
  6. Kitomai

    House4Rent Modern 2-BHK Apartment for Rent | Upanga, Dar es Salaam**

    Features: Bedrooms: 1 en-suite + 1 shared bathroom. Spaces: Open-plan kitchen, living & dining areas, private balcony. Utilities: Dawasa water supply & Bole reservoir access. 🔧 Amenities: - Elevator, standby generator, secure parking. 📞 Contact: WhatsApp 0755 312 233 for pricing...
  7. Kitomai

    House4Rent **Modern 3-Bedroom Apartment | Upanga, Dar es Salaam**

    🏠 Features: Master en-suite + 2 shared-bedrooms, open-plan living, balcony, ACs, ceiling fans, higher floor. 🏢 Amenities: Gym, elevators, standby generator, CCTV, secure parking. 💵 Price: TSh 2.7M/month (6-month advance payment). 📲 Contact: WhatsApp 0755 312 233 for viewing. #LuxuryLiving...
  8. Emilio Mzena

    BM wamefuta utawala wa mabasi ya Kilimanjaro kwa ruti ya Dar - Arusha

    Zamani kwa ruti ya Dar Arusha ilitawaliwa na Kampuni ya Mabasi ya Kilimanjaro chini ya Mkurugenzi Sawaya. Siku hizi naona makampuni ni mengi na Kilimanjaro Bus ni kama utawala wake umefika mwisho. Kampuni kama BM anatoa mabasi mengi kwa siku, naona utawala wa Mzee Sawaya unaenda mwisho huko...
  9. Waufukweni

    PreGE2025 Bodaboda, Bajaji na Wajasiriamali Dar wagomea maandamano CHADEMA

    Baadhi ya wanachama wa Umoja wa Waendeshaji Bajaji, Bodaboda na Wajasiriamali Jijini Dar es Salaam wametangaza kutoshiriki maandamano yaliyoitishwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), yaliyopangwa kufanyika Aprili 24, 2025, kuelekea Mahakama ya Kisutu, ambako kesi ya Mwenyekiti wa...
  10. M

    Fahdu Davis umenikera sana leo, safari ya kurud Dar naiona ndefu sana

    Uongozi umefanya kila jitihada, mambo yote yanayotakiwa kufanyika yalifanyika lakn wewe ndio umeharibu kila kitu, kazi yako ilikuwa kulalamika tu uwanjani bila solutions Hongera sana kwa kuivusha kisayansi Stellenbosch
  11. Just Pray

    Mwigizaji Carina azikwa makaburi ya Kisutu, Dar

    Aliyekuwa mwigizaji wa Filamu nchini marehemu Hawa Hussein (Carina), amezikwa leo Aprili 19, 2025 katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam. Carina alifariki dunia Aprili 15, 2025 nchini India alikoenda kupatiwa matibabu ya tumbo ambalo limemsumbua kwa zaidi ya miaka saba, huku akifanyiwa...
  12. Dalali mbeya jiji

    Kijana anatafuta nafasi ya kazi kwa mkoa wa Dar es salaam au Dodoma.

    Habari humu ndani kijana anafuta nafasi ya kazi. Amemaliza CBE DODOMA 2021. Ana Diploma Bissness Administration. Ni kijana mwaminifu na muadilifu sana. Mawasiliano. +255761972755,+255612246050. Tumsaidie apate ajira ndugu zanguni
  13. kimsboy

    Kuna maeneo ukikaa hapa Dar utaonekana ni wa hovyo

    Kuna maeneo hapa Dsm ukijitambulisha kuwa unaishi huko automatic utaonekana wewe ni mtu wa hovyo, Low IQ, au low class hata kama una kipato kizuri tu Mfano wa maeneo hayo ni[emoji1313] 1.Mbagala 2.Tandale 3.Manzese 4.Kigogo 5.Vingunguti Nyingine mnaweza kuongezea, haya maeneo ukisema...
  14. I

    Katibu Mkuu wa BAVICHA amshangaa Kamanda wa polisi Dar Jumanne Murilo!

    Katibu Mkuu wa BAVICHA akishiriki katika kipindi cha Malumbano ya hoja ITV jana alimshangaa Jumanne Murilo kutishia wananchi na kupiga marufuku kwenda kusikiliza kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Taifa Chadema Tundu Lissu katika mahakama ya Kisutu. Katibu Mkuu huyo amehoji Kamanda...
  15. Yusufu Mjasili

    Tunatengeneza furniture za maofisini na majumbani kwa gharama nafuu. Tupo Mabibo jijini dar es salaam karibu na chuo cha usafirishaji NIT. 0715 494920

    Karibu sana..
  16. Dalali_wa_kimataifa

    House4Sale Nyumba ya ghorofa inauzwa fukwe ya Kigamboni

    One storey Beach House for sale at Kigamboni, Magogoni -It has six bedrooms all en-suite, sitting room, dining room, kitchen, store and public toilet. -There is a lift and Swimming pool - Servant Quarter with one bedroom, sitting room and public toilet -Plot size Sqmtrs 1,960 -Document...
  17. Jacobus

    Radio za Dar hazisikiki Tabora. Kunani?

    Ilianza Wasafi FM 94.5 tokea mwaka jana, ikaja East Africa Radio 105.2 hii yapata kama mwezi hivi, imefuatiwa na Clouds FM 88.0 na E FM 93.7 hizi ni wiki hii na inayokatakata kwa sasa ni Radio Maria 93.7. Radio Free Africa ya Mwanza 90.0 yenyewe mvua ikinyesha tu inapotea, sijui mtambo wake...
  18. Pfizer

    RC Chalamila kuwalipia nauli wana Dar Es Salaam 200 kushiriki betika Mbeya Tulia Marathon

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila ameyasema hayo leo April 15,2025 akiongea na waandishi wa Habari Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam wakati akikabidhiwa Jezi maalum ya kushiriki Betika Mbeya Tulia Marathon ambayo mwaka huu inatarajiwa kufanyika Mei 9 - 10, 2025 Jijini Mbeya...
  19. Blaszczykowski

    Kiwanja kinauza nusu Heka - Dar es salaam - Bunju A

    Habari . Kiwanja kinauza takribani nusu heka kipo Dar es salaam -wilaya kinondoni -Bunju A karibu na Sarafia school. Price - 95m maongezi yapo -kutoka bagamoyo road mpaka site NI DK 10 Tu ( mtaa WA madoctor ) Full document zipo ukitaka kupaona anytime nipo apa Bunju WhatsApp / call 0715160365
Back
Top Bottom