Motel Agip Dar Inaoza!

Motel Agip Dar Inaoza!

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
16,861
Reaction score
25,769
355c2833-bc5d-41d6-ab97-c6b04d19a9d1.jpeg




Motel Agip iliyopo Posta jijini Dar es Salaam ilifungwa rasmi tarehe 18 Desemba 1998 kutokana na mgogoro mkubwa wa kimkataba wa upangaji na ukodishaji kati ya uongozi wa hoteli hiyo na mmiliki wa jengo, kampuni ya mafuta ya Agip Tanzania Limited. Hoteli hiyo yenye vyumba 57 ilikuwa kitovu kikuu cha burudani na diplomasia nchini.​

Mpaka leo , 16-7-2026 Hotel imekuwa gofu, wanalala mateja na vibaka Posta, haizalishi na imekuwa uchafu katikati ya Jiji.

Kuanzishwa kwa Motel Agip:-
  • Mwaka wa Ufunguzi: Hoteli ilikamilika na kuanza huduma rasmi mwaka 1964.​
  • Waasisi: Ilijengwa na kampuni ya mafuta ya Kiitaliano ya Agip (Azienda Generale Italiana Petroli)kupitia shirika mama la ENI.​
  • Lengo la Mradi: Ilikuwa sehemu ya mpango mkakati wa Italia uliorubuniwa kama "disegno africano"kupanua soko la nishati na huduma barani Afrika.​
  • Upekee wake: Ilikuwa kielelezo cha usanifu wa kisasa wa Kiitaliano na ilijumuisha ukumbi wa mazoezi ghorofa ya sita ukiangalia Bahari ya Hindi.​
  • Umaarufu: Ilikuwa maskani ya wanadiplomasia, wafanyabiashara, na wasafiri. Pia ilitamba sana kutokana na Disco la Mawingu lililokuwa likiongozwa na Ma-DJ nguli kama DJ Bonny Love.​

Kufungwa kwa Hoteli (1998)
  • Sababu Kuu: Mgogoro wa mkataba wa kodi na upangaji uliokuja juu kati ya uongozi wa uendeshaji (chini ya Mkurugenzi Emmanuel Mantheakis) na wamiliki wa jengo (Agip Tanzania).
  • Athari: Zaidi ya wafanyakazi 150 walipoteza kazi ghafla usiku wa tarehe 18 Desemba 1998.
  • Uamuzi wa Wanahisa: Waendeshaji waliamua pia kuelekeza nguvu zao kwenye hoteli mpya ya Sheraton Dar es Salaam iliyofunguliwa mwaka 1995.

Kwanini Haifunguliwi Hadi Sasa?
Pamoja na kupita kwa miongo kadhaa, jengo hilo limeendelea kusimama bila kufanya kazi kwa sababu zifuatazo:
  • Mivutano ya Umiliki na Wawekezaji: Mwaka 2011, kampuni ya Wellworth Group of Companiesilitangaza kununua hoteli hiyo pamoja na Embassy Hotel kwa lengo la kuzikarabati. Hata hivyo, miradi hiyo ilisuasua kutokana na urasimu wa kisheria na mabadiliko ya mipango ya uwekezaji.
  • Migogoro ya Kisheria na Kifedha: Majengo mengi ya zamani ya Posta (ikiwemo Embassy iliyo jirani) yalikumbwa na kesi za madai ya wafanyakazi na migogoro ya umiliki wa hisa za serikali na sekta binafsi, hali iliyofanya mali hizo kubaki "frizoni" kisheria.
  • Uchumi wa Matengenezo: Miundombinu ya jengo hilo imechakaa sana baada ya kukaa miaka mingi bila matengenezo. Wawekezaji wengi huona gharama ya kubomoa au kukarabati majengo ya kizamani katikati ya jiji kuwa kubwa mno ikilinganishwa na kujenga mapya.
Starehe zirudishwe Posta, haya walivunja Bill Canas kufanya kijiwe cha mateja na waosha magari, poor Africans.
Wameua Hoteli zimelala pale to date hatujui hatma.
 
View attachment 3630096



Motel Agip iliyopo Posta jijini Dar es Salaam ilifungwa rasmi tarehe 18 Desemba 1998 kutokana na mgogoro mkubwa wa kimkataba wa upangaji na ukodishaji kati ya uongozi wa hoteli hiyo na mmiliki wa jengo, kampuni ya mafuta ya Agip Tanzania Limited. Hoteli hiyo yenye vyumba 57 ilikuwa kitovu kikuu cha burudani na diplomasia nchini.

Mpaka leo , 16-7-2026 Hotel imekuwa gofu, wanalala mateja na vibaka Posta, haizalishi na imekuwa uchafu katikati ya Jiji.

Kuanzishwa kwa Motel Agip:-
  • Mwaka wa Ufunguzi: Hoteli ilikamilika na kuanza huduma rasmi mwaka 1964.
  • Waasisi: Ilijengwa na kampuni ya mafuta ya Kiitaliano ya Agip (Azienda Generale Italiana Petroli)kupitia shirika mama la ENI.
  • Lengo la Mradi: Ilikuwa sehemu ya mpango mkakati wa Italia uliorubuniwa kama "disegno africano"kupanua soko la nishati na huduma barani Afrika.
  • Upekee wake: Ilikuwa kielelezo cha usanifu wa kisasa wa Kiitaliano na ilijumuisha ukumbi wa mazoezi ghorofa ya sita ukiangalia Bahari ya Hindi.
  • Umaarufu: Ilikuwa maskani ya wanadiplomasia, wafanyabiashara, na wasafiri. Pia ilitamba sana kutokana na Disco la Mawingu lililokuwa likiongozwa na Ma-DJ nguli kama DJ Bonny Love.

Kufungwa kwa Hoteli (1998)
  • Sababu Kuu: Mgogoro wa mkataba wa kodi na upangaji uliokuja juu kati ya uongozi wa uendeshaji (chini ya Mkurugenzi Emmanuel Mantheakis) na wamiliki wa jengo (Agip Tanzania).
  • Athari: Zaidi ya wafanyakazi 150 walipoteza kazi ghafla usiku wa tarehe 18 Desemba 1998.
  • Uamuzi wa Wanahisa: Waendeshaji waliamua pia kuelekeza nguvu zao kwenye hoteli mpya ya Sheraton Dar es Salaam iliyofunguliwa mwaka 1995.

Kwanini Haifunguliwi Hadi Sasa?
Pamoja na kupita kwa miongo kadhaa, jengo hilo limeendelea kusimama bila kufanya kazi kwa sababu zifuatazo:
  • Mivutano ya Umiliki na Wawekezaji: Mwaka 2011, kampuni ya Wellworth Group of Companiesilitangaza kununua hoteli hiyo pamoja na Embassy Hotel kwa lengo la kuzikarabati. Hata hivyo, miradi hiyo ilisuasua kutokana na urasimu wa kisheria na mabadiliko ya mipango ya uwekezaji.
  • Migogoro ya Kisheria na Kifedha: Majengo mengi ya zamani ya Posta (ikiwemo Embassy iliyo jirani) yalikumbwa na kesi za madai ya wafanyakazi na migogoro ya umiliki wa hisa za serikali na sekta binafsi, hali iliyofanya mali hizo kubaki "frizoni" kisheria.
  • Uchumi wa Matengenezo: Miundombinu ya jengo hilo imechakaa sana baada ya kukaa miaka mingi bila matengenezo. Wawekezaji wengi huona gharama ya kubomoa au kukarabati majengo ya kizamani katikati ya jiji kuwa kubwa mno ikilinganishwa na kujenga mapya.
Usiku ni danguro
 
Usiku ni danguro
Jiulizw kuna watu wanalala pale miaka zaidi ya 30 hawalipi kodi, wanaficha m,ali, hivi hata kama ingefunguliwa kulala iwe laki moja tu, ingejaa vyumba vyote na watalii wangejaa maana wanapenda majengo yenye historia.

hizo fedha zingewekeza kuboresha shule za msingi na awali huko Mbagala na Temeke na huko Mikwambe.
 
View attachment 3630096



Motel Agip iliyopo Posta jijini Dar es Salaam ilifungwa rasmi tarehe 18 Desemba 1998 kutokana na mgogoro mkubwa wa kimkataba wa upangaji na ukodishaji kati ya uongozi wa hoteli hiyo na mmiliki wa jengo, kampuni ya mafuta ya Agip Tanzania Limited. Hoteli hiyo yenye vyumba 57 ilikuwa kitovu kikuu cha burudani na diplomasia nchini.

Mpaka leo , 16-7-2026 Hotel imekuwa gofu, wanalala mateja na vibaka Posta, haizalishi na imekuwa uchafu katikati ya Jiji.

Kuanzishwa kwa Motel Agip:-
  • Mwaka wa Ufunguzi: Hoteli ilikamilika na kuanza huduma rasmi mwaka 1964.
  • Waasisi: Ilijengwa na kampuni ya mafuta ya Kiitaliano ya Agip (Azienda Generale Italiana Petroli)kupitia shirika mama la ENI.
  • Lengo la Mradi: Ilikuwa sehemu ya mpango mkakati wa Italia uliorubuniwa kama "disegno africano"kupanua soko la nishati na huduma barani Afrika.
  • Upekee wake: Ilikuwa kielelezo cha usanifu wa kisasa wa Kiitaliano na ilijumuisha ukumbi wa mazoezi ghorofa ya sita ukiangalia Bahari ya Hindi.
  • Umaarufu: Ilikuwa maskani ya wanadiplomasia, wafanyabiashara, na wasafiri. Pia ilitamba sana kutokana na Disco la Mawingu lililokuwa likiongozwa na Ma-DJ nguli kama DJ Bonny Love.

Kufungwa kwa Hoteli (1998)
  • Sababu Kuu: Mgogoro wa mkataba wa kodi na upangaji uliokuja juu kati ya uongozi wa uendeshaji (chini ya Mkurugenzi Emmanuel Mantheakis) na wamiliki wa jengo (Agip Tanzania).
  • Athari: Zaidi ya wafanyakazi 150 walipoteza kazi ghafla usiku wa tarehe 18 Desemba 1998.
  • Uamuzi wa Wanahisa: Waendeshaji waliamua pia kuelekeza nguvu zao kwenye hoteli mpya ya Sheraton Dar es Salaam iliyofunguliwa mwaka 1995.

Kwanini Haifunguliwi Hadi Sasa?
Pamoja na kupita kwa miongo kadhaa, jengo hilo limeendelea kusimama bila kufanya kazi kwa sababu zifuatazo:
  • Mivutano ya Umiliki na Wawekezaji: Mwaka 2011, kampuni ya Wellworth Group of Companiesilitangaza kununua hoteli hiyo pamoja na Embassy Hotel kwa lengo la kuzikarabati. Hata hivyo, miradi hiyo ilisuasua kutokana na urasimu wa kisheria na mabadiliko ya mipango ya uwekezaji.
  • Migogoro ya Kisheria na Kifedha: Majengo mengi ya zamani ya Posta (ikiwemo Embassy iliyo jirani) yalikumbwa na kesi za madai ya wafanyakazi na migogoro ya umiliki wa hisa za serikali na sekta binafsi, hali iliyofanya mali hizo kubaki "frizoni" kisheria.
  • Uchumi wa Matengenezo: Miundombinu ya jengo hilo imechakaa sana baada ya kukaa miaka mingi bila matengenezo. Wawekezaji wengi huona gharama ya kubomoa au kukarabati majengo ya kizamani katikati ya jiji kuwa kubwa mno ikilinganishwa na kujenga mapya.
iko siku magenge watajimilikisha tu.....
 
Jangwani BRT station gang member mmoja kaweka bandari kavu tayar

Biafra ilianza taratibuuuuuuu imeishaaaa

Jiji halina sehem za wazi za watoto kucheza au watu kupumzika....jiji liko hovyooo
Magomeni Mviringo pale Kanisani wakapiga ka-garden ka geresha eneo lililobaki wamejipigia permanent Bar, Fremu za wamasai na Car Wash, ndio imeenda hiyo.

Jngwani ile yard ndio kwaheri mwenywe atakuwa na hati anajichukulia mkopo hela za maskini wanaotunza benki wakiamini watapata riba.

vipi Oysterbay viwanja vya farasi na pale njia Panda kwenda ubalozi wa Marekani walipokuwa wanauza majiko ya mkaa na maua?
 
Kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya Tanzania ya mwaka 2022, idadi ya watu ni:
Mkoa
Dar es Salaam
Pwani (Coast Region)
[th]
Idadi ya watu (2022)​
[/th]​
[td]
5,383,728
[/td]​
[td]
1,220,611
[/td]​
Kwa kulinganisha:
  • Dar es Salaam: takribani watu milioni 5.38
  • Pwani: takribani watu milioni 1.22
Hii ina maana kwamba Dar es Salaam ina watu zaidi ya mara 4.4 ya Mkoa wa Pwani, licha ya kuwa na eneo dogo zaidi.
Kwa kuwa Dar es Salaam ina eneo la takribani 1,628 km², ina msongamano wa karibu 3,300 watu kwa km². Mkoa wa Pwani, wenye eneo la 32,547 km², una msongamano wa karibu 38 watu kwa km².
Kwa hiyo:
  • Dar es Salaam: eneo dogo, watu wengi sana.
  • Pwani: eneo kubwa sana, lakini watu wachache kwa kulinganisha.

Viongozi wa CCM wangetumia science and technology kuendesha Nchi, Nchi na wao wenyewe wangenufaika sana ✅
 
Magomeni Mviringo pale Kanisani wakapiga ka-garden ka geresha eneo lililobaki wamejipigia permanent Bar, Fremu za wamasai na Car Wash, ndio imeenda hiyo.

Jngwani ile yard ndio kwaheri mwenywe atakuwa na hati anajichukulia mkopo hela za maskini wanaotunza benki wakiamini watapata riba.

vipi Oysterbay viwanja vya farasi na pale njia Panda kwenda ubalozi wa Marekani walipokuwa wanauza majiko ya mkaa na maua?
Wee lile eneo la wazi hapo ubalozini limechukuliwa tayari ?😲
 
Vijana nchi nzima wanaitama kuja DAr kuendesha Boda, baja na kupanga biashara chini na kuweka mabanda kwenye kingo za barabara, unategemea Dar isiwe na watu wengi?
boda ana uhakika wa 50 elfu kwa siku anayepiga mbezi kariakoo, bajaji wanafunga mpaka laki.
 
Magomeni Mviringo pale Kanisani wakapiga ka-garden ka geresha eneo lililobaki wamejipigia permanent Bar, Fremu za wamasai na Car Wash, ndio imeenda hiyo.

Jngwani ile yard ndio kwaheri mwenywe atakuwa na hati anajichukulia mkopo hela za maskini wanaotunza benki wakiamini watapata riba.

vipi Oysterbay viwanja vya farasi na pale njia Panda kwenda ubalozi wa Marekani walipokuwa wanauza majiko ya mkaa na maua?
viwanja vya Farasi kwishaaa

Jangwan pale jamaa atavuta mikopo ya billions
 
Iliokua Embassy Hotel, vipi na yenyewe panaendeleaje?? Ila uwa nikikaa na kufikiria sana naona Jiji la Dar linarudi nyuma badala ya kwenda mbele. Miji yote duniani pale katikati ya jiji uwa ndio sehemu haswa ya starehe, mahoteli na ma restaurant ya nguvu, ma night clubs, mabebez usiku. Yaani watu wanatoka vitongojini wanaenda "central" kula bataz. Lakini Dar eti bataz zipo huko vitongojini ndio maana foleni haziishi. Zamani tulikua tunatoka vitongojini tunaenda ma movie Avalon, New Chox, Empress n.k na night clubs zilikua mjini. Usiku mji umechangamka, siku hizi mjini wamebaki wahindi tu. Jiji linakufa hilo.
 
Iliokua Embassy Hotel, vipi na yenyewe panaendeleaje?? Ila uwa nikikaa na kufikiria sana naona Jiji la Dar linarudi nyuma badala ya kwenda mbele. Miji yote duniani pale katikati ya jiji uwa ndio sehemu haswa ya starehe, mahoteli na ma restaurant ya nguvu, ma night clubs, mabebez usiku. Yaani watu wanatoka vitongojini wanaenda "central" kula bataz. Lakini Dar eti bataz zipo huko vitongojini ndio maana foleni haziishi. Zamani tulikua tunatoka vitongojini tunaenda ma movie Avalon, New Chox, Empress n.k na night clubs zilikua mjini. Usiku mji umechangamka, siku mjini wamebaki wahindi tu. Jiji linakufa hilo.
central imebaki posta watu wanaenda kuishi jiran na msitu Mabwepande
 
Back
Top Bottom