Dar es-Salaam (; from Arabic: دار السلام, romanized: Dār as-Salām, lit. 'Place of Peace') or commonly known as Dar, is the largest city and financial hub of Tanzania. It is also the capital of Dar es Salaam Region. With a population of over six million people, Dar is the largest city in East Africa and the seventh-largest in Africa.
Located on the Swahili coast, Dar es Salaam is an important economic centre and is one of the fastest-growing cities in the world.The town was founded by the first Sultan of Zanzibar in 1865 or 1866. It was the main administrative and commercial center of German East Africa, Tanganyika, and Tanzania. The decision was made in 1974 to move the capital to Dodoma and was officially completed in 1996.Dar es Salaam is Tanzania's most prominent city for the arts, fashion, media, film, and television, as well as serving as its leading financial centre. It is the capital of the co-extensive Dar es Salaam Region, one of Tanzania's 31 administrative regions, and consists of five districts: Kinondoni in the north; Ilala in the centre; Ubungo and Temeke in the south; and Kigamboni in the east across the Kurasini estuary.
LATRA wametoa mkeka mpya ukionesha kutoa ruhusa kwa mabasi makubwa ya abiria kuanza kufanya safari zake katikati ya jiji kutokea stendi ya Mbezi Louis.
Kwa muda mrefu sasa mradi wa Mabasi yaendayo kasi jijini dar-es-salaam umeonesha kukwama/kushindwa/kuhemewa/kufeli kutoa huduma kwa wakazi wa...
RISING INVESTMENT POINTS TO A BRIGHT FUTURE
“The Gate Way to Global Trade”
Issued and Authored by Focus on Tanzania Organization (FOTO)
Bima Street, Plot No. 375, Block ‘B’, Block ‘B’, House No. 001 Mikocheni ‘B’, DSM
Tanzania.
Tel. +255 672535620/+255 717 905 330
E-mail...
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba , Makamu Mwenyekiti wa Chadema , Tundu Lissu amelazimika kukatisha kuangalia Afcon huko Ivory Coast ili kuwahi maandamano ya Amani yaliyotangazwa na Chama chake , yatakayofanyika tarehe 24/01/2024 mapema asubuhi.
Akizungumza na vyombo vya habari vya...
Huu ni mtazamo kulingana na ukweli kuwa, Jengo hili kubwa na zuri, limejengwa pembezeni mwa barabara inayoingia mijini Dodoma (katika ya mji) huku barabara ikiwa finyu na magari teyari ni mengi na siku zijazo barabara itahitajika kupanuliwa.
Ukiangalia, ni wazi watakuwa wamejenga nje ya hifadhi...
Twende.
Mmeonyesha utofauti na ukomavu mkubwa,Kila jicho lililopata nafasi ya kutazama mechi hii ya Dar es salaam Young Africans na waarabu litakiri hili nalokwenda kulisema.
Kiwango cha timu kupambana na kutafuta matokeo chanya uwanjani ni kikubwa sana.
Utimamu wa miili na akili za wachezaji...
MWINYIMBEGU ( MWINYI) DIBIBI si jina geni masikioni mwa watu wa Tanganyika ya kale na hususan wenyeji wa Upwa wa Pwani ya Tanganyika.
Huyu ni Babu yangu ambaye wanamwita kama ni uzao Mkuu ambaye alifanikisha kwa kushinda mapambano ya Uhuru wa Tanganyika katika ardhi ya asili yetu.
Miongoni...
NYERERE DAY: MWALIMU NYERERE NA DOSSA AZIZ WALIPOKUBALIANA KUJENGA CHUO KIKUU WAKIWA WAMEEGESHA GARI MLIMANI
Viongozi wa TANU walikuwa na kawaida wakimaliza mkutano wa hadhara Mnazi Mmoja watakatiza barabara kwa miguu kuja Princess Hotel wakafanya tathmini ya mkutano, kula chakula na kunywa...
Ebhan hapa Dar unaweza pita kwenye nguzo wamebandika tangazo la kazi mara nyingiiiiii mnooo mfano Ds max wanahitaji watu wa kazi wanakuandikia kabisa mshahara may be 275k nafasi za kazi zimegawanyika mfano.
Ofisini
Store keeper
Usambazaji
Udereva
N.k
Nataka kujua kwa wenye uzoefu wa hizi kaz...
Kulia Prof. Issa Shivji, Prof. Saida Othman Yahya, Dr. Ng’wanza Kamata katika mahojiano na Mohamed Said (out of sight) kuhusu Mwalimu Nyerere wakati wa utafiti wa kitabu chake.
Kutokana na adha ya usafiri katika jiji la Dar es salaam hasa kuanzia saa 12 jioni mpaka around saa 3 na saa 4 usiku, nashauri serikali iruhusu magari ambayo yanaweza kubeba abiria(mifano NOAH) yaruhusiwe ili kuondoa mateso na adha kwa abiria.
Ushauri huu ni Kutokana na unwell kuwa katika mida...
Nyumba ya ghorofa inauzwa. Ipo Kigamboni sehemu moja inaitwa DEGE,.. ni kama 20 km's kutoka Ferry. Documents zote zipo(Hati). Ghorofa lina vyumba sita vya kulala vyote ni self contained na sitting rooms mbili, moja chini moja juu.
Limezungushiwa ukuta na eneo la kiwanja ni Square Meter 947 na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.