Tundu Lissu: Nitakuwepo tarehe 24 Dar es Salaam na nitashiriki maandamano

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,733
218,320
Screenshot_2024-01-20-13-10-45-1.png


Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba , Makamu Mwenyekiti wa Chadema , Tundu Lissu amelazimika kukatisha kuangalia Afcon huko Ivory Coast ili kuwahi maandamano ya Amani yaliyotangazwa na Chama chake , yatakayofanyika tarehe 24/01/2024 mapema asubuhi.

Akizungumza na vyombo vya habari vya Kimataifa , Lissu amefurahishwa na Jinsi umma wa Watanzania ulivyoitikia Maandamano hayo na kuahidi kushiriki kikamilifu , licha ya vitisho vya kishamba vya Mkuu wa Mkoa wa DSM , Chalamila mwenye asili ya Tanangozi huko Iringa.

Taarifa hii njema inazima kabisa kauli za uongo zinazoendelea kutolewa na viongozi wa ccm wenye upeo wa chini kwamba Lissu amepuuza Maandamano hayo.
 
View attachment 2877242

Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba , Makamu Mwenyekiti wa Chadema , Tundu Lissu amelazimika kukatisha kuangalia Afcon huko Ivory Coast ili kuwahi maandamano ya Amani yaliyotangazwa na Chama chake , yatakayofanyika tarehe 24/01/2024 mapema asubuhi.
Asante sana. Wajuaji machawa wameshazusha mengi. nadhani sasa wanakwenda kulala Kizimkazi kwa mama yetu
 
View attachment 2877242

Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba , Makamu Mwenyekiti wa Chadema , Tundu Lissu amelazimika kukatisha kuangalia Afcon huko Ivory Coast ili kuwahi maandamano ya Amani yaliyotangazwa na Chama chake , yatakayofanyika tarehe 24/01/2024 mapema asubuhi.
Kwani aliendaga Wapi, ndiyo maana hasikiki, Yaani hajulikani na imesahaulika kama Tanzania tuna Mwanasiasa anaitwa Tundu Lissu. Cha Msingi ni nyumbani kwao ni Muhimu kurudi na Siyo kuwatangazia Watu unarudi wakati ni haki yako ama urudi au Usirudi. Ila Kuna Vitu ninavyojiuliza:
1. Hivi lengo la Siasa za Chadema ni nini?
2. Mikakati yao ya Kisiasa ni Ipi?
3. Umuhimu wao kuitengeneza Afya Ya Tanzania yetu ni upi?
4. Je, Imani yao Kwenye Siasa imejikita Kwenye Mlengo Upi? Mbona wanatajwa kuziamini Sera za Jinsia Nyingi nyingi je ni kweli?
5. Chadema na Siasa za Matukio yao ya kutengeneza na kupenda kuishi kwa Matukio ya Kishtukiza kunawasaidia nini?
6. Hivi Chadema wanatanga kuandamana kuchelewrshwa kutekelezwa kitu ambacho waligomea Kishiriki lengo lao ni lipi na wanataka kumnufaisha nani?
Maswali Mengine nayahifadhi saizi;;

NB: Kiukweli Siasa za Kihuni ni Muhimu tuzipinge nchini kwetu, atakayeleta Uhuni ni Vizuri Sheria itengenezwe ya kukataza.
Maandamano yatakayofanyika ni yale ya Kutoka Ubelgiji kuja Tanzania.
Tanzania hoyeeeee
 
Kwani aliendaga Wapi, ndiyo maana hasikiki, Yaani hajulikani na imesahaulika kama Tanzania tuna Mwanasiasa anaitwa Tundu Lissu. Cha Msingi ni nyumbani kwao ni Muhimu kurudi na Siyo kuwatangazia Watu unarudi wakati ni haki yako ama urudi au Usirudi. Ila Kuna Vitu ninavyojiuliza:
1. Hivi lengo la Siasa za Chadema ni nini?
2. Mikakati yao ya Kisiasa ni Ipi?
3. Umuhimu wao kuitengeneza Afya Ya Tanzania yetu ni upi?
4. Je, Imani yao Kwenye Siasa imejikita Kwenye Mlengo Upi? Mbona wanatajwa kuziamini Sera za Jinsia Nyingi nyingi je ni kweli?
5. Chadema na Siasa za Matukio yao ya kutengeneza na kupenda kuishi kwa Matukio ya Kishtukiza kunawasaidia nini?
6. Hivi Chadema wanatanga kuandamana kuchelewrshwa kutekelezwa kitu ambacho waligomea Kishiriki lengo lao ni lipi na wanataka kumnufaisha nani?
Maswali Mengine nayahifadhi saizi;;

NB: Kiukweli Siasa za Kihuni ni Muhimu tuzipinge nchini kwetu, atakayeleta Uhuni ni Vizuri Sheria itengenezwe ya kukataza.
Maandamano yatakayofanyika ni yale ya Kutoka Ubelgiji kuja Tanzania.
Tanzania hoyeeeee
Sasa Unalia nini ?
 
Kwani aliendaga Wapi, ndiyo maana hasikiki, Yaani hajulikani na imesahaulika kama Tanzania tuna Mwanasiasa anaitwa Tundu Lissu. Cha Msingi ni nyumbani kwao ni Muhimu kurudi na Siyo kuwatangazia Watu unarudi wakati ni haki yako ama urudi au Usirudi. Ila Kuna Vitu ninavyojiuliza:
1. Hivi lengo la Siasa za Chadema ni nini?
2. Mikakati yao ya Kisiasa ni Ipi?
3. Umuhimu wao kuitengeneza Afya Ya Tanzania yetu ni upi?
4. Je, Imani yao Kwenye Siasa imejikita Kwenye Mlengo Upi? Mbona wanatajwa kuziamini Sera za Jinsia Nyingi nyingi je ni kweli?
5. Chadema na Siasa za Matukio yao ya kutengeneza na kupenda kuishi kwa Matukio ya Kishtukiza kunawasaidia nini?
6. Hivi Chadema wanatanga kuandamana kuchelewrshwa kutekelezwa kitu ambacho waligomea Kishiriki lengo lao ni lipi na wanataka kumnufaisha nani?
Maswali Mengine nayahifadhi saizi;;

NB: Kiukweli Siasa za Kihuni ni Muhimu tuzipinge nchini kwetu, atakayeleta Uhuni ni Vizuri Sheria itengenezwe ya kukataza.
Maandamano yatakayofanyika ni yale ya Kutoka Ubelgiji kuja Tanzania.
Tanzania hoyeeeee
Utakuwa mfuasi wa sheikh mwamposa wewe. Kenge wewe
 
View attachment 2877242

Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba , Makamu Mwenyekiti wa Chadema , Tundu Lissu amelazimika kukatisha kuangalia Afcon huko Ivory Coast ili kuwahi maandamano ya Amani yaliyotangazwa na Chama chake , yatakayofanyika tarehe 24/01/2024 mapema asubuhi.

Akizungumza na vyombo vya habari vya Kimataifa , Lissu amefurahishwa na Jinsi umma wa Watanzania ulivyoitikia Maandamano hayo na kuahidi kushiriki kikamilifu , licha ya vitisho vya kishamba vya Mkuu wa Mkoa wa DSM , Chalamila mwenye asili ya Tanangozi huko Iringa .

Taarifa hii njema inazima kabisa kauli za uongo zinazoendelea kutolewa na viongozi wa ccm wenye upeo wa chini kwamba Lissu amepuuza Maandamano hayo .
Mimi pia nitashiriki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom