crdb

  1. K

    Kuhusu Samia akaunti tuliyowekeza CRDB

    Niliwekeza kwenye Samia Account kupitia CRDB na masharti yalikuwa ni kupata asilimia 30 kila baada ya miezi mitatu. Jana nimeenda kuangalia salio langu kama kweli wameniwekea hiyo asilimia 30 ya fedha yangu niliyowekeza lakini sijaona nyongeza yeyote. Kulikoni?.
  2. A

    KERO Huduma mbovu CRDB bank tawi la LAPF Dodoma

    Bank ya CRDB tawi la LAPF Dodoma wahudumu wako taratibu sana, majibu yasiyo rafiki Kwenye foleni inakaa masaa bila huduma, yapo madirisha manne ya huduma ila kwa muda mrefu ni dirisha Moja tu ndio linamuhudumu ambaye naye muda mwingi ingia Toka ingia Toka haeleweki anafanya nini Vijana hizi...
  3. A

    Gawio la CRDB

    Wakuu mna maoni gani kuhusu gawio la CRDB lililotangazwa leo? Naona kama ni kidogo sana ukilinganisha na performance ya kampuni kwa mwaka mzima
  4. Waufukweni

    FT | Simba SC 3-1 Mbeya City FC | CRDB Bank Federation Cup | KMC Stadium | 13.04.2025

    Simba SC watashuka dimbani leo saa 10:00 jioni kuwavaa Mbeya City katika mchezo wa Robo Fainali ya CRDB Bank Federation Cup, ukitarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Mchezo huo utakuwa kipimo muhimu kwa Mnyama Simba SC ambao wanalenga kutinga hatua ya nusu fainali na kuweka rekodi ya kutwaa taji...
  5. Gudasta

    CRDB Huduma ya Jinasue

    Naomba kuuliza hii huduma unaweza ipata vp, maana Huwa nafanya miamala Kwa muda mrefu kabla hii huduma haijazinduliwa, nimeangalia kwenye simbanking app naona kiwango Cha mm kuweza kupata huduma hii ni Tzs 0.00. Sasa naomba kufahamishwa nawezaje kutumia huduma hii
  6. Jamii Opportunities

    Specialist; Business Intelligence at CRDB Bank April 2025

    Reporting Line MANAGER ENTERPRISE ANALYTICS & BUSINESS INTELLIGENCE Location: Tanzania Head Office Department: DATA MANAGEMENT OFFICE Number of openings: 2 Job Purpose The role is responsible for data visualization, reporting automation, and analytics enablement, ensuring that data is...
  7. MwananchiOG

    Simba haijawahi kutwaa kombe la NBC wala CRDB tangu yaanzishwe

    Tangu kuanzishwa kwa Kombe la Ligi kuu bara chini ya udhamini wa NBC , muonekano wa makombe haya yameshabadilishwa mara kadhaa, Lakini katika mionekano yote 5imba haijawahi hata kujua uzito wa kombe mojawapo ukoje 😀 Mara zote makombe haya yameenda kwa wazee wa kutandaza soka safi na mabingwa wa...
  8. Waufukweni

    FT: Simba SC 2-1 Big Man FC | CRDB Bank Federation Cup | KMC Stadium | 27.03.2025

    Leo Alhamisi inapigwa mechi ya CRDB Bank Federation Cup hatua ya 16 bora Simba SC VS Big Man FC Saa 10:00 Jioni | 🔴 LIVE updates hapa Vikosi vya timu zote Mechi imeanza 1' Simba SC 0-0 Big Man FC 12' Milango bado migumu kwa kila timu 15' Goooooal (Joshua Mutale) 23' Simba wanalitafuta goli...
  9. Jamii Opportunities

    IT Support Officer – 2 posts at CRDB Bank March 2025

    Location Tanzania Head Office Department DEPARTMENT OF ICT Number of openings 2 Job Purpose IT Support Officer will be responsible for managing incidents and requests raised by users through ticketing tool, calls and emails as well as monitoring systems and infrastructure and follow up on...
  10. Atlast nimempata

    Benki ya CRDB mnakwama wapi?

    Karibu na mazingira ya Shule ya Secondary Joketi Mwegero iliyoko Halmashauri ya wilaya ya kisarawe, mkoa wa pwani, hakuna Benk wala wakala wa CRDB kiasi kwamba wazazi tunakosa njia rahisi naya uhakiki kuwatumia watoto hela? Mnakwama wapi?
  11. SSH2025_2030

    Tetesi: CRDB anzeni mchakato wa Boss mpya pia Dr Madelu jiandae kisaikolojia!

    1. Kwa siasa zetu zilivyo hawa CRDB ni vizuri wakaanza mchakato wa kupata boss mpya ifikapo Oktoba 2025. 2. Ukifuatilia matukio makubwa ya kitaifa hivi Karibuni utapata jibu kuwa kituo kifuatacho kuna ingizo jipya pale HAZINA/Moyo wa nchi ulipo 3. Wizara ya Fedha inataka mtu mnyoofu na mweledi...
  12. HenrysoN

    Je! kati ya UTT Amis na CRDB, wapi kuna nafuu nikitaka kuwekeza?

    Kati ya UTT AMIS (Unit Trust of Tanzania) na CRDB Bank (kupitia hisa au mifuko ya uwekezaji), chaguo lako litategemea malengo yako ya uwekezaji, kiwango cha hatari unachoweza kuvumilia, na faida unayotegemea. Hapa kuna mlinganisho mfupi: 1. UTT AMIS (Unit Trust of Tanzania – Asset Management and...
  13. Blasio Kachuchu

    BENKI YA CRDB, UNDP zazindua programu kuwasaidia wafanyabiashara kufikia Soko Huru la Afrika (AfCTA)

    Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Exaud Kigahe (wa pili kushoto) akikata utepe kuashiria kuzindua programu ya kuwasaidia wafanyabiashara wadogo na wa kati kushiriki fursa zilizopo katika Soko Huru la Afrika (AfCFTA) inayotekelezwa na CRDB Bank Foundation pamoja na Shirika la Umoja wa Mataifa...
  14. Kipenzi Changu

    Records: Sure Boy na Mudathir walisimamishwa Azam kwa sababu ya kupanga matokeo dhidi ya Yanga

    WACHEZAJI watatu wa Klabu ya Azam FC ambao ni Nahodha Aggrey Morris, Salum Abuubakar (Sure Boy) pamoja na Kiungo Mudathir Yahya Abbas walisimamishwa kwa muda usiojulikana kutokana na utovu wa nidhamu. Kupitia mjadala mkali wa Crown Media imebainika kuwa walipanga matokeo dhidi ya Yanga...
  15. DELETED ACCOUNT

    Mbeya City yaitoa Azam FC kombe la Shirikisho la CRDB

    Huu kweli ni mwaka wa ubaya ubwela. Azam ametolewa kwa penati na Mbeya City katika mashindano ya Shirikisho la CRDB Cup. Tukumbuke kwamba Mbeya City inacheza katika ligi daraja la kwanza. Timu hizo zilimaliza mchezo kwa kufungana 1-1 ndiyo wakaenda kupigiana penati ambapo Mbeya City ikashinda...
  16. Blasio Kachuchu

    Benki ya CRDB kumtunuku mteja Ford Ranger, yazindua kadi za TemboCard

    Katika kuendeleza hamasa ya matumizi ya kadi kwa wateja wake na Watanzania kwa ujumla, Benki ya CRDB imepanga kumzawadia mteja atakayekuwa na matumizi makubwa ya kazi zake za TemboCard Visa gari jipya aina ya Ford Ranger. Sambamba na gari hilo jipya ambalo halijawahi kuendeshwa (kilomita...
  17. Blasio Kachuchu

    Serikali yaipongeza Benki ya CRDB kudhamini mashindano ya Quran

    Dar es Salaam. Tarehe 24 Februari 2025: Serikali imeipongeza Benki ya CRDB kwa kudhamini Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Kuhifadhi Quran yaliyofanyika Uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es Salaam. Pongezi hizo zimeetolewa na Waziri Mkuu, Mheshimiwa Kassim Majaliwa aliyemwakilishwa Rais Samia...
  18. Jamii Opportunities

    Senior Specialist Shariah Quality Assurance at CRDB Bank

    Reporting Line SENIOR MANAGER SHARIA COMPLIANCE AND PRODUCTS Location Tanzania Head Office Department DEPARTMENT OF RETAIL BANKING Job Purpose To monitor all Islamic Banking Unit operations and transactions, especially financing transactions end to end, ensuring they adhere to laid down...
  19. Jamii Opportunities

    CRDB Bank Board Member 4 Vacancies

    BOARD MEMBER VACANCIES CRDB Bank Plc is a leading commercial bank in Tanzania. Established in 1996, the Bank has grown and prospered over the years to become the most innovative and trusted Bank in the country. The Bank attained an important milestone when it was listed on the Dar Es Salaam...
  20. Jamii Opportunities

    Specialist; ICT Networks – LAN & WAN at CRDB Bank

    Reporting Line MANAGER WAN & LAN Location Tanzania Head Office Department DEPARTMENT OF ICT Job Purpose Manage networks to ensure they function efficiently. Tasks such as collecting network performance data, monitoring network security, troubleshooting issues, anticipating problems and...
Back
Top Bottom