crdb

  1. Inside10

    JamiiForums Tanzania Matawi Ya CRDB Kufungwa Kwa Siku Tatu Nchi Nzima

    Benki ya CRDB imetangaza kufunga huduma katika matawi yake yote kwa siku tatu kuanzia Septemba 5 hadi 7 mwaka huu. Kufungwa kwa matawi hayo kunalenga kutoa nafasi kwa wataalamu kufanya maboresho na kuweka mifumo ya kisasa ili kuongeza ufanisi huduma zinazotolewa. Kwa mujibu wa taarifa...
  2. Blasio Kachuchu

    JamiiForums Tanzania Dkt Mpango aiomba Benki ya CRDB kutoa elimu ya fedha wakati akizindua Tawi Buhigwe

    Buhigwe. Tarehe 27 Agosti 2025: Akizindua tawi la Benki ya CRDB wilayani Buhigwe pamoja na kupokea madarasa mawili ya shule ya sekondari, Makamu wa Rais, Mheshimiwa Dkt. Philip Isdor Mpango ameisifu Benki ya CRDB kwa jitihada zake za kutanua huduma jambo linalosaidia kuongeza ujumuishaji wa...
  3. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Kama unataka amani ya moyo usifanye miamala siku ya jumapili kupitia CRDB

    Muamala unafanyiwa kazi masaa, customer service hawapokei, huko mitandaoni hawajibu. This bank is 🚮🚮
  4. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Souwah alipata kadi nyekundu Crdb conf cup Simba mmejipangaje na ngao ya jamii?

    Sijui niongeze volume Mwamba alipata redkadi crdb conf cup Nawaza mambo kadhaa ataruhusiwa kucheza ngao ya jamii Iwapo hatoruhusiwa Simba mmejipangaje Nukuu ya leoi;::
  5. Mstahiki Mea

    JamiiForums Tanzania Hatifungani ya miaka 5 Shariah CRDB

    Wekeza kwenye hati fungani ya miaka 5 inayofuata Shariah. · Faida Halal 12% ukiwekeza TZS · Faida Halal 6% ukiwekeza USD · Gawio mara 4 kwa mwaka · Itadumu kwa miaka 5 (Utarudishiwa uwekezaji wako) · Inafuata mkataba wa Ijarah Wekeza kuanzia TZS 500,000 au USD...
  6. Blasio Kachuchu

    JamiiForums Tanzania Dkt. Tulia Avutiwa na CRDB Bank Marathon Iliyokusanya Bilioni 2 kwa Afya na Jamii

    Dar es Salaam, 17 Agosti 2025 - Maelfu ya wakimbiaji na wapenda michezo kutoka ndani na nje ya Tanzania wamejitokeza leo katika viwanja vya The Green, Oysterbay, kushiriki CRDB Bank Marathon 2025, mbio za hisani ambazo mwaka huu zimekusanya Shilingi Bilioni 2 ili kusaidia matibabu ya watoto...
  7. M

    JamiiForums Tanzania CRDB Bank makao makuu na kelele kwa majirani

    Tunashangazwa na kelele za jirani zenu CRDB Bank makao makuu, Ali Hassan Mwinyi. Mfano leo tangu saa 11 alfajiri wanefungulia mziki mkuubwa wakati muda huo hakukuwa na watu hata 10. Na mara zote hata wakiwa na promotion tu magari yao makubwa yenye PA system yatakuwa kupaki nje na sauti kuubwa...
  8. amshapopo

    JamiiForums Tanzania Kama umewekeza kwenye hisa za CRDB toa hela yako mapema. Mporomoko mkali waja

    Wakuu, Kama mnanifuatilia niliwekeza hela yangu zaidi ya Ml 60 mwaka jana na hisa zimenipa faida zaidi ya mara mbili hadi sasa. Ila kwa zilipofikia zimekuwa over-valued kuliko thamani yake ya kitabuni so ni risk kwa Wawekezaji wapya. Pia, kumbuka ni kipindi cha uchaguzi hiki external investors...
  9. Super mega

    JamiiForums Tanzania Kero kwa Bank ya CRDB

    Wakuu hivi naomba kuuliza hivi CRDB BANK wanakata malipo ya huduma ya kutunza fedha kila siku na kwa kila muamala unaoingia mana dah sio kwa haya makato yanayoendelea yani hela ikiingia tu wanakata 4000,au 5000,kisha unapotoa wanakata sio chini ya 10000 hapo ni kwa amount kwanzia Mil.1 chini ya...
  10. Mstahiki Mea

    JamiiForums Tanzania Hisa za CRDB zafika 1500 kwa hisa moja

    Neema kwa wawekezaji wote wa CRDB siku ya jana hisa moja iliuzwa kwa tsh 1510 .
  11. Blasio Kachuchu

    JamiiForums Tanzania CRDB Al Barakah Sukuk kuwezesha biashara bila riba

    Dar es Salaam: Benki ya CRDB hivi karibuni ilizindua ‘CRDB Al Barakah Sukuk,’ hatifungani inayokusanya fedha ili kuwezesha biashara bila riba nchini na ukanda wa Afrika Mashariki kwa ujumla. Hatifungani hiyo inayofuata misingi ya Kiislamu, inakusudia kukusanya kiasi cha shilingi bilioni 30...
  12. Gotze Giyani

    JamiiForums Tanzania KERO Wiki ya pili hii tunashindwa kununua hisa za CRDB

    Wadau habarini za muda huu kuna tatizo gani mbona ni wiki 2 inaisha tunashindwa kununua Hisa za CRDB nimewasilina na DSE na broker Mara zaidi ya 5 wanasema shida ni kwenye market hivyo wataalamu wa uchumi na Hisa naombeni msaada wenu je vipi kuhusu Hisa za DSE nazo zinagawio kama za CRDB.Maana...
  13. maroon7

    JamiiForums Tanzania Kwa hiyo CRDB mmehanisha branch ya millennium towers mkaamua kung'oa na ATM

    Leo nimepigwa surprise ya hatari,nimetoka zangu job nikasema nipite millennium tower nikae Montana kusubiri foleni ipungue nishushe na one for the road...ila nikasema kwanza niingie ATM nizagamue cardless maana ATM card huwa sina, ajabu nafika sehemu ilipokua ATM nakuta peupe..nikahisi...
  14. BWANA WANGU

    JamiiForums Tanzania Makato ya Bank ya CRDB yanakatisha tamaa

    Habari wakuu, Wahenga walisema " Masikini atabaki kuwa Masikini, tajiri ataendelea kuwa tajiri zaidi na zaidi" na Mimi nasema " Tumbo lililo zoea rushwa halishibi kamwe" Wakuu hii tabia ya CRDB, kukata makato ambayo wateja wake hawaelewi jinsi yanavyo enda. Ni kuwakosea wateja kwa kweli. Hivi...
  15. K

    JamiiForums Tanzania CRDB mmezidi na mnakatisha tamaa

    Mimi ni mtumiaji wa Bank ya crdb kwa zaidi ya kipindi Cha miaka kumi na nne sasa.Lakini kwa mwenendo huu wa crdb bank hakika si bank rafiki tena kwa wateja. Kwanza kila ukifika katika AMT zao unakuta wateja wamejazana na wote wanalalamikia huduma mbaya za kibank ndani ya bank yenyewe na hata...
  16. Godfrey- denis

    JamiiForums Tanzania Viashiria muhimu vya kifedha kutoka kwenye taarifa ya kifedha ya CRDB kwa robo ya pili ya mwaka 2025 (Q2 2025) - Unaudited Financial Statements)

    ■ Faida baada ya kodi (Q2 2025): TZS 346 Bilioni, ikilinganishwa na TZS 275 Bilioni kwa Q2 2024. 📈 Imeongezeka kwa 26% – hii inaonyesha ukuaji mzuri wa faida ya kampuni. ■ Interest Income (Mapato yanayotakana na riba za mikopo) Yameongezeka hadi TZS 904 Bilioni kwa nusu ya mwaka (Jan-Jun 2025)...
  17. Blasio Kachuchu

    JamiiForums Tanzania Benki ya CRDB yapongezwa kuwapa elimu ya ujasiriamali wajasiriamali wa mtandaoni

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaa, Albert Chalamila ameipongeza Benki ya CRDB kwa jitihada zake za kuwaelimisha wajasiriamali wa mtandaoni kuhusu fursa zilizopo na namna wanavyoweza kushirikiana na taasisi hii kubwa zaidi ya fedha nchini kujikwamua kiuchumi. Pongeza hizo zilitolewa mwishoni mwa wiki...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Mkopo wa Milioni 50 NMB na CRDB riba yake ni kiasi gani kwa mwaka?

    Habari wadau, Naulizia, hivi mkopo wa 50m kwa hizi bank NMB na CRDB kwa mwaka riba yake ni kiasi gani?
  19. Blasio Kachuchu

    JamiiForums Tanzania CRDB Yachangia Madawati 111 na Ujenzi wa Uzio Shule ya Sekondari Prof. Adolf Mkenda, Rombo

    Mkuu wa Wilaya Rombo, Raymond Mwangwala (watatu kulia) akipokea mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi milioni 10 kutoka kwa Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya CRDB Bank Foundation, Coletha Ndunguru (wapili kushoto) kwa ajili ya kuchangia ununuzi wa vifaa vya ujenzi wa uzio wa Shule ya Sekondari...
  20. P

    JamiiForums Tanzania Unauthorized action of CRDB Bank Plc of opening a company's account to unauthorized persons without the consent of the rightful owners

    PEACHY VILLAGE COMPANY LTD "To the people of Tanzania, the Government, the Bank of Tanzania, international rights and financial institutions, and all defenders of justice and transparency— My name is Adam Kheri Famao, Chief Executive Officer of Peachy Village Company Limited. Today, I speak on...
Back
Top Bottom