Jinsi ya kujikinga na maambukizi ya magonjwa yanayoathiri mfumo wa upumuaji

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Aug 7, 2018
625
938
IMG_20210211_165641_629.jpg

Vaa barakoa mara kwa mara unapokuwa na watu wengine au unapokuwa kwenye mkusanyiko wa watu

Nawa mikono yako mara kwa mara kwa maji tiririka na sabuni

20210211_165257_0000.png


Epuka kusalimiana na watu kwa kushikana mikono, kukumbatiana na kubusu

Ni lazima kuzingatia usafi wa mazingira, kunawa mikono kwa maji na sabuni,

Zingatia kuepuka kukaa katika upepo mwingi na kunywa vitu vya baridi sana.

20210211_164839_0000.png


Epuka mikusanyiko na safari zisizo za lazima na ukae umbali wa hatua tatu kutoka kwa mtu na mtu

Epuka kugusa macho, pua na mdomo bila kunawa mikono au tumia vitakasa mikono

Vaa kikinga mkono (Glovsi) kama unafanya kazi za kuhudumia Watu wengi
 
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom