Serikali imekuwa ikijinasibu kuwa hatuna mgonjwa hata mmoja wa variant mpya:
Lakini kote kushoto na kulia "ban" zinatuhusu:
Russia completely bans travel from Botswana, Zimbabwe, Hong Kong, Lesotho, Madagascar, Mozambique, Namibia, Tanzania, Eswatini and South Africa
Ramaphosa tayari...