beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Tanzania na Kenya zimekubaliana masuala mbalimbali ikiwemo kuimarisha Mpaka, kushirikiana katika mapambano dhidi ya Virusi vya Corona na kushirikiana kwenye Sekta ya Utalii.
Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza hayo Ikulu Dar es Salaam baada ya Utiaji Saini wa Hati za Makubaliano na Ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Kenya.
Kwa upande wake, Rais Uhuru Kenyatta amesema Mataifa ya Afrika Mashariki yakiweza kuimarisha Umoja na Biashara, italeta manufaa makubwa kwa Wananchi wa pande zote.
Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza hayo Ikulu Dar es Salaam baada ya Utiaji Saini wa Hati za Makubaliano na Ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Kenya.
Kwa upande wake, Rais Uhuru Kenyatta amesema Mataifa ya Afrika Mashariki yakiweza kuimarisha Umoja na Biashara, italeta manufaa makubwa kwa Wananchi wa pande zote.