computer

  1. Mr_Plan

    Tunatafuta kijana anayejua Computer

    Habari Wana JF,hivi karibuni Tumefungua Online Media ambayo bado ni changa...inayojihusisha na mambo ya Burudani hivo Tunaitaji Kijana anayeweza kuendesha Akaunti zetu za Online kama 1.Youtube 2.Website 3.Instagram page 4.facebook page Pia Ajue program za Editing angalau kidog...Tutafanya...
  2. 2

    Nahitaji Kompyuta kwa bajeti ya Tsh 250,000-350,000

    Salama ndugu zangu, kwa machinga wa karume dar es salaam poleni sana. Nina shida na computer LAPTOP nzuri ambayo bei yake ni ya range 250,000/= (laki mbili na elfu 50) mpaka 350,000/= (laki 3 na elfu 50). pia nina shida na bettry ya computer aina ya TOSHIBA (PORTEGE R705) Location nilipo ni...
  3. Nyuki Mdogo

    Computer4Sale Komputa inauzwa, ipo Igoma mwanza 300k only, Brand new

    Ram 3gb Rom 500gb bei 300,000 iko kwenye box lake, yani mpya 0713096076 kwa muhitaji piga simu
  4. K

    Naomba kufahamishwa kuhusu Computer test interview

    Habari zenu wapendwa, Jamani naomba msaada kwa aliyewahi kufanya computer test interview na shirika la Peace Corps, huwa hasa wanabase kwenye kitu gani? Asante sana
  5. M

    Computer4Sale Desktop Computer dell

    Nauza used Dell computer Ram 2GB Hard disk 320GB CPU duo 1.6ghz Screen 15' Bei 300,000/= maelewamo yapo KARIBU MAHALI Dar es salaam
  6. Kambaku

    Kazi ya Muda - Computer application

    Habari za mwaka mpya waungwana. Natafuta msichana wa kufundisha watoto basic computer application. Hakuna masharti mengi ni haya tu. 1. Uwe Dar es salaam 2. Ujue computer applications (Basic) 3. Uwe na uwezo kumuelekeza mtoto Kazi ni ya muda tu ila panapo majaaliwa inaweza kuwa ya kudumu...
  7. Deja vu27

    Nahitaji kujua aina za desktop computer ambazo ni nzuri zinazopiga kazi kwa ufasaha

    Habari wana JF? Nahitaji kujua aina za desktop computer ambazo ni nzuri zinazopiga kazi kwa ufasaha na zinadumu kwa muda mrefu nalifikisha kwenu naombeni ufafanuzi Ahsante!🙏
  8. D

    SOFTWARE Watengenezaji mifumo ya computer kwa mahospital shule na micro-finance zote

    Je, wewe ni mmiliki wa hospital, shule ama micro-finance yoyote na unahitaji huduma zetu tupo kwaajili yako. Zendela company limited ni kampuni ya IT iliyopo dar es salaam na iliyojikita katika kutengeneza mifumo mbalimbali pamoja na kutoa huduma ya kumanage na kuintegrate mifumo yetu na TRA...
  9. Mbomozo

    Ninahitaji nafasi ya kufanya 'Internship'. Nimesoma Bsc of science in Computer science HCIA (5G,AI,DataCom &Python) Certificate

    Salaam, Mimi ni kijana wa kiume mwenye Umri wa Miaka 26 na makazi yangu ni Mwanza wilaya ya Nyamaghana. Mwaka huu 2021 nimehitimu Bachelor of science in computer science, Lengo la thread hii ni kuomba nafasi ya internship or volunteering opportunity (paid or unpaid), katika kampuni yoyote...
  10. M

    Computer Systems Designing -Uundaji wa mifumo ya computer mbalimbali

    Habari wakuu, kama kichwa kinavyojitangaza, mimi kama mtaalamu wa mambo ya kutengeneza mifumo mbalimbali ya computer, nawakaribisha kwa mwenye uhitaji wa mfumo wa aina yoyote, niko hapa kukusikiliza na kukuhudumia. Mfano wa systems ambazo unaweza kuhitaji ni kama ifuatavyo ( Naomba udhuru kwa...
  11. Kasomi

    YouTube shortcuts kwenye Computer keyboard

    Baadhi ya key zilizopo kwenye keyboard ya computer hua ni Shortcut kwenye YouTube. Hivyo ukiwa unatumia computer kuna baadhi ya key unaweza zitumia kama mbadala wa kipanya. Baadhi ya shortcuts hizo ni; 1- kusimamisha video inayo play kwenye YouTube bonyeza Back space hiyo inatumika kama ku...
  12. V

    Computer4Sale All in one computer

    Najaribu kutest maji tu, Nina computer desk top All in one. ni nzuri sana kwa mtu anaetaka kufungua computer class.Ziko 17 ni dual core 2 na icore 5 ,Napendelea kuziuza zote kwa pamoja ibox me with your price
  13. Kasomi

    Hizi hapa keyboard shortcut muhimu uzifahamu

    Important Shortcut Keys for Computer- CTRL+A. . . . . . . . . . . . . . . . . Select All CTRL+C. . . . . . . . . . . . . . . . . Copy CTRL+X. . . . . . . . . . . . . . . . . Cut CTRL+V. . . . . . . . . . . . . . . . . Paste CTRL+Z. . . . . . . . . . . . . . . . . Undo CTRL+B. . . . . . . . . . ...
  14. Zinnob5

    Degree ya computer science

    Samahani ndugu zangu, hivi nikisoma diploma ya information technology ninaweza nikaja kuchukua degree ya computer science au haiwezekani, please nisaidieni ndugu zangu.
  15. M

    Computer na smartphone za wanasiasa wa upinzani zina nini?

    Niliwahi kuandika na leo narudia ili angalau tutafakari kwa makini na ikiwezekana tuwasaidie Polisi na pia wanasiasa wa upinzani.Kila anayekamatwa jambo la kwanza ni kuchukuliwa compuetr na simu yake. Zina nini hizi?
  16. Nijosnotes

    SoC01 Utofauti computer developer vs programmer vs coder [Kiswahili]

    Habari wana JF Leo nina mada fupi juu ya utofauti wa kazi za hawa watu watatu tajwa hapo juu kwenye kichwa cha habari katika sekta ya TEHAMA (Teknolojia ya Habari na Mawasiliano) . Mada hii itachochea wale ambao wanahitaji kuwa na uelewa wa maswala ya TEHEMA na pia kwa wale walio ndani ya...
  17. kiboboso

    Computer inawaka na kuzima

    Wakuu msaada wenu hapa. Nina laptop yangu niliiacha kama miezi nane bila kuitumia baada ya kununua nyingine, sasa leo nimeiwasha ikawa ianawasha tuu taa zake na kuzima, pia haileti hata mwanga wowowte kwenye screen. Wazee wa tech msaada wenu hapa tatizo linaweza kuwa ni nini?
  18. Replica

    Serikali yaunda Kamati kuchunguza chanzo cha moto Soko Kuu Kariakoo. Waziri Mkuu asema hatua zitachukuliwa moja kwa moja ikijulikana kuna mkono wa mtu

    Habari wakuu, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla akiwa Soko Kuu la Kariakoo, amesema serikali imeunda tume ya watu kumi kuchunguza na kupata ukweli wa chanzo cha moto na athari zilizopatikana ikiwemo mali zilizoteketea, pia amesema Waziri mkuu yuko njiani kuja kukagua na kuongea na...
Back
Top Bottom