computer

  1. JamiiForums Tanzania Used HP computer for sell

    used computer for sale brand: HP Ram: 4gb HHD: 500 GB Haina shida yoyote isipokuwa haikai na charge Bei: 150,000 tshs Contact: 0712518770 dar-es-salaam
  2. JamiiForums Tanzania A Place to Meet, Learn and Create Innovative Products

    Salamu wandugu. Nimeombwa na marafiki ambao wanatafuta kuwekeza kwenye innovation/incubation of ideas and local product development. For artist, technologists, engineers, application developers, etc. The Idea ni kuwa na sehemu ambayo itawapa fursa like-minded people kubadilishana mawazo na...
  3. JamiiForums Tanzania RAM DDR3 4GB (SAMSUNG Made in Philippines)

    Niko Arusha Nauza Ram 4GB DDR3 (Samsung planet first,Made in philippines) kwa ajili ya Laptop iko poa kabisa katika hali nzuri na ifanya kazi poa kabisa bei ni Tsh.37000 maongezi yapo nicheki zaidi kwa biashara kwa namba 0767142928 call,SMS au WhatsApp. Karibu tufanye biashara
  4. JamiiForums Tanzania Cctv camera installation Arusha

    CCTV INSTALLATION We are dealing with; ✴CCTV Camera Installation and Repair ✴LAN Installation ✴Computer Service & Repair ✴Electrical Fence Installation Also we can connect CCTV camera directly to your mobile phone. ️ Contract us : 📶0716128815 (Call & WhatsApp 24/7) Location: Arusha
  5. JamiiForums Tanzania Ushauri, maoni na mbinu za biashara ya ufundi simu na Computer

    Habari Zenu Wakuu, Natumaini Leo Mko Vyema. Lengo La Nyuzi Hii Ni Kupeana Ushauri, Maoni Na Mbinu Za Uthubutu Katika Biashara Ya Ufundi Simu Na Laptop Kwanza Mimi Ni Mmoja Wa Mafundi Waliojifunza Na Ku Master Phone And Laptop Repair Kutoka Google Na Youtube, Yaani Self Made Technician...
  6. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi ya kubadilisha lugha ya kompyuta iwe Kiswahili

    Ungependa kubadilisha lugha ya tarakilishi yako kutoka Kimombo hadi Kiswahili? Ungependa kutumia Microsoft Office kwa Kiswahili? Basi fuata maagizo haya. Kitu cha kwanza unachofaa kujua ni kuwa Windows hutumia faili aina ya LIP (language interface pack) kuwezesha lugha zisizo Kimombo kuonyeshwa...
  7. JamiiForums Tanzania Tunafunga CCTV Cameras (HD) kwa bei nafuu

    Tunafunga (HD) CCTV Camera kwa bei nafuu kulingana na mahitaji yako. Kuona eneo lako ukiwa mbali Kutoa Alarm Intruder motion detection via PIR and image verification Automatic Day/Night Mode with IR Filter Pia tunatoa Huduma za kiufundi kwa maswala yote ya ICT... Computer Motherboard Repair...
  8. JamiiForums Tanzania Kazi/Ajira masaa ya ziada

    Habari Wana JF! Poleni kwa shughuli za kila siku za ujenzi wa taifa letu pendwa. Leo npo jukwaa hili nipate mawazo/maoni/ushauri wenu. Kwa sasa ninafanya kazi za sales kwenye kampuni moja ndogo hapa jijini Dar es Salaam. Ajira hii naitumikia kuanzia asubuhi saa 1 na hadi kufikia mchana saa 6...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…