MakinikiA JF-Expert Member Jun 7, 2017 5,011 6,542 Nov 28, 2019 #1 Ukirudi nyumbani wanawake wenyewe tuliowaoa hawatufanyii massage
Phdum JF-Expert Member Apr 15, 2019 812 1,667 Nov 28, 2019 #2 Hivi kweli kuna mtu anakaa hivyo kwenye kompyuta? Au ni furahisha genge?
Mbao za Mawe JF-Expert Member May 11, 2015 23,373 54,756 Nov 28, 2019 #3 Mmh labda ofisi za mateja ndizo zina hiyo mikao.
Troublemaker JF-Expert Member Jun 8, 2015 19,882 38,513 Nov 28, 2019 #4 Sidhani kama kuna mtu anakaaga hivyo.
stephot JF-Expert Member Mar 1, 2012 15,833 22,940 Nov 28, 2019 #5 Weka na posture za mikao sahihi...
MakinikiA JF-Expert Member Jun 7, 2017 5,011 6,542 Nov 28, 2019 Thread starter #6 stephot said: Weka na posture za mikao sahihi... Click to expand...
MakinikiA JF-Expert Member Jun 7, 2017 5,011 6,542 Nov 28, 2019 Thread starter #7 Raoluoroliech said: Hivi kweli kuna mtu anakaa hivyo kwenye kompyuta? Au ni furahisha genge? Click to expand... kuna watu wanakaa kwenye computer masaa 10 unategemea watakuwa na mkao wa aina mmoja
Raoluoroliech said: Hivi kweli kuna mtu anakaa hivyo kwenye kompyuta? Au ni furahisha genge? Click to expand... kuna watu wanakaa kwenye computer masaa 10 unategemea watakuwa na mkao wa aina mmoja
Phdum JF-Expert Member Apr 15, 2019 812 1,667 Nov 28, 2019 #9 MakinikiA said: kuna watu wanakaa kwenye computer masaa 10 unategemea watakuwa na mkao wa aina mmoja Click to expand... na unadhani mkao sahihi mtu anaweza kukaa muda wa masaa 10?
MakinikiA said: kuna watu wanakaa kwenye computer masaa 10 unategemea watakuwa na mkao wa aina mmoja Click to expand... na unadhani mkao sahihi mtu anaweza kukaa muda wa masaa 10?
Kiranga Platinum Member Jan 29, 2009 71,277 105,478 Nov 28, 2019 #10 Siku hizi tunatumia meza za kusimama.
Afisa Mteule Drj 2 JF-Expert Member Mar 21, 2017 3,587 3,936 Nov 28, 2019 #11 Naona kuna mtu unapost jf amekaa kwa style moja wapo katika hizo