Drone Computer tumekuwa kwa muda mrefu tunawashauri watanzania juu ya elimu ya vitu vya ki-electronics hususani computer ikiwemo mambo ya kuzingatia kabla ya kununua, vitu vya kufanya na vitu vya kuepuka ili kifaa chako kidumu kwa muda mrefu n.k. Na leo tunakuletea elimu ya computer zainazotosha...
Sitakupa maelezo marefu sana ya kupoteza muda wako, ila umakini na faragha ni muhimu sana nyakati hizi za kimageuzi ya mitandao na ukuaji wa teknolojia.
Kwa watumiaji wa vifaa ya kimtandao kama simu na kompyuta iwe ya mezani au mipakato jaribuni sana kuwa na umakini ikiwa utaacha kutumia...
Utangulizi
Ni kampuni ndogo ya IT inayojishughulisha na ku manage website na ku manage kurasa za mitandao ya kijamii ya makampuni na watu binafsi, hivyo tunahitaji kuongeza watu zaidi kwenye timu yetu kwa ajili ya kutusaidia shughuli za kila siku.
Ajira
Wanahitajika watu wanne kwa ajili ya...
Hello wana JF,
Mimi ni kijana nimemaliza form four 2018, natafuta kazi nina ujuzi wa kutumia computer, pia nafanya kazi yoyote YA HALALI , pia nafanya kazi yoyote inayohsu mambo ya computer.
Msaada wenu wana JF niko Dar Gongo la Mboto
UDSM hizi kozi mbili zote zipo, sijafuatilia kwa UDOM na vyuo vingine. Hali ikoje wadau? Maana stori za mitaani zinasema kuwa waalimu wengi hawajali wanafunzi, hawana muda na wanafunzi ila mambo yao tu na wengi hawana moyo wa kumsaidia mtu amalize fresh.
Hali ikoje?
Kwa wale die hard tech fans lazima mtakua na ndoto za kumiliki computer ya aina flan na specs flani,either unapambana kutimiza ndoto yako kama mimi au umetulia unatamani unasubir miujiza itokee. Ni sawa tu twende pamoja tutiririke kushusha our dream specs.
Naanza na yangu
Being inspired by...
Nina Pc Lenovo i7, yenye Graphics Card ya 4 GB na Acer i5 yenye GB 2 za graphics Card ila nimebaki nashangaa nikaona ngoja niwacheck wataaamu wanisaidie.
Kifupi Preject ambayo nairender kwa masaa mawili huku kwenye i7, kwenye hii i5 Natumia dk 5! nimebaki nashangaa na kujuliza tatizo liko wapi...
Kwa wale wanafanya shughuli za electronics design, Engineering ama Hobbyists hii ni natoa offer ya electronics boards na Sensors
1. Aduino Mega (genuine) for 25K unaokoa 20K from 45k
2. Arduino Uno (without chip) 15K unaokoa 20K from 35K
3. Arduino Camera 20K unaokoa 20K from 45K
4. Current...
NOTE:
Ninaposema troubleshooting tool maana yake ni tool inayoweza kukusaidia kujua na kutatua tatizo lolote kwenye PC.
sifundishi ila najaribu kukufumbua macho ukae ukifahamu kuwa hauitaji knowledge kubwa kutatua matatizo madogo madogo ndani ya PC yako.
Kumbuka kila kifaa kimeundwa na mfumo...
How to increase shutdown speeds in Windows 10
Some vizuri kabla hujafanya kitu chochote kile kwenye hiyo WINDOWS REGISTER kwani unaweza kuharibu hiyo WINDOWS REGISTER yako na computer isiweze tena kufunguka shauri yako ukiharibu usije kunilaumu.
For some users, speed is everything. Eliminate...
Heshima kwenu wakuu.
Nahitaji kufanya biashara mtandaoni, ambapo kwa muda mwingi nitakuwa online. Kwa kuwa mimi si mjuzi wa computer, ni computer ipi inaweza kunifaa:
- Yenye ukubwa (Ram & storage)
- Yenye uwezo mkubwa wa internet
- Inayoweza kukaa online 24/7 bila shida
Kwa uchache naweza...
President Museveni Friday launched Uganda's first ICT manufacturing and assembling plant in Namanve.
This comes into force after government signed an agreement with SIMI technologies to promote the manufacturing of ICT electronics in Uganda.
At full capacity, the factory will run three...
Waziri wa Katiba na Sheria, Balozi Augustine Mahiga amesema kompyuta zilizoibwa ni za ofisi ya mashtaka mkoa wa Dar na sio ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) nchini Tanzania na kwamba nyaraka za wahujumu uchumi zipo mahali salama.
"Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu anayeshughulikia mashtaka ya...
Habari,
Natoa huduma ya matengenezo ya computer (desktop na laptop) na malipo utatoa baada ya computer yako kufanya kazi.
Kama kuna kifaa kitakuwa ni cha kununua, gharama ni juu yako.
Kwa wale wanaohitaji kufungiwa CCTV cameras, watahudumiwa weekend tu.
Napatikana kigamboni Dar. tuwasiliane...
used computer for sale
brand: HP
Ram: 4gb
HHD: 500 GB
Haina shida yoyote isipokuwa haikai na charge
Bei: 150,000 tshs
Contact: 0712518770 dar-es-salaam
Salamu wandugu.
Nimeombwa na marafiki ambao wanatafuta kuwekeza kwenye innovation/incubation of ideas and local product development. For artist, technologists, engineers, application developers, etc.
The Idea ni kuwa na sehemu ambayo itawapa fursa like-minded people kubadilishana mawazo na...
Niko Arusha
Nauza Ram 4GB DDR3 (Samsung planet first,Made in philippines) kwa ajili ya Laptop iko poa kabisa katika hali nzuri na ifanya kazi poa kabisa bei ni Tsh.37000 maongezi yapo nicheki zaidi kwa biashara kwa namba 0767142928 call,SMS au WhatsApp.
Karibu tufanye biashara
CCTV INSTALLATION
We are dealing with;
✴CCTV Camera Installation and Repair
✴LAN Installation
✴Computer Service & Repair
✴Electrical Fence Installation
Also we can connect CCTV camera directly to your mobile phone.
️
Contract us :
📶0716128815 (Call & WhatsApp 24/7)
Location: Arusha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.