Heshima kwenu wakuu.
Nahitaji kufanya biashara mtandaoni, ambapo kwa muda mwingi nitakuwa online. Kwa kuwa mimi si mjuzi wa computer, ni computer ipi inaweza kunifaa:
- Yenye ukubwa (Ram & storage)
- Yenye uwezo mkubwa wa internet
- Inayoweza kukaa online 24/7 bila shida
Kwa uchache naweza kusema hayo,ila kama kuna maelezo mengine ya ubora Wajuzi mwaweza kuongezea. Natanguliza shukrani wakuu!
Nahitaji kufanya biashara mtandaoni, ambapo kwa muda mwingi nitakuwa online. Kwa kuwa mimi si mjuzi wa computer, ni computer ipi inaweza kunifaa:
- Yenye ukubwa (Ram & storage)
- Yenye uwezo mkubwa wa internet
- Inayoweza kukaa online 24/7 bila shida
Kwa uchache naweza kusema hayo,ila kama kuna maelezo mengine ya ubora Wajuzi mwaweza kuongezea. Natanguliza shukrani wakuu!