JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,327
- 9,321
Baadhi ya watu wamekuwa wakifanya OBD2 diagnosis kwenye magari. Ni kitu kizuri na kwa upande fulani kinaweza kurahisisha kutatua tatizo la gari husika hasa ukizingatia kwamba tatizo moja la gari linaweza kuwa na possible causes hata 10.
Tools zinazotumika kufanya diagnosis zipo za aina nyingi, Baadhi huonesha tu code na hivyo itamlazimu mtu aingie mtandaoni atafute hiyo code inahusiana na system gani, Zingine huenda mbali kidogo kwa kuonesha code na kuandika tatizo lipo kwenye system gani, zingine huonesha code na kutaja tatizo lilipo lakini pia huorodhesha sababu zinazoweza kupelekea hilo tatizo na zingine huwa zina mpaka live data hivyo kumuwezesha mtumiaji kuweza kuona live performance ya baadhi ya sensors na systems wakati engine inarun.
Sasa shida inakuja mtu anapojua kwamba fault ni kitu fulani. Mfano labda umepata code ambayo ni ya Mean Absolute Pressure(MAP) sensor. Wengi atakuambia nunua MAP sensor mpya kwa sababu tu ya code alizozipata kutoka kwenye obd2 scanner yake. Sometimes sensor inaweza kuwa ni nzima kabisa ila shida ikawa leakage kwenye vacuum line kutoka kwenye sensor hadi kwenye intake manfold, poor grounding kwenye sensor au poor or no voltage supply kutoka kwenye battery. Katika hizi case 3 nilizotaja ukimuambia mtu akanunue sensor mpya ni kumuingiza tu gharama ambazo siyo za lazima.
Mifano mingine ni hii:
1. MAF sensor, Kama mtu atapata code ya MAF sensor, Apart from sensor kuharibika, Pia shida inaweza kuwa ile hot element ya sensor imekuwa dirty(Inaweza kusafishwa), poor grounding au poor voltage supply kwenye sensor.
2. Idle Air Control Valve(IACV). Hii na yenyewe apart from kuharibika inaweza tu kuchafuka hiyo ikahitaji kusafishwa na kurudishiwa au ikawa ni poor electrical connection kati ya sensor na parts zingine za gari yako.
3. A/F ratio sensor/ Oxygen sensor. Hii kuharibika kwake huwa ni kukatika kwa heating element. Lakini kama Exhaust manfold gasket inaleak inaweza kupelekea less Oxygen molecules zifike kwenye sensor na hivyo basi lazima isome code ya O2 sensor lakini pia shida inaweza kuwa poor wiring harnesy ya sensor.
4. ECT sensor. Hii nayo sometimes inaweza tu kuwa imechafuka ila nzima kabisa. Hasa ukizingatia watu wengi huwa wanatumia maji badala ya recommended coolants. Kwa hiyo inakuwa ni swala la kusafisha na kuirudishia badala ya kununua mpya.
5. EGR valve. Hii nayo inaweza kuwa nzima kabisa ila shida ikawa tu ni deposit ya carbon au leakage kwenye baadhi ya hoses zake. Au poor electrical connection kwenye solenoid yake.
Matatizo mengi niliyoyataja hapo juu yanaweza kurekebishika bila kubadili component ya chombo cha mtu na hivyo kumuepusha na gharama ambazo si za lazima. Au kama kuna ulazima wa mtu kubadili component fulani katika gari yake hasa kwa hizi electrical components basi ni vizuri hicho kitu kikawa tested ili kuprove kwamba ni kizima au kibovu. Kila electrical component kwenye gari inaweza kuwa tested kuanzia spark plug, injectors, sensors, Valves, relays n.k.
Ni hayo tu...
Kuna umuhimu mkubwa sana kufanya check up ya mifumo ya umeme na electronics kwenye gari yako
Tools zinazotumika kufanya diagnosis zipo za aina nyingi, Baadhi huonesha tu code na hivyo itamlazimu mtu aingie mtandaoni atafute hiyo code inahusiana na system gani, Zingine huenda mbali kidogo kwa kuonesha code na kuandika tatizo lipo kwenye system gani, zingine huonesha code na kutaja tatizo lilipo lakini pia huorodhesha sababu zinazoweza kupelekea hilo tatizo na zingine huwa zina mpaka live data hivyo kumuwezesha mtumiaji kuweza kuona live performance ya baadhi ya sensors na systems wakati engine inarun.
Sasa shida inakuja mtu anapojua kwamba fault ni kitu fulani. Mfano labda umepata code ambayo ni ya Mean Absolute Pressure(MAP) sensor. Wengi atakuambia nunua MAP sensor mpya kwa sababu tu ya code alizozipata kutoka kwenye obd2 scanner yake. Sometimes sensor inaweza kuwa ni nzima kabisa ila shida ikawa leakage kwenye vacuum line kutoka kwenye sensor hadi kwenye intake manfold, poor grounding kwenye sensor au poor or no voltage supply kutoka kwenye battery. Katika hizi case 3 nilizotaja ukimuambia mtu akanunue sensor mpya ni kumuingiza tu gharama ambazo siyo za lazima.
Mifano mingine ni hii:
1. MAF sensor, Kama mtu atapata code ya MAF sensor, Apart from sensor kuharibika, Pia shida inaweza kuwa ile hot element ya sensor imekuwa dirty(Inaweza kusafishwa), poor grounding au poor voltage supply kwenye sensor.
2. Idle Air Control Valve(IACV). Hii na yenyewe apart from kuharibika inaweza tu kuchafuka hiyo ikahitaji kusafishwa na kurudishiwa au ikawa ni poor electrical connection kati ya sensor na parts zingine za gari yako.
3. A/F ratio sensor/ Oxygen sensor. Hii kuharibika kwake huwa ni kukatika kwa heating element. Lakini kama Exhaust manfold gasket inaleak inaweza kupelekea less Oxygen molecules zifike kwenye sensor na hivyo basi lazima isome code ya O2 sensor lakini pia shida inaweza kuwa poor wiring harnesy ya sensor.
4. ECT sensor. Hii nayo sometimes inaweza tu kuwa imechafuka ila nzima kabisa. Hasa ukizingatia watu wengi huwa wanatumia maji badala ya recommended coolants. Kwa hiyo inakuwa ni swala la kusafisha na kuirudishia badala ya kununua mpya.
5. EGR valve. Hii nayo inaweza kuwa nzima kabisa ila shida ikawa tu ni deposit ya carbon au leakage kwenye baadhi ya hoses zake. Au poor electrical connection kwenye solenoid yake.
Matatizo mengi niliyoyataja hapo juu yanaweza kurekebishika bila kubadili component ya chombo cha mtu na hivyo kumuepusha na gharama ambazo si za lazima. Au kama kuna ulazima wa mtu kubadili component fulani katika gari yake hasa kwa hizi electrical components basi ni vizuri hicho kitu kikawa tested ili kuprove kwamba ni kizima au kibovu. Kila electrical component kwenye gari inaweza kuwa tested kuanzia spark plug, injectors, sensors, Valves, relays n.k.
Ni hayo tu...
Pia unaweza kusoma
Kuna umuhimu mkubwa sana kufanya check up ya mifumo ya umeme na electronics kwenye gari yako