combination

In mathematics, a combination is a selection of items from a collection, such that the order of selection does not matter (unlike permutations). For example, given three fruits, say an apple, an orange and a pear, there are three combinations of two that can be drawn from this set: an apple and a pear; an apple and an orange; or a pear and an orange.
More formally, a k-combination of a set S is a subset of k distinct elements of S. If the set has n elements, the number of k-combinations is equal to the binomial coefficient







(


n
k


)



=



n
(
n

1
)

(
n

k
+
1
)


k
(
k

1
)

1



,


{\displaystyle {\binom {n}{k}}={\frac {n(n-1)\dotsb (n-k+1)}{k(k-1)\dotsb 1}},}
which can be written using factorials as







n
!


k
!
(
n

k
)
!






{\displaystyle \textstyle {\frac {n!}{k!(n-k)!}}}
whenever



k

n


{\displaystyle k\leq n}
, and which is zero when



k
>
n


{\displaystyle k>n}
. The set of all k-combinations of a set S is often denoted by







(


S
k


)






{\displaystyle \textstyle {\binom {S}{k}}}
.
Combinations refer to the combination of n things taken k at a time without repetition. To refer to combinations in which repetition is allowed, the terms k-selection, k-multiset, or k-combination with repetition are often used. If, in the above example, it were possible to have two of any one kind of fruit there would be 3 more 2-selections: one with two apples, one with two oranges, and one with two pears.
Although the set of three fruits was small enough to write a complete list of combinations, this becomes impractical as the size of the set increases. For example, a poker hand can be described as a 5-combination (k = 5) of cards from a 52 card deck (n = 52). The 5 cards of the hand are all distinct, and the order of cards in the hand does not matter. There are 2,598,960 such combinations, and the chance of drawing any one hand at random is 1 / 2,598,960.

View More On Wikipedia.org
  1. The Khoisan

    Kwanini muunganiko wa Samia na Nchimbi umekosa mvuto?

    Naona kama vile kila siku zinavyosonga mbele kama vile kampeni za CCM zitakosa mvuto kabisa. Hapa sababu kubwa ni Maza na Nchimbi kutokuwa waongeaji au wapiga kampeni wazuri. Kwa kweli Maza anaoongea kama vile anahutubia mkutano wa ziara badala ya kuongea kama vile anapiga kampeni. Na haya...
  2. Prof_Adventure_guide

    Combination na Kozi za Kisasa Zinazokuwezesha Kujiajiri: Uamuzi wa Busara kwa Wanafunzi wa Advance na Vyuo Vikuu

    Kuna jambo moja ambalo ninaliona kama changamoto kuu kwa vijana wetu wengi – mindset ya “kusoma ili kuajiriwa.” Hii tabia inatufanya tukwame kwenye foleni ya kusubiri nafasi za kazi ambazo mara nyingi hazitoshi kwa wote. Kizazi cha sasa kinahitaji revolution ya fikra – kusoma si kwa ajili ya...
  3. Prof_Adventure_guide

    Combination na Kozi za Kisasa Zinazokuwezesha Kujiajiri: Uamuzi wa Busara kwa Wanafunzi wa Advance na Vyuo Vikuu

    Kuna jambo moja ambalo ninaliona kama changamoto kuu kwa vijana wetu wengi – mindset ya “kusoma ili kuajiriwa.” Hii tabia inatufanya tukwame kwenye foleni ya kusubiri nafasi za kazi ambazo mara nyingi hazitoshi kwa wote. Kizazi cha sasa kinahitaji revolution ya fikra – kusoma si kwa ajili ya...
  4. Perfectz

    Combination iliyopo kwenye hii picha ni hatari sana

    Hii nchi kama unataka kuchukia watu bila sababu unaweza kufa kabla ya wakati. Hii nchi kama una akili timamu kabisa jidai huna utaishi kwa amani kabisa. Jipendekeze kwa sana na kuwalamba miguu watawala,utakula mema ya nchi
  5. Mshana Jr

    Kwa wapenda ubunifu: Nitajie combination ya malighafi nikuletee ubunifu wake

    Mfano Mwanzi na makombe ya baharini Katani na chupa Mawe na miti Vifuniko na waya nknk
  6. Brown Nyanja

    Swali kuhusu combination

    Jaman,mimi nimemaliza kidato cha nne mwaka 2024,naomba kuuliz je ukiwa na matokeo haya nisomee comb gani ili nipagie coz y radiology chuo Math B Bios B Chem C Phy D Geog c sielew ,nahitaji kusoma PCB lkn sijui kama nitakubaliwa,,,naomben maoni yenu
  7. M

    Natamani kusoma HGE advance, nimemaliza form four mwaka jana, ila sijasoma Economic o level

    Natamani kusoma HGE advance. Nimemaliza form four mwaka jana, ila sijasoma Economic o_level. Hivi itawezekana kuchaguliwa hii combination natamani?
  8. Raymanu KE

    Pizza can't beat this combination

    I swear!
  9. B

    SHULE ZA PRIVATE ZA COMBINATION ECA na EGM A-LEVEL

    Habari wadau napenda kufahamu shule nzuri za A-LEVEL zenye ada nafuu zenye combination ya ECA na EGM. Ziwe za Private au za Kanisa
  10. Waufukweni

    PreGE2025 Cyprian Musiba: Muunganiko wa Heche na Lissu itatupa tabu CCM, Mbowe sio mgumu

    Mwanaharakati huru Cyprian Musiba akitoa maoni yake kuhusiana na uchaguzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). "Freeman Mbowe sio tough (mgumu) vile, sababu Mbowe mnaweza mkazungumza, Wenje mnaweza mkazungumza na mambo yakaenda na mkapeleka nchi yenu mbele." "Lakini wale jamaa...
  11. funaku

    Gamond arudishe combination ya Aziz, Max na Mzize

    Tathmini yangu inaonesha Aziz K hakuonekana hatari kipindi Mayele amesimama kama lone striker lakini baada ya Mayele kuondoka Combination bora ilozakiwa yaani Aziz K, Max, Mzize na Mudathir. Sasa turujee Ujio wa Dube na Chama utaona kama vile space ya Aziz kucheza imepunguzwa. Gamond rudisha...
  12. ngara23

    Combination ya PCM ime balance Yanga Au kihasibu Yanga Sasa tuna CPA😅

    Ujio wa Chama utaleta mabadiliko makubwa. Ni Gamondi mwenyewe kuamua atumie mfumo Gani? Comb ya PCM , pacome, Chama, Max. Au kihasibu tuseme Yanga tumefuzu Kwa CPA. CPA Chama Pacome Aziz ki. Mbumbumbu Kwa combination hii mtakula za kutosha dadek. Shukran Kwa Eng Hersi Said. .yanga bingwa tena.
  13. G

    Je, nichague course ipi nzuri na yenye fursa ya ajira kwa combination za arts?

    Mimi ni muhitimu wa kidato Cha sita mchepuo HGK. Nahitaji kujua ni course ipi nzuri na yenye fursa ya ajira naweza kwenda kusomea chuo kikuu?
  14. Eric Jr

    Mdogo wangu hataki kwenda Chuo. Je, kwa matokeo haya aende Advance Combination gani?

    Nina ndugu yangu kapata matokeo haya HIST-D GEO-C BIO-C ENGL-D CIV-C CHEM-C LITE-D KISW-C MATH-D Amepata Division III Point 23 hajasomea PHYSICS na amepangiwa chuo cha Human Resources Management hataki kwenda Chuo Je, aende Advance kwa Combination gani? Msaada jamani.
  15. Roving Journalist

    Mwanafunzi wa Kidato cha 5 fanya haya ikiwa unataka kubadili tahasusi (combination) tofauti na uliyopangiwa

    Wewe ni mwanafuni unayejiandaa kwenda kidato cha 5 ukiwa na ndoto ya kusoma tahasusi fulani, lakini unajikuta umepangiwa tahasusi tofauti na matarajio yako, na wakati mwingine unapangiwa tahasusi uliyochagua lakini kutokana na sababu mbalimbali unafikia maamuzi ya kubadili tahasusi hiyo, je...
  16. S

    KERO Serikali mliangalie hili, inakuwaje mtu anachaguliwa Kozi ambayo hajaomba?

    Kijana amemaliza form four na pass za Phy C, Biology B, Chem A, na Maths Chaguo la kwanza aliomba Pharmacy, Chaguo la pili aliomba vyuo vya ufundi. Sasa amepangiwa kwenda Advance PCM. Imekaaje hii wakuu ukizingatia hakupenda kwenda Advance kabisa. Pia soma: ~ TAMISEMI wafafanua kinachopelekea...
  17. K

    Serikali kuweni makini; inakuaje mtoto ana A ya math, B ya Chemistry, B ya biology na B ya Physics halafu mnampangia combination ya Art?

    Mbaya zaidi dogo hakuomba combination yoyote ya arts katika maombi yake ya uchaguzi (selform)..... machaguo yOte matano ye ni PCM, PCB AU CBG. Kijana amepambana kwenye shule yake ya kata hadi amefikia hapo ili ndoto zitimie halafu mnataka kumsumbua na kumuathiri kisaikolojia kama hivyo. Najua...
  18. tpaul

    Wizara: Sababu serikali kuanzisha tahasusi za dini hizi hapa

    Suala la serikali kuingiza udini kwenye elimu limepigiwa kelele kila kona. Kuna baadhi ya wadau wanaamini kwamba hata kabla hizi tahasusi za dini kuanza kufanya kazi, kuna uwezekano serikali ikazifutilia mbali kwani utekelezaji wa hizi tahasusi tayari umeishaanza kuleta mkanganyiko miongoni mwa...
  19. conductor

    Nani walikaa kuandaa Combination?

    INATAFSIRI kiwango kidogo kiasi cha viongozi wasomi kubuni na kuweka combination za dini ,ili mtoto akae miaka 2 darasani akisoma, islamic, divinity ,au lugha ngeni kwa nchi kama Tanzania, ilibidi wanyang'anywe vyeti vyao na vyuo huska (academic certificate ), wafukuzwe KAZI, na kama walikuwa...
  20. Fifteen

    Mapendekezo yangu ya tahasusi mpya ambazo zinaleta tija

    Habari wa kuu , Nmeona combination mpya zimeongezwa ili kuwapa uwanja mpana wanafunzi wa advance lakini naona hazija ongeza kitu kwa wanafunzi wa sayansi zaidi ya computer. Kwa maono yangu tungepata combination zifuatazo 1. Math, Physics And Chinese 2. Physics, Chemistry and Russian or...
Back
Top Bottom