combination

In mathematics, a combination is a selection of items from a collection, such that the order of selection does not matter (unlike permutations). For example, given three fruits, say an apple, an orange and a pear, there are three combinations of two that can be drawn from this set: an apple and a pear; an apple and an orange; or a pear and an orange.
More formally, a k-combination of a set S is a subset of k distinct elements of S. If the set has n elements, the number of k-combinations is equal to the binomial coefficient







(


n
k


)



=



n
(
n

1
)

(
n

k
+
1
)


k
(
k

1
)

1



,


{\displaystyle {\binom {n}{k}}={\frac {n(n-1)\dotsb (n-k+1)}{k(k-1)\dotsb 1}},}
which can be written using factorials as







n
!


k
!
(
n

k
)
!






{\displaystyle \textstyle {\frac {n!}{k!(n-k)!}}}
whenever



k

n


{\displaystyle k\leq n}
, and which is zero when



k
>
n


{\displaystyle k>n}
. The set of all k-combinations of a set S is often denoted by







(


S
k


)






{\displaystyle \textstyle {\binom {S}{k}}}
.
Combinations refer to the combination of n things taken k at a time without repetition. To refer to combinations in which repetition is allowed, the terms k-selection, k-multiset, or k-combination with repetition are often used. If, in the above example, it were possible to have two of any one kind of fruit there would be 3 more 2-selections: one with two apples, one with two oranges, and one with two pears.
Although the set of three fruits was small enough to write a complete list of combinations, this becomes impractical as the size of the set increases. For example, a poker hand can be described as a 5-combination (k = 5) of cards from a 52 card deck (n = 52). The 5 cards of the hand are all distinct, and the order of cards in the hand does not matter. There are 2,598,960 such combinations, and the chance of drawing any one hand at random is 1 / 2,598,960.

View More On Wikipedia.org
  1. Fifteen

    Mapendekezo yangu ya combination mpya

    Habari wa kuu , Nmeona combination mpya zimeongezwa ili kuwapa uwanja mpana wanafunzi wa advance lakini naona hazija ongeza kitu kwa wanafunzi wa sayansi zaidi ya computer.kwa maono yangu tungepata combination zifuatazo 1.math, physics and Chinese 2.physics, chemistry and Russian or arabic...
  2. Ashampoo burning

    Serikali toeni hizo Combination za Dini hii siyo nchi ya kidini

    Nimeona wameongeza combi nyingi sana kwenye kwenye elimu ya advance jambo zuri ila lina ubaya wake pia Niende kwenye mada nchi yetu sio ya kidini yaani haifungamani na dini yeyote ile sasa serikali kwanini imeweke masomo ya dini ya kiislam na kikristo kwenye mtaahala ni kurudisha...
  3. Zee la madawa

    Elimu ya Tanzania ina shida gani? Eti Physics, Kiswahili na Geography nayo ni combination moja

    Lengo ni nini? Haya maamuzi yamefanyika kwa kushirikisha wataalamu kweli? Tunakusudia kujenga taifa la aina gani? Mtu akisoma Physics, Kiswahili na Economics (PKE) anaadaliwa kuwa nani? Au anayesoma Chemistry, Comerce na Mathematics (CCM) mnamuandaa kuwa nani kama sio kuwa chawa? Nadhani idadi...
  4. L

    Nawezaje kubadili combination

    Mimi ni mwanafunzi kidato cha tano PCB anayetaka kubadilisha combination kutoka PCB kwenda PCM. Nimejaribu kuongea na mkuu wa shule amesema nimechelewa kwa kuwa sasa hivi wameshaenda mbali, naomba msaada nifanyeje? vipi kama naweza kusoma mathematics mwenyewe kucover hizo topics?
  5. S

    Kikosi bora cha team ya Taifa, Afrika nzima haijawahi tokea hii combination

    Hiki kikosi cha Super eagles ndio kikosi bora cha Muda wote. Algeria walijaribu kukaza mpaka nusu fainali ya WC ila ubora wao haujawafikia hawa jamaa Waulize Spain walivyokandwa kwenye world cup 1998.
  6. Dr Matola PhD

    Hivi Simba mnaona kinachoendelea Yanga? Sasa mumuogope sana Aziz Ki, zile combination zake za ASEC zipo Avic town

    Hivi Simba mnajuwa kinachoendelea Yanga? Picha inaweza kuongea zaidi, kipande cha cream ya Asec mimosa Kipo Yanga. Wanaojuwa mpira kuna kitu mtakigunduwa hapa maana halisi ya kusajili na kukurupuka. Set ya Wacongo ililipa, je set ya Asec Mimosa tutalajie nini? Tukutane kesho kwa Mkapa Lupaso...
  7. Nyuki Mdogo

    Elimu ya hii nchi ina balaa kubwa katika elimu. Hebu ona hizi Combination

    Kuna Tahsusi hata sielewi manufaa yake hasa ni yapi katika ujenzi wa Taifa
  8. Felice6

    Kuhusu kubadilisha tahasusi (Combination)

    Habari za muda huu wakuu Mdogo wangu alimaliza kidato cha nne mwaka jana ambapo ndiyo wamepangwa kidato cha tano. Amepangiwa Combination ya HKL badala ya CBG aliyoitaka na shule alipangiwa zipo combi za sanaa tu, HKL, HGL na HGE. Je, mchakato wa kuhamia shule yenye combine hiyo ukoje? Msaada
  9. R

    Kubadili combination A Level

    Nilitaka nisome PCB, leo wamenichagua HKL, nawezaje kubadili hiyo kitu. Siitaki katu
  10. jastertz

    Combination ya Nazi, karanga na muhogo.

    Habari wana JF Afya! Jana katika soko fulani nikakutana na jamaa anauza powerbank, mchanganyiko wa nazi, karanga, na muhogo kwa ajili ya mambo yetu yale. hizi ukila zinakua ni za muda mrefu au unajibust kwa muda tu...??? vipi ukila alafu usikutane na mwenza wako madhara yake ni yapi..?
  11. R

    Namtafuta fundi Mtaalamu wa kufungua combination lock bila kuvunja

    Habari za muda huu wakuu. Nina sanduku linatumia combination lock system, bahati mbaya nime sahau hizo code namber. Najua humu kuna watu walisoma topic ya Permutation katika advanced maths enzi hizo, sijui sasa kama bado ipo. Tafadhali naomba usaidizi wenu au 'tricks' za kufungua sanduku...
  12. Moshi25

    Combination ya Mayele, Musonda na Sopu

    Just thinking from unbeaten utopolo mindset ninaona kabisa iwapo Yanga tukimchukua Sopu acheze nyuma ya Mayele pembeni yao Musonda hata Barcelona wanakaa! Huu utakuwa utatu kama MSN wa Barca au Liverpool Firminho, Salah na Mane! Mpira ni magoli alisema Pele haiwezekani tuwe na straika Kali tatu...
  13. adriz

    Mchakato wa kubadilisha combination na shule kwa waliomaliza kidato cha Nne mwaka huu umeanza tayari

    Habari za mchana Wana Jf. Kuna mdogo wangu amefaulu kidato cha Nne nataka nimbadilishie shule na combination alizochagua awali huko Shuleni baada ya yeye kuja na mapendekezo mapya Muda sasa tokea mwaka 2018 umekuja utaratibu mpya wa online unao muwezesha mwanafunzi kubadilisha shule ...
  14. Vugu-Vugu

    Hii Combination baina ya Mzee Kinana na Shaka ni dhahiri huu ni mwanzo wa mwisho wa Upinzani Tanzania

    👇👇 Tazama siasa inayopigwa na hawa mabwana then njoo uniambie nafasi ya Upinzani iko wapi kwa sasa. 👇👇 KINANA NA SHAKA WATEMBELEA SHAMBA LA MBEGU BORA ZA MAHINDI WILAYANI MISENYI Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana ametembelea...
  15. N

    Combination ya Outarra na Inonga tunatolewa na Big Bullets

    Ule mzuka wa outarra kwangu umeshuka kabisa nilidhani labda sababu yeye na Inonga wanaongea kifaransa itakuwa rahisi kuwasiliana kumbe ni hovyo kabisa. Outarra ana mazuri yake lakini akipitwa nusu hatua tu kwisha kazi yake ujue nyavu zinaenda kutikisika sijui ni mzito ama nini, agh? Hata kama...
  16. Meja Jenerali Isamuhyo

    Huyu mwalimu wa Rais Samia alisomea combination gani?

    Bi Khadija alimfundisha Mh. Rais Hesabu na Kiingereza alipokuwa form two/three. Je, huyu Mwl Khadija alisomea combination gani mpaka akaja kufundisha Hesabu na Kiingereza?
  17. kekule benzene

    Kama umechaguliwa Combination ya CBG, fahamu jambo hili mapema

    Habarini wakuu, Hongereni kwa mliochaguliwa kujiunga na kidatChcha tano, kikubwa tusiishi na historia, Kama ulipata division one O - level jipange upya ukatafute one nyingine ila hakuna uhusiano kati I ya performance ya O level na advance, unaweza ukakuta aliyepata three O level akawa...
  18. Expensive life

    Combined Yanga vs Simba Jumamosi

    1 Manula 2 Djuma 3 Hussein 4 Mwamnyeto 5 Enonga 6 bangala 7 Sakho 8 Feisal 9 Mayele 10 Chama 11 Morrison
  19. M

    Mfumo wa kubadilisha Combination kidato cha nne haufanyi kazi

    Wadau kwema Toka waziri wa Tamisemi atoe Tangazo la kubadilisha mchepuo ya kidato cha nne ulifanya kazi siku moja tu na iligoma gafla kabla ya kumaliza kubadilisha baada ya hapo haikubali tena,wametoa no za simu +255 216 0210 ukipiga imefungiwa email hawajibu wakati wamesema mwisho wa kubadili...
  20. technically

    Kiufundi Simba Kuna tatizo kubwa

    Mechi 3 bao 0 yaani ufungi bao dakika 270 kwenye mpira haya ni maajabu kwa timu inayotetea ubingwa. Wachezaji hawajitumi Wala hawana Hali kabisa ukiwatazama usoni. Pamoja na kuuza wachezaji wawili ila Simba Kuna tatizo la kiufundi kwani Kuna mechi nyingi msimu ulioisha chama alikuwa amefiwa...
Back
Top Bottom