christmas

  1. M

    Leo Christmas? Mbona tofauti ni kubwa?

    Leo ni krismasi kwa mataifa kadhaa duniani, yakiadhimisha kuzaliwa kwa Yesu Kristo. Mamilioni ya Wakristo wa dhehebu la Orthodox husheherekea Krismasi Januari 7, badala ya Disemba 25, iliyozoeleka na wengi. Unaweza kuiita Krismasi ya Orthodox. Ni sikukuu inayopewa heshima kubwa kwa baadhi ya...
  2. F

    Thieves Loot Over 3,000 Safe Deposit Boxes at German Bank on Christmas Eve

    In what was supposed to be a safe heaven for people to hide their valuable belongings away from home turned into a nightmar e on Christmas Eve on December 24. 2025. Bunch of Thieves broke into a branch of Sparkasse bank in the city of Gelsenkirchen, in North Rhine-West-phalia state, from an...
  3. Kijakazi

    Wakristo Syria washeherekea Krismasi chini ya mtutu wa bunduki

    kulikuwa na 1.8 million Christians in syria leo wamebakia laki 3 tu, wanasali chini ya mtutu wa bunduki, kama mlifikiri haitatokea hapa tanzagiza think again, lebanon ilikuwa ni Christian majority country leo hii wameisha karibia waote, Wanapokwambia wanafight against ''mfumo Kristo''...
  4. Beira Boy

    Ubachela kazi sana Mimi mkristo lakin Chrismas nimekula vya kula vya waislam

    Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Usiombe uwe bachela ni kazi si kidogo aisee Jana kama mnavyojua ilikuwa ni Christmas hivyo asubuhi nimeenda zangu kanisani kama kawaida Kisha kwenye saa sita nikarudi zangu home nikiwa na mawazo nikale wapi maana magenge yote yalikuwa...
  5. Yoda

    Masheikh wanaokataza waumini wao Waislamu kusherehekea Christmas katika nchi kama Tanzania hawafikiri vyema na wana matatizo.

    Sikukuu ya Christmas mwaka huu imekuja na jambo la ajabu na la hovyo sana la masheikh wengi kuharamisha katika umma kupitia vyombo vya habari kwa ukubwa sana waumini wa Kiislamu kutoshiriki Christmas na Wakristo, hawa masheikh kwa vyovyote vile sidhani kama wanaelewa wanachokifanya na kwa hakika...
  6. Waufukweni

    Sheikh Khalfani: Ukiletewa chakula na Mkristo siku ya Christmas ni halali kukila, wala usiache hakuna kasoro yoyote

    Maneno ya Sheikh Uwesu Khalfani, Mwenyekiti wa BAKWATA Mkoa wa Kigoma, na pia mjumbe wa Kamati ya Mwezi ya Kanda ya Magharibi.
  7. ngara23

    Ukionyesha picha msanii akifanya show Leo Christmas, nakupa laki 1

    Mimi ni mkweli na Kwa Imani yangu kuvunja ahadi ni dhambi kubwa na Mimi sipo tayari kubeba dhambi kubwa ya kufanya dhulumat Kwa kuvunja ahadi Njoo na picha ya msanii akifanya show Leo na kesho boxing day popote Tanganyika Nikisema msanii naomba mnielewa usije ukaleta wasanii wasio na majina...
  8. H

    Ewe Mkristo Wakati Unasherehekea Christmas Ukiwa Katika Wakati wa Maonevu Mengi ya Watawala, Mungu Anakuasa Usishirikiane na Watawala Dhulumati

    Wakati Wakristo wanaitwa kuheshimu mamlaka kwa sababu mamlaka zinatoka kwa Mungu, tamko hilo halihusu kwa watawala wote, bali watawala wale wasiotenda kinyume na mapenzi ya Mungu. Yaani watawala wale ambao ma.laka yao yametoka kwa Mungu. Lakini ufahamu kuwa shetani naye anajitahidi wakati wote...
  9. Kimbesa11

    Nawatakia Christmas njema Watanzania wenzangu

    Yesu azaliwe mioyoni mwetu, siku ya Leo tuzaliwe upya •tuache matendo mabaya, •tulipe Kodi, •tufanye kazi tutafute Hela, tuache kukesha mitandaoni mida ya KAZI •tuache uchonganishi na upotoshaji, • tuache ku comment matusi, •tutubu dhambi zetu, • tuheshimu viongozi wetu kuanzia ngazi ya mitaa...
  10. Mshana Jr

    Christmas hii: Sema lolote kuhusu ukanda wa gaza

    Google map location inaonesha ukanda wa Gaza wa Tanganyika (Tanganyika Gaza strip) Unaanzia Kimara Baruti mpakani ni Mbezi Kibanda cha mkaa Majimbo yake randomly Kimara Suka Bucha Temboni Kwamsuguri Darajani Changamoto za kudumu Miundombinu Maji Umeme Usafiri Hali ya kijiografia Ukame Milima...
  11. Dr Luu

    Tupia ushauri wa afya na salamu za sikuu ya Christmas

    Habari wapendwa wanaJF wenzangu nawatakia heri ya sikuu kuu na mwaka mpya kwenu nyote kwa upendo na mshikamano baina yetu, kila la kweri nyote. Tusisahau kutunza afya zetu kwani ndio utajiri namba moja WEALTH = HEALTH
  12. Foffana

    Merry Christmas & Happy New Year 2026 Great Thinkers! Tupeane location sasa

    Katika msimu huu wa shamrashamra na furaha, ninapenda kuchukua nafasi hii kukutakia wewe na familia yako yote Heri ya Krismasi na Mwaka Mpya wenye baraka tele. Sherehe za Noeli ni zaidi ya kula na kunywa; ni muda wa kutafakari upendo mkuu tuliojaliwa na kumshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai na...
  13. ELI COHEN

    HII NDIO SIKUKUU BORA KULIKO ZOTE, ZINAANZA NYINGINE THEN HII NDIO INAKUWA FUNGA KAZI. MERRY CHRISTMAS WANA JF

  14. ELI COHEN

    Mimi sio nabii ila kesho utaona nyuzi za yesu alikuwa ni mpalestina na christmas ni sherehe ya majini

    Anaesema hivyo yeye mwenyewe anasubiria mto wa mvinyo na wanawake 90 huko peponi 😂😂
  15. M

    Nguvu ya maandamano imeisha, Serikali tafadhalini sana msituzuie kutoka nje Christmas 25D kama mlichofanya D9.

    Katika sikukuu ya Krismasi, familia nyingi hupata fursa ya kipekee, mara moja tu kwa mwaka, kutoka nje na kukutana na ndugu pamoja na marafiki katika mikusanyiko ya kusherehekea na kufurahia sikukuu hiyo. Litakuwa jambo la kusikitisha sana iwapo tutasikia serikali ikisalimu amri kwa vitisho...
  16. The Dictator

    Naombeni playlist ya nyimbo za kusindikizia sikukuu ya Christmas & Mwaka mpya

    Miondoko yote. Afrobeats, Gospel mix, Gospel Catholic, amapiano, 3 Step's, R&B's, n.k.
  17. J

    Wakati Nchi za Magharibi wakijiandaa na Christmas, Masheikh wa huko waamua kuivuruga

    Uislamu umevamiwa na Maislamists ambayo yanaongozwa na Katiba na Mikakati ya Muslim Brotherhood (MB). Hawa jamaa hawana interest ya kuwafikisha waislamu Ahera, bali wao interest yao ni Islamic Conquest ya Jamii nyingine ambazo si za Kiislamu. Aidha, hatima ya yote wanataka kusimamisha Dola ya...
  18. Brightburn

    Ofa ya X-Banners msimu wa Christmas

    OFA ya msimu wa Christmas, jipatie X BANNER kutoka HAMIA DIGITAL utangaze biashara yako kisasa zaidi na kwa bei poa. Bango la X BANNER ni rahisi sana kuhamishika, ni kama unavyofungua na kufunga Mwavuli. ⚠️ BEI YA OFA ⚠️ 1PC: Tsh 80,000 2PCs: Tsh 75,000 / PC +3PCs: Tsh 70,000 / PC Size: 80cm x...
  19. Genius Man

    Kwenye hotuba ya Samia hajasema D9 kuna maandamano bali ameongelea maandamano siku ya Christmas na kuruka D9

    kwenye hotuba ya ndugu samia hajasema #D9 kuna maandamano bali ameongelea maandamano siku ya Christmas na kuruka #D9 Kwa kifupi anaogopa balaa amechanganyikiwa na upinzani wa gen z
  20. ELI COHEN

    Leo inabidi wazungu walinde kwa silaha maduka ya msimu wa Christmas kuhofia radicals wa itikadi kali

Back
Top Bottom