Rais Donald Trump wa Marekani ametishia kusitisha mahusiano na China kutokana na dhima ya taifa hilo katika kusambaa kwa virusi vya corona ambavyo hadi sasa vimesababisha vifo vya zaidi ya watu 300,000 duniani.
Katika mahojiano yaliyorushwa jana Alhamis Rais Trump amerejea shutuma zake dhidi...