china

  1. Sigonella Island

    China yazindua Global Digital Payment System na kuikacha Swift ya USA

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Serikali ya Watu China imezindua mfumo wake wa kufanya malipo GLOBAL DIGITAL PAYMENT NETWORK na kuukwepa mfumo wa Marekani wa SWIFT ambao Marekani anautumia kama silaha dhidi ya washindani wake kiuchumi na Kijeshi BIG BREAKING! 🚨💵🪦 CHINA LAUNCHES GLOBAL DIGITAL PAYMENT NETWORK...
  2. L

    China yaitikia vita ya ushuru ya Marekani ili kutetea haki

    Katika kipindi muhimu cha ufufuaji wa uchumi wa dunia, Marekani imetumia tena rungu la ushuru, ikiamua kutoza ushuru ambao inauita "sambamba" kwa washirika wake wote wa biashara duniani, ambapo ushuru wa bidhaa kutoka China utafika hadi 34%. Ikikabiliana na hatua hii ya kimabavu ya wazi, China...
  3. Mi mi

    TRUMP asema hatofanya makubaliano na China isipokuwa Trade Deficit haijapatiwa suluhisho

    Rais wa marekani Donald Trump amesema President Trump says he will not make a deal with China unless the trade deficit is solved. https://x.com/spectatorindex/status/1909022166731141277?t=NKV8PAmCQhY4sLH63OopKQ&s=19
  4. Khanji kapoor

    Hivi ndivyo nchi za kiafrika zilikuwa zinashirikiana na china kwenye kukwepa kodi kwa bidhaa zinazoingia USA

    Wakuu mimi sio mchumi ila nimeumia akili za kawaida Wakati wa utawala wa Clinton kulianzishwa ushirikiano kitu kinaitwa Goa yaani ushirikiano wa USA na nchi zinazoinukia kiuchumi za africa na asia Hii ilisababisha viwanda vingi kuanzishwa hasa vya nguo vikawa vinatengeneza nguo na kuingiza...
  5. N

    China yatengeneza betri ndogo za nyuklia zenye ukubwa wa sarafu

    Watengenezaji wa betri wa China Betavolt wamezindua BV100, betri ya nyuklia ya ukubwa wa sarafu inayoendeshwa na isotopu ya nikeli-63 yenye mionzi, yenye uwezo wa kudumu kwa miaka 50 bila chaji au matengenezo. Betri hiyo hutumia teknolojia ya kizazi cha nne ya semicondukta ya almasi ya China...
  6. Godee jr

    Milango ya Chuma toka China na ile ya Tanzania-Uimara na Changamoto zake

    Habari wanajukwaa. Ninaomba tupeane uzoefu na mawazo kuhusu aina hizi 2 za milango ya Chuma. Ipi ni bora ukilingamisha na mingine. Strength na weakness za kila milango. Inadumu kwa muda gani na reaction zake linapokuja swala la kutu. Uimara wa milango yenye na vitasa vyake. Pia tuangalie na...
  7. Yoda

    Utawala wa Trump wapiga marufuku mapenzi kati ya wafanyakazi wa Serikali ya Marekani na Wachina nchini China!

    Serikali ya Trump imepiga marufuku mahusiano ya mapenzi kati ya wafanyakazi wake walio China na Wachina nchini humo. Wachina wanamtisha sana mwendawazimu wannabe dictator Trump.
  8. X

    China yaongeza kodi kwa 34% kwenye bidhaa za Marekani kufuatia Marekani kutangaza ongezeko la tariffs kwa mataifa mbalimbali duniani. The game is on!

    Baada ya uongozi wa Trump jana kutangaza kuongeza tariffs kwa mataifa mbalimbali dunia kutia ndani China, leo pia China nayo imetangaza kuongeza tariffs kwa 34% kwa bidhaa zote za Marekani. Mwanzoni China ilikuwa ikiongeza tariffs kwa baadhi tu ya bidhaa za Marekani ila tangazo la leo limegusa...
  9. L

    Familia nchini Tanzania zanufaika na mradi wa maji uliojengwa na China

    China ni nchi kubwa inayoendelea, na pia ni nchi ya pili kwa ukubwa wa uchumi duniani, ikiifuata Marekani. Kutokana na nafasi yake hiyo, China imekuwa mstari wa mbele katika kuzisaidia nchi nyingine zinazoendelea duniani kujipatia maendeleo kwa njia na mazingira ya nchi husika, huku ikishiriki...
  10. L

    Madaktari wa China wasaidia vijana wa Kitanzania kushinda Kifua Kikuu sugu kisichosikia dawa

    “Leo nimeweza kujumuika na watu wengine wa sehemu mbalimbali duniani kuadhimisha Siku ya Kifua Kikuu Duniani, hii yote ni kutokana na hatua ya kuokoa maisha ya kikundi cha 34 cha timu ya madaktari wa China visiwani Zanzibar,” alisema Seif Hassan Mbarouk mgonjwa wa kifua kikuu Zanzibar , huku...
  11. SuperEnthusiasis

    Nafikiria kwenda china

    Kama kichwa cha habari kinavojieleza, nimefikiria namna ya kuongeza kipato changu nikapata njia ya kwenda china ili niwe naagizwa na wabongo wenzangu niwatafutie bidhaa na kuwaagizia, ili walau niwe napata kiasi kidogo cha pesa. Pia niwe natafuta machimbo ya vitu vya bei rahisi na kuwaonyesha...
  12. A

    Ubalozi wa China wabadili utaratibu wa maombi ya Visa

    Kwa wale ambao mara kadhaa tumesafiri ama kuomba visa ya kwenda China, kuna mabadiliko ya kuomba na kupata visa ya China kuanzia tarehe 31 March 2021. Hapo awali ilikuwa tunajaza taarifa zetu online na kisha ku-print ile fomu na kuiwasilisha pale ubalozini pamoja na viambatanishi vingine...
  13. X

    China vs U.S Trade War: China yazuia uuzaji wa bandari zenye thamani ya $ 23 billion zilizo Panama Canal kwa kampuni ya Marekani ya BlackRock

    Tunakumbuka Trump alipoingia madarakani moja ya jambo alitaka ni kuona Panama Canal itumike kwa kuinufaisha Marekani. Changamoto ipo kwenye kumiliki bandari 2 za kimkakati zilizo karibu na Panama Canal zinazomilikiwa na kampuni binafsi ya Hong Kong. Bandari hizi zimekaa eneo zuri sana...
  14. stabilityman

    China fisadi ananyongwa Tanzania fisadi anatamba

    Kwa hali hii mwizi wa kuku anapigwa miaka 2 jera fisadi anatamba unategemea nn Tutaishia kuwa masikini
  15. Faana

    China yaja na technolojia mpya ya kuunganisha mtandao

    Kampuni ya Chang Guang Satellite imeweka kiwango kipya cha 100 Gbps kwa kutumia kiunganishi cha laser kutoka angani hadi Duniani, ikiiacha Starlink nyuma na kutanguliwa na satelaiti za Jilin-1, hii sio tu kuhusu intaneti ya kasi zaidi—ni hatua kubwa kuelekea uvumbuzi wa hali ya juu wa kuelekea...
  16. Luis 505

    Urusi ni nchi ya kijamaa? Mbona ina vyama vingi (Multipartism) tofauti na China??

    Eti wadau, inasemekana Tanzania iliingia katika mfumo wa vyama vingi kutokana na pressure ya world bank pamoja na IMF ili iweze kupata mikopo ya kujikwamua kiuchumi baada ya ule mdororo uliotokana na Vita vya Kagera. Je, Russia iliingia katika mfumo wa vyama vingi kutokana na nini ilhali wao...
  17. bushoke wa dar

    Naagiza vitu kutoka Amazon na China

    Habari wakuu nishawahi kutoa uzi wa kutafuta ajira but wengi mlinipa ushaur wa kujiajiri mimi mwenyewe. so nimerudi tena kwa wale ambao wanahitaji vitu kutoka amazon au kutoka china kua naagizisha mzigo kutoka sehem hizo na utakua unauona kiganjani mwako mpaka unakufikia ulipo ...
  18. Knock life

    Hawa China ambao raia wake wanahangaika na Maisha ndo mlikuwa mnawahita Super Power?

    Nchi ambayo inajiita Super Power inakuaje na Raia ambao wana maisha magumu Maana sio rahisi umkute raia wa marekani akija Africa na kufungua Madube na kisha kujiita mwekezaji.
  19. Now and then

    Ni vigezo gani hutumika kusema kuwa China ni nchi ya pili kiuchumi duniani ikiwa raia wake wanahangaika na Maisha kufika hatua ya kukimbilia Afrika?

    Ikiwa nchi Ina uchumi mzuri kidunia je inakuaje watu wake wanakuwa wanahangaika na maisha ? Mfano angalia raia wa kichina wanavyoangika na Maisha kufika hatua ya kufanya Kazi ambazo wanafaa wafanye waswahili. Je kuna siri gani hapa ? Maana hauwezi kuwakuta raia wa marekani wanaishi Kama hivi...
  20. MABATI YA SUNBAK TANZANIA

    Wachina ni masikini sana, yaani mtu unatoka China kuuza Yebo yebo Afrika, mambo kama haya hauwezi kuona wanafanya wamerekani

    Kiukweli wachina wana akili ndogo Sana yaani unatoka China kuja kuuza Yebo Yebo Tanzania
Back
Top Bottom