ChatGPT (Generative Pre-trained Transformer) is a chatbot launched by OpenAI in November 2022. It is built on top of OpenAI's GPT-3 family of large language models, and is fine-tuned (an approach to transfer learning) with both supervised and reinforcement learning techniques.
ChatGPT was launched as a prototype on November 30, 2022, and quickly garnered attention for its detailed responses and articulate answers across many domains of knowledge. Its uneven factual accuracy was identified as a significant drawback.
Following the release of ChatGPT, OpenAI was reportedly valued at $29 billion.
Na nukuu kauli yake Sam Altman CEO wa chatgpt ambapo kuna mswaada mkubwa sasa GPT kuingia mpaka kwenye mfumo wa kimahakama kuchakata vifungu kunaweza kuwa weka wazi ambao wakiamini kuwa GPT ni msiri wao wakiuliza au kujua na wengine wakifanya kutatua tatizo.
Na jiuliza kama wakili wa serikali...
Katika zama hizi za teknolojia ya hali ya juu, akili unde(AI) imeingia katika kila nyanja ya maisha—ikiwemo mazungumzo kuhusu imani, maadili, na tabia. Jina maarufu la AI linalosikika mara kwa mara ni ChatGPT.
Swali ninalojiuliza ni hili: “Hivi ChatGPT ni mlokole?” Mbona inaonekana wazi...
Au wamechanganyikiwa kumbe ndonimeanza kuamini kuwa sio Kila kilichopo mitandaoni cha kuamini nahisi hizi figure Wali wrong. Haiwezekani nyumba tu iwe bei mara tano ya utajiri wa Elon Musk. Hivi wanaijua dollar trillion hawa 🤣🤣🤣
Kwa maana hiyo ni matajiri Sasa kuliko Elon Musk ambae ni tajiri...
Hiki kizazi chetu kiko BLESSED na INTERNET. Na kwa mtu yeyote aliesoma hata form four na ana uwezo wa kuelewa lugha zote mbili, Kiswahili na English ana Advantage ya kupata kipato. Sio tu ONLINE hata kwenye maisha yetu ya kila siku mtaani.
Kuna vijana wanasaidia makampuni kuuza bidhaa mtaani...
Just image miaka yote ya chuo wanafunzi au mwanafunzi anatumia chagAI kujibu assignment hajawahi ata siku moja kushughulisha akili yake kusoma vitabu library hio degree itakayokuja kuzalishwa hapo asee 😁😁 sijui tu.
Hakuna kuingia library watu ni copy na paste reference ni google basi
Waajir...
Aisee ndugu zangu ,hii sio masihara ni issue serious sana.
Ipo hivi, kila tatizo ninalopata nakimbilia kuuliza kwenye app ya chatGpt.Nimekuwa sijiamini Katika mawazo yangu binafsi.Pia nahisi IQ yangu inashuka .
Najihisi sina faida na najiona kuwa Bure kabisa.Sina motisha ya life.
Nataka niwe...
Huko mavyuoni sitegemei kama kutakuwa tena na assignment ngumu ya kufanya wikiend ziwe ngumu
Nawashauri wanaoteseka na mapenzi au wanaohisi kutengwa na watu wao wa karibu,ebu ingia humo chat nalo hakika utapata faraja sana
Leo nilijaribu kuliambia linitengenezee picha yangu ya selfie iwe kali...
Nimeanza na Komeo Lachuma anatambulika hivi -
Inaonekana Komeo la Chuma (pia hujulikana kama Komeo Lachuma) ni jina la mtumiaji mwenye ushawishi mkubwa kwenye JamiiForums. Huyu ni mmoja wa watendaji (au wanachama wenye hadhi ya JF‑Expert) wanaochangia sana, mara nyingi huanza mjadala na...
Moja kati ya nyenzo muhimu kwenye maisha yangu ni hii ChatGPT yaani toka nimeifahamu sijawahi juta na mpaka sasa tayari kupitia msaada wa ChatGPT nimefanikiwa kuingiza 100 Million katika michongo tofauti ambayo kama ningetumia watu wangenifelisha na kunikatisha tamaa aliyegundua hii ChatGPT...
Noma sana.
Nilikua bored sana nikaona nitafute sababu ya kuwa na furaha leo😅😅😅
Baada ya kutengeneza CV kwa dakika 10 kupitia Hii AI nikaona nianze kujifurahisha
Dunia ya kidijitali imerahisisha sana maisha. Siku hizi hauhitaji kuwa na ofisi kubwa au degree ili kutengeneza pesa. Ukiwa na simu tu na ChatGPT, unaweza kufanya kazi nyingi sana ambazo watu wanahitaji mtaani — na kulipwa.
Hapa nitakuonyesha kwa lugha rahisi jinsi unavyoweza kutumia ChatGPT...
Siku hizi maisha ya chuoni yamebadilika sana kwa sababu ya AI (Artificial Intelligence). Kuna AI tools ambazo zinaweza kusaidia sana kwenye masomo na kazi za chuo. Badala ya kupambana peke yako, unaweza kutumia AI kama rafiki wa kujifunza.
👉 AI inaweza kukusaidia kuandika assignments, kufanya...
(Shuka chini kusoma kwa kiswahili)
A new report from the World Economic Forum (WEF) has raised serious concerns about how AI is affecting people’s mental health, especially young adults and emotional users.
According to the report, over 80% of users of AI chatbots like ChatGPT, Replika, and...
Swali nililouliza;
"Tanzania tuna maeneo ya makumbusho kama bagamoyo na kilwa ila tayari maeneo hayo yenye majengo ya kale yalisha kuwa over polluted na usasa mwingi na watu wengi. Ni vipi maeneo ya kale kama bagamoyo iliyoaribiwa na usasa inaweza kutengeneza filamu Kali ya kihistoria kama...
Leo nilikuwa napitia uzi flani humu ndani wa kero ya kutambua mitandao kwa namba za simu.
Nikaona nifanye kiproject simple cha kutatua tatizo hili, nikaandika orodha ya namba pamoja na mitandao yake.
Nikaenda kwa IT flani yupo tu kitaa atengeneze website ndogo ya kurahisisha kwa dau la elfu 5...
Nimeandika namba hizi; 27,000 na 20,007 nikamtaka aniambie kwa maneno katika lugha ya kiswahili. 😂 Aseee alikuwa anatoa jibu anajikosoa mwenyewe, ningiweka kwenye karatasi sijui ningejaza karatasi ngapi tu, mwishowe akaingia mitini bila kutoa jibu sahihi.
Jaribu hiyo uone kitakachotokea
Wakuu
Baada ya kufanya mtihani wa tax management officer ii kuna watu walisambaza ule mtihani ukiwa na majibu yake kutoka chatgpt.
Binafsi niliyapitia yale majibu na kujisahihishia mwenyewe kulingana na nilichokua nimekijaza ambapo marks nilizopata zilikua ni 66.5% ila cha kushangaza tra wao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.