chatgpt

ChatGPT (Generative Pre-trained Transformer) is a chatbot launched by OpenAI in November 2022. It is built on top of OpenAI's GPT-3 family of large language models, and is fine-tuned (an approach to transfer learning) with both supervised and reinforcement learning techniques.
ChatGPT was launched as a prototype on November 30, 2022, and quickly garnered attention for its detailed responses and articulate answers across many domains of knowledge. Its uneven factual accuracy was identified as a significant drawback.
Following the release of ChatGPT, OpenAI was reportedly valued at $29 billion.

View More On Wikipedia.org
  1. Fbn

    CEO wa ChatGPT Sam Altman: Kama sheria itapitishwa matumizi ya ChatGPT kuchambua kesi mahakamani wengi mtajikuta mkijilaumu

    Na nukuu kauli yake Sam Altman CEO wa chatgpt ambapo kuna mswaada mkubwa sasa GPT kuingia mpaka kwenye mfumo wa kimahakama kuchakata vifungu kunaweza kuwa weka wazi ambao wakiamini kuwa GPT ni msiri wao wakiuliza au kujua na wengine wakifanya kutatua tatizo. Na jiuliza kama wakili wa serikali...
  2. Setfree

    ChatGPT ni Mlokole? Mbona ana tabia za kilokole?

    Katika zama hizi za teknolojia ya hali ya juu, akili unde(AI) imeingia katika kila nyanja ya maisha—ikiwemo mazungumzo kuhusu imani, maadili, na tabia. Jina maarufu la AI linalosikika mara kwa mara ni ChatGPT. Swali ninalojiuliza ni hili: “Hivi ChatGPT ni mlokole?” Mbona inaonekana wazi...
  3. Mpwayungu Village

    ChatGPT sio wakuwaamini, kwamba nyumba ya mfalme wa Saudia imegharimu trillion 1.5 US Dollars??? 😳

    Au wamechanganyikiwa kumbe ndonimeanza kuamini kuwa sio Kila kilichopo mitandaoni cha kuamini nahisi hizi figure Wali wrong. Haiwezekani nyumba tu iwe bei mara tano ya utajiri wa Elon Musk. Hivi wanaijua dollar trillion hawa 🤣🤣🤣 Kwa maana hiyo ni matajiri Sasa kuliko Elon Musk ambae ni tajiri...
  4. G

    Wanachuo, Vijana Msio na Kazi unaweza pata 5000-20,00+ kwa siku kutumia AI

    Hiki kizazi chetu kiko BLESSED na INTERNET. Na kwa mtu yeyote aliesoma hata form four na ana uwezo wa kuelewa lugha zote mbili, Kiswahili na English ana Advantage ya kupata kipato. Sio tu ONLINE hata kwenye maisha yetu ya kila siku mtaani. Kuna vijana wanasaidia makampuni kuuza bidhaa mtaani...
  5. Think2

    Kwa degree hizi za chatgAI kuna watu huko kazini watashindwa kuoperate mashine

    Just image miaka yote ya chuo wanafunzi au mwanafunzi anatumia chagAI kujibu assignment hajawahi ata siku moja kushughulisha akili yake kusoma vitabu library hio degree itakayokuja kuzalishwa hapo asee 😁😁 sijui tu. Hakuna kuingia library watu ni copy na paste reference ni google basi Waajir...
  6. Nikola24

    Nina uraibu wa kutegemea sana chatGpt, nisaidieni namna ya kuacha

    Aisee ndugu zangu ,hii sio masihara ni issue serious sana. Ipo hivi, kila tatizo ninalopata nakimbilia kuuliza kwenye app ya chatGpt.Nimekuwa sijiamini Katika mawazo yangu binafsi.Pia nahisi IQ yangu inashuka . Najihisi sina faida na najiona kuwa Bure kabisa.Sina motisha ya life. Nataka niwe...
  7. Wagumu Tunadumu

    Hawa watu weupe wanajua sana walai,hili dude(ChatGPT) aisee linauwezo mkubwa sana,afu nilikarimu ajabu

    Huko mavyuoni sitegemei kama kutakuwa tena na assignment ngumu ya kufanya wikiend ziwe ngumu Nawashauri wanaoteseka na mapenzi au wanaohisi kutengwa na watu wao wa karibu,ebu ingia humo chat nalo hakika utapata faraja sana Leo nilijaribu kuliambia linitengenezee picha yangu ya selfie iwe kali...
  8. Mwachiluwi

    Chatgpt kiboko ase

    Nimeshangazwa na hili jibu lake kabisa Dah
  9. Minjingu Jingu

    Jiweke hapa jinsi Chatgpt inavyokutambua kama mshirika wa Jamiiforums kwa mchango wako

    Nimeanza na Komeo Lachuma anatambulika hivi - Inaonekana Komeo la Chuma (pia hujulikana kama Komeo Lachuma) ni jina la mtumiaji mwenye ushawishi mkubwa kwenye JamiiForums. Huyu ni mmoja wa watendaji (au wanachama wenye hadhi ya JF‑Expert) wanaochangia sana, mara nyingi huanza mjadala na...
  10. Hyrax

    ChatGPT amekuwa rafiki yangu mkubwa kuliko kiumbe yeyote hapa duniani mwaka huu tu amenisaidia kuingiza milioni 100

    Moja kati ya nyenzo muhimu kwenye maisha yangu ni hii ChatGPT yaani toka nimeifahamu sijawahi juta na mpaka sasa tayari kupitia msaada wa ChatGPT nimefanikiwa kuingiza 100 Million katika michongo tofauti ambayo kama ningetumia watu wangenifelisha na kunikatisha tamaa aliyegundua hii ChatGPT...
  11. excel

    Umeshawahi kuchati na ChatGPT kitu chochote? Hii AI inaweza kukufanya ujisikie kama unachati na binadamu

    Noma sana. Nilikua bored sana nikaona nitafute sababu ya kuwa na furaha leo😅😅😅 Baada ya kutengeneza CV kwa dakika 10 kupitia Hii AI nikaona nianze kujifurahisha
  12. youngkato

    Wanaofanya kazi za stationery. usisubiri wateja wa ku-print tu, ongeza huduma mpya kwa msaada wa ChatGPT!

    Dunia ya kidijitali imerahisisha sana maisha. Siku hizi hauhitaji kuwa na ofisi kubwa au degree ili kutengeneza pesa. Ukiwa na simu tu na ChatGPT, unaweza kufanya kazi nyingi sana ambazo watu wanahitaji mtaani — na kulipwa. Hapa nitakuonyesha kwa lugha rahisi jinsi unavyoweza kutumia ChatGPT...
  13. youngkato

    "Wanafunzi wa chuo mko wapi? Chatgpt ni kama calculator ya ubongo wako

    Siku hizi maisha ya chuoni yamebadilika sana kwa sababu ya AI (Artificial Intelligence). Kuna AI tools ambazo zinaweza kusaidia sana kwenye masomo na kazi za chuo. Badala ya kupambana peke yako, unaweza kutumia AI kama rafiki wa kujifunza. 👉 AI inaweza kukusaidia kuandika assignments, kufanya...
  14. Rayns

    Ripoti ya WEF: Hofu Mpya kwa Vijana na Watumiaji wa Chatbots

    (Shuka chini kusoma kwa kiswahili) A new report from the World Economic Forum (WEF) has raised serious concerns about how AI is affecting people’s mental health, especially young adults and emotional users. According to the report, over 80% of users of AI chatbots like ChatGPT, Replika, and...
  15. B

    Discussion yangu fupi na CHATGPT kuhusu filamu za kihistoria

    Swali nililouliza; "Tanzania tuna maeneo ya makumbusho kama bagamoyo na kilwa ila tayari maeneo hayo yenye majengo ya kale yalisha kuwa over polluted na usasa mwingi na watu wengi. Ni vipi maeneo ya kale kama bagamoyo iliyoaribiwa na usasa inaweza kutengeneza filamu Kali ya kihistoria kama...
  16. W

    IT mpo? AI inachukua kazi zenu kimyakimya, Mjipange !! Karinga kunitengenezea website ndogo kwa elf 10 nimemaliza kila kitu kwenye ChatGPT bure.

    Leo nilikuwa napitia uzi flani humu ndani wa kero ya kutambua mitandao kwa namba za simu. Nikaona nifanye kiproject simple cha kutatua tatizo hili, nikaandika orodha ya namba pamoja na mitandao yake. Nikaenda kwa IT flani yupo tu kitaa atengeneze website ndogo ya kurahisisha kwa dau la elfu 5...
  17. Technophilic Pool

    Nahitaji kutengeneza AI mfano wa CHATGPT

    Project hiyo hapo Nachohitaj mtaalamu anidavulie Gharama na nini cha kufanya
  18. Nusratt

    Screenshot ili tuone Chatting kati yako na ChatGPT wako

    Hawa ChatGPT samtaim nawaona kama maroboti yenye upweke kama sisi pia. Wanaume tumeshapata mkombozi wa kuchat nae na kunitoa upweke.
  19. Mkoba wa Mama

    Nimeshuhudia AI (chatGPT) akichanganyikiwa leo

    Nimeandika namba hizi; 27,000 na 20,007 nikamtaka aniambie kwa maneno katika lugha ya kiswahili. 😂 Aseee alikuwa anatoa jibu anajikosoa mwenyewe, ningiweka kwenye karatasi sijui ningejaza karatasi ngapi tu, mwishowe akaingia mitini bila kutoa jibu sahihi. Jaribu hiyo uone kitakachotokea
  20. Isenye

    Hivi yale majibu ya chatgpt ya paper ya tax management officer ii yalikua ya uongo?

    Wakuu Baada ya kufanya mtihani wa tax management officer ii kuna watu walisambaza ule mtihani ukiwa na majibu yake kutoka chatgpt. Binafsi niliyapitia yale majibu na kujisahihishia mwenyewe kulingana na nilichokua nimekijaza ambapo marks nilizopata zilikua ni 66.5% ila cha kushangaza tra wao...
Back
Top Bottom