chadema

CHADEMA (Chama cha Demokrasia na Maendeleo)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni chama cha kiasiasa nchini Tanzania ambacho kilianzishwa tarehe 28 Mei 1992 na mwanasiasa mkongwe Edwin Mtei, aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha katika miaka 1997 hadi 1979.

Mwaka 2000 CHADEMA hakikuwa na mgombea wa Urais. Mwaka 2005 mgombea wa CHADEMA Freeman Mbowe alikuwa namba tatu kati ya wagombea kumi akapata asilimia 5.88 za kura.

Mwaka 2010 CHADEMA ilipata asilimia 27.1% na mgombea Urais wa chama Wilbroad Peter Slaa na kura 4,627,923 kwa 31.75%.

Hata hivyo CHADEMA imekataa matokeo mengi kutokana na mchakato mzima kuwa mikononi mwa Tume ya Uchaguzi isiyo huru.
  1. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Will CHADEMA be suspended? Anxiety and uncertainty surrounding the party continue to deepen

    The Office of the Registrar of Political Parties (ORPPs) has given opposition party Chadema until 3.30pm on May 20 to submit a detailed explanation as to why it should not face disciplinary sanctions, including suspension, a fine, or both, for allegedly breaching laws governing political conduct...
  2. E

    JamiiForums Tanzania Nyahoza: Barua yetu kwa CHADEMA inasema kusimamisha chama kwa muda, sio kufuta

    Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa, Sisty Nyahoza amesema barua waliyoiandikia CHADEMA imemaanisha kuwasimamisha kwa muda (suspension) au kuwatoza faini endapo watawakuta na hatia kulingana na maelezo watakayotoa na sio kuwafuta kwenye daftari la Msajili, kama ambavyo imekuwa ikijadiliwa. Soma...
  3. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Jinsi Tundu Lissu na John Heche walivyokizika chama Chadema kwa mihemko na chuki

    Malengo ya waasisi wa CHADEMA yalikuwa ni kukijenga chama kwenye misingi imara ya kisiasa nchini kikisimama kama taasisi kuu ya upinzani iliyokusudiwa kutoa ushindani wa kisera na kuwa mbadala wa fikra baada ya CCM. Hata hivyo mwelekeo huo wa kimaono ulianza kupotea na kuyumba pale chama...
  4. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Sheikh Mwaipopo: Ina maana CHADEMA ni tishio mpaka ifutwe? Inamtishia nani? CHADEMA ina watu wanne ambao ni mazwazwa

    Kauli anazoendelea kuzitoa Sheikh Said Mwaipopo kuna wakati zinakuacha mtu ukibaki mdomo wazi, ukijiuliza kama kweli zimefikirika kabla ya kutolewa. ================ Shekhe Said Mwaipopo amesema amesikia taarifa ya msajili wa vyama kutoa taarifa ya onyo kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
  5. E

    JamiiForums Tanzania Dr. Kabobe: Kuifuta CHADEMA itakuwa sawa na kutia chumvi kwenye kidonda

    Katika hali inayoibua hofu kuhusu mustakabali wa siasa za ushindani nchini Tanzania, Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imekiandikia chama cha CHADEMA barua ya kukitaka kujieleza kwa nini kisichukuliwe hatua za kisheria, ikiwemo kusimamishwa usajili au kutozwa faini kwa madai ya kukiuka Sheria...
  6. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Namshauri Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini Kuifutia Usajili CHADEMA

    Kama mwanadiplomasia na mwanasiasa mwandamizi nchini, nimeifuatilia chadema kwa karibu sana na kwa muda mrefu, na nimethibitisha pasina shaka na kujiridhisha kwamba, chadema inakiuka sheria na masharti ya usajili wake, na kwahivyo inastahili kufutwa rasmi kisheria. Na hii itasaidia sana...
  7. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Warioba, Chadema na Njama za Oktoba 29

    Mzee Joseph Warioba,Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ananikumbusha "story" ya Waziri Mkuu wa zamani wa Nchi ya Burundi,Mh. Generali Alain Bunyoni ambaye alishiriki kuunda na kutekeleza njama za kutaka kumpindua Rais wa sasa wa Nchi ya Burundi,Mh Evarist Ndayshimiye. Haya...
  8. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Nimefurahishwa sana na habari ya wanaharakati wa CHADEMA kugombana kwa sababu ya pesa za michango. Nuruvazi na wenzake hapatoshi

    Kulingana na huyu kada wa CHADEMA, Dayon Monsoh ambaye ni kuwa mwanaharakati mwenzao aitwaye NURUVAZI anatafuna michango inayochangwa na baadhi ya watanzania wenzetu wasiojitambua. Kwa sasa kuna vita ya wao kwa wao kuhusu hizo pesa. Mimi nitafurahi zaidi ugomvi wao ukizidi kuwa mkubwa.
  9. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Tulia Ackson anaishi maisha ya furaha na haoni shida ku-share furaha yake. Ninapenda watu aina yake

    Hamjambo Walimwengu! 1. Kuna wale watu ambao hupotosha na kuwaweka watu under the Cage, kwamba mtu hatakiwi kujipost akiwa na furaha au akifurahia. Jambo ambalo sisi Watibeli tunapingana nalo kwa nguvu zote 2. Sio kwamba hatujui kwamba kuna watu wenye wivu, tunajua Sio kwamba hatujui watu...
  10. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yatangaza Kusikilizwa kwa Mashauri Mawili Mahakama Kuu ya Tanzania masijala ya Dar es salaam Mei 13, 2026

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinapenda kuuarifu umma kuwa kesho Jumatano, tarehe 13 Mei 2026 Chama kitakuwa na mashauri mawili Mahakama kuu ya Tanzania, masijala ya Dar es salaam mbele ya Mhe Jaji Ngunyale. Mosi, Mapema saa tatu asubuhi, maombi madogo namba 8960 /2025, Said Issa...
  11. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Nape Nnauye: Tulikodi uwanja wiki nzima ili CHADEMA wasifanye kampeni, Kikwete akatuzuia

    Mbunge Nape Nnauye amesema; "Tulikodi uwanja wiki nzima ili Chadema wasifanye kampeni, Kikwete akatuzuia" kupitia mahojiano yake na M&SPodcast inayongozwa na Omar Kashera pamoja na Salma Dacotha “Nakumbuka siku moja tumezindua Kampeni pale jangwani, Tumeanza sisi kuzindua tumejaza uwanja vizuri...
  12. L

    JamiiForums Tanzania Upendo na Moyo Wa Huruma: Rais Samia Amsaidia Profesa J Million 30. Asema anafuatilia Kwa Karibu maendeleo yake kiafya. CHADEMA wao ni Majungu tu

    Ndugu zangu Watanzania , Kiukweli Rais Samia amejaliwa Moyo wa Huruma na upendo sijapata kuona. Ni Mama Mwenye Kuguswa na shida za watu. Ni Mama na Rais Mwenye Upendo wa Agape . Maisha ya Rais Samia hapa Duniani ni Kwa ajili ya Kugusa watu. Anaishi kwa ajili ya kusaidia watu. Amefanyika Baraka...
  13. instinct desire

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wanahangaika na mikutano ya mitaani wakati hawana hata balozi mmoja hivi vyama vinaongozwa na watu wenye IQ ndogo sana

    Nashangaa kuona CHADEMA wanahangaika na mikutano wakati hawana hata balozi mmoja nchi nzima nadhani Sheria zitungwe ili kudhibiti vurugu za namna hii, Nauliza CHADEMA mnafanya mkutano kwa faida ipi? Hii sasa ni vurugu Sheria itungwe kuwazuia.
  14. R

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Msigwa arusha jiwe gizani: Kuanguka kwa dola ni pale MTAWALA anapozidi nguvu mamlaka za Katiba na sheria,. nepotism and the like

    "Busara” za mchungaji Msigwa. Ziite utakavyo lkn kuna sense aliloliandika. Ameandika Mch. Peter Msigwa Historia inaonyesha: mataifa mengi duniani hayakuanguka kwanza kwa sababu ya vita au mapinduzi bali , Yalianza kudhoofika taratibu pale ambapo mamlaka isiyo rasmi inaanza kuogopwa kuliko...
  15. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 CHADEMA yailaani Serikali kwa kuizuia Tume ya Haki za Binadamu ya Bunge la Ulaya kutembelea Tanzania

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinalaani vikali uamuzi wa utawala haramu wa Samia Suluhu Hassan wa kuzuia ujumbe rasmi wa Kamati Ndogo ya Haki za Binadamu ya Bunge la Ulaya kutembelea Tanzania. Hatua hii ni jaribio jingine la wazi la utawala huu haramu kuficha ukweli kuhusu mauaji...
  16. Idugunde

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kituo kinachofuata iwe Mwanza. CHADEMA wafanye mkutano mkubwa Furahisha. Wananchi wa Mwanza wapewe pole kwa ndugu zao kuuliwa

    Huo ndio ukweli wenyewe. Hapo Mwanza zilitembe risasi mithiri ya watu wapo Vietnam. Ghana, kilimahewa, Ilemela na maeneo yote ya Mwanza yalichafuka. Mijegejo ilimiminwa kama vile watu wapo Vietnam. CHADEMA nendeni Mwanza mkawape pole wananchi wa Mwanza. Mueleze ukweli tofauti na tume ya Jaji...
  17. R

    JamiiForums Tanzania Ushuhuda kuwa Chadema ni IMANI. CHADEMA ITASHINDA. SIKILIZA CLIP HII

    Chadema ni Imani. Imejengwa kwa imani katika mioyo ya watu, including me and you!
  18. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Chadema mna edit picha za watu kwenye mikutano yenu kwa faida gani? Au mmeambiwa hizo ni KURA?

    Mimi Jana nilikuwepo Arusha hakukuwa na watu kabisa kwenye mkutano wa Lema na ukiangalia kwenye social media picha ni tofauti na uhalisia eti chadema mnafanya hivo kwa faida gani? Acheni usela usela nyie matapeli wa kisiasa.
  19. S

    JamiiForums Tanzania Spana wanazopiga CHADEMA kwenye mikutano ya hadhara, ni kali sana na sidhani kama watawala wataweza kuvumilia ukweli wanaoambiwa

    Baada ya kusikiliza hotuba za Goodbles Lema na Boniface Jacob walizozitoa mkoani Arusha kwenye mkutano mmoja wa hadhara hivi karibuni, napata mashaka kama watawala wataweza vumillia spana wanazopigwa na hawa makamanda. Ninachokiona ni CCM na serikali yake kushindwa kuvumilia na kujibu hoja za...
  20. upupu255

    JamiiForums Tanzania SI KWELI CHADEMA wametumia Picha ya AI kuongeza idadi ya wafuasi kwenye mkutano wao Arusha?

Back
Top Bottom