chadema

CHADEMA (Chama cha Demokrasia na Maendeleo)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni chama cha kiasiasa nchini Tanzania ambacho kilianzishwa tarehe 28 Mei 1992 na mwanasiasa mkongwe Edwin Mtei, aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha katika miaka 1997 hadi 1979.

Mwaka 2000 CHADEMA hakikuwa na mgombea wa Urais. Mwaka 2005 mgombea wa CHADEMA Freeman Mbowe alikuwa namba tatu kati ya wagombea kumi akapata asilimia 5.88 za kura.

Mwaka 2010 CHADEMA ilipata asilimia 27.1% na mgombea Urais wa chama Wilbroad Peter Slaa na kura 4,627,923 kwa 31.75%.

Hata hivyo CHADEMA imekataa matokeo mengi kutokana na mchakato mzima kuwa mikononi mwa Tume ya Uchaguzi isiyo huru.
  1. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Ni nani ana majeraha mabaya zaidi mpaka sasa miongoni mwa team zinazopambana katika vita vya ufisadi ndani ya CHADEMA?

    Na ni nani anakwenda kuibuka kidedea na mshindi wa vita hiyo ya ufisadi ndani ya chadema kati ya team Lema & Sugu wanaopinga ufisadi ndani ya chadema, dhidi ya team Heche & Mnyika wanaotetea ufisadi ndani ya chadema? Kwasababu sote ni mashuhuda wa vita hivyo vinavyoendelea na kuibua maswali...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Asante Samia kwa kukuza Chadema na kufanya kiwe chama cha Watanzania wote

    Pamoja na mabaya mengi ya Samia amesaidia kwa kiasi kikubwa kuwakuza viongozi wa Chadema na kukuza chama. Kitendo cha Chadema kutokuingia kwenye chaguzi fake zimeonyesha walikuwa sawa na ukweli Watanzania wanakubaliana nao. Yaani Samia alifanya makosa makubwa sana kupuuza Ushauri kabla ya...
  3. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 CCM walifanya kosa kubwa sana kukubali kuendelea na uchaguzi mkuu bila CHADEMA

    Athari za kutoshiriki kwa CHADEMA katika uchaguzi mkuu 1. Ushindani wa kisiasa ulipungua kwa sababu chama kikuu cha upinzani hakikushiriki katika uchaguzi. 2. Wapiga kura walipata chaguo chache zaidi za kisiasa, hasa wale waliokuwa wanakiunga mkono CHADEMA. 3. Ushiriki wa baadhi ya wapiga...
  4. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Kama Chadema hawataki Maridhiano CCM sii iliriadhane na Vyama 18 vilivyopo. Kuna haja gani ya kumsubiria "Mwenzao" waliyemfunga

    Nimemsikia samia akisema wanamsubiria mwenzao anatafakari mambo kadhaa. Na hawa wengine nmewaona wana furaha wakitabasamu kuwa pale. Sasa hawa si wapo tayari? Kuna Chauma, ACT, CUF,TLP,NLD,NCCR n.k kwa nini CCM na samia wasiamue tu kuridhiana na hawa mpaka wamsubirie Lissu? Je hawa wengine...
  5. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Taarifa maalumu ya kumpokea M/Kiti wa chama Taifa Mh Tundu A. M. Lissu kwa wana CHADEMA wote, wafuasi na wapenzi toka gereza la Ukonga - DSM

    Kutoka kwangu mwenyewe The Palm Beach 1. CHADEMA inawataarifu wana CHADEMA wote, wafuasi, wapenzi na wote wanaounga mkono mapambano dhidi ya uhuru, haki, demokrasia na utawala wa sheria ktk taifa na nchi yetu popote pale mlipo hapa nchini na duniani kote kwamba, tutakuwa na mapokezi makubwa...
  6. figganigga

    JamiiForums Tanzania CHADEMA hakikisha yule Waziri anayetuhumiwa kujihusisha na Madawa ya kulevya, haongelei Maridhiano na Katiba mpya

    Hawa wafanyabiashara ya Madawa ya kulevya, Mafisadi, Wahujumu Uchumi, Wauaji na Watekaji, wanafanya kila njia kuhakikisha katiba mpya haipatikani. Mara watasema, Katiba mpya si kwaajili ya kugawana vyeo, katiba mpya haituletea chakula nyumbani nk. Wengine wanasema tupate Muda wa miaka mitatu...
  7. K

    JamiiForums Tanzania CCM ikifanya haya itarudisha uhai wake lAKINI Kwa hali ilivyo itaweza

    Wadau habari zenu, Mimi sio mwanasiasa LAKINI naipenda nchi yangu na viongozi wake , nawapenda pia viongozi au wanasiasa wa upinzani ambao wana misimamo sio njaanjaa na ni wazalendo wanaowajibika kwa wananchi. Sio uzalendo wa kinafiki wa kuwasifia viongozi wakuu hata kama hawafanyi vizuri eti...
  8. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Chadema inaweza kuja kushika madaraka, humo humo miongoni mwao watajasema hapana, haitufahai

    Ni lazima serekali iwe kali sana / hawa wanaharakati vibwengo wakifanikiwa tu, taifa linakwenda kuvurugika / Leo atafanikiwa chadema kushika nchi,huu ni mfano tu. Wanaharakati walewale wataona hapana wataanzisha harakati nyingine mpya / kwa ufadhili mpya wa mabeberu!? Je, hatujawa DRC? / haya...
  9. Q

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 KATAVI: Kiongozi wa CHAUMA avaa nguo za CHADEMA na kuanza kumshambulia Heche mbele ya waandishi wa habari

    Huyu ni kiongozi wa CHAUMA kavaa nguo za Chadema na kujifanya yeye ni Katibu wa Bavicha Mkoa wa Katavi, kaitisha press na kuanza kuishambulia Chadema na Makamu Mkiti John Heche. Nafikiri wanasheria wa Chadema waanze kuwachukulia hatua za kisheria watu kama hawa wanaojipachika vyeo bandia...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Wanachopitia Chadema hakina tofauti na Mkoloni alivyowahi kuiminya Tanu kiuchumi mpaka timu ya Tanu (Yanga) ikawa inacheza mgongo wazi kwa kukosa jezi

    Katika historia ya harakati za ukombozi wa Tanganyika, kabla ya TANU kupewa mamlaka ya kuongoza nchi na baadaye kubadilika kuwa CCM, chama hicho kilikuwa kinapigania ukombozi dhidi ya wakoloni weupe. utawala wa kikoloni ulitafsiri harakati hizo kama tishio kwa utulivu wa kisiasa na hivyo kuweka...
  11. H

    JamiiForums Tanzania CHADEMA haijaikosea CCM na dola popote. Ni upotoshaji kutumia neno "MARIDHIANO" bali Tunachotaka sio Maridhiano bali ni Nchi kurejesha mfumo wa haki

    Watu hutafuta Maridhiano baada ya kugombana au kuhujumiana ata kupigana. Kama ilivyokuwa kenya. Ulikuwa ugonvi kati ya Odinga na Kenyata. Watu wakakaa wakataka waridhiane. Lengo ni kuondoa tofauti zao. Tanzania ni tofauti kabisa, Tena mbali mno. Je kuna ugonvi binafsi kati ya Lissu na Samia. Au...
  12. Idugunde

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wapuuzeni Chaumma msijibu hoja zao. Ninyi komaeni na operation tonetone na Maandamano ya kumtoa Lissu jela

    Ukimjibu mtu ambae hana hoja katika jamii. Unampa mtu nafasi kujiona anafaa. Dili la Chauma kutumiwa na CCM lilishabuma. Andaeni maandamano ya nchi nzima Lissu aachaiwe maana akitoka nje CCM watakiona cha moto.
  13. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Kwanini "maridhiano" yanaitaja sana CHADEMA?

    Neno maridhiano limeshika kasi kwa siku za hivi karibuni. Lakini mjadala upo zaidi kwa CHADEMA. Maswali niliyonayo ni nini kilitokea? Chadema hawakushiriki uchaguzi, je watafanya maridhiano gani kama sio kuyafuata waliyohahitaji kabla ya uchaguzi? Lakini kama maridhiano ni matokeo ya...
  14. L

    JamiiForums Tanzania Mtoto Wa GSM Wa Katoro Alipata Zaidi Ya Billion 1.4 Ndani ya Muda Mfupi Kama Zawadi kwenye Send off Yake Lakini CHADEMA wanahenyeka hadi leo

    Ndugu zangu Watanzania, Kwa Hakika CHADEMA Imechokwa na watanzania,Imekatalika kwa watu,Imepuuzwa na wananchi ,Imesuswa na wote wenye akili Timamu na wenye kujitambua . CHADEMA Imepoteza Ushawishi kwa Makundi yote . Hakuna kundi wala rika wala Eneo utasema ndiko CHADEMA inakubalika ama ngome...
  15. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Kaka Madeleka, nakusihi urejee CHADEMA mapema, uhusike kujenga Chama, na uanze kuandaa Njia yako ya Ubunge Mapema !!

    Ninakuona una akili Kubwa na Huru, japo baadhi ya Nyakati, Maisha ya Kisiasa na fujo zake zinakuondoa katika Mstari. Sasa basi, Wagombea Ubunge kupitia CHADEMA Uchaguzi ujao ( si lazima tufike 2030). Watakua ni wale waliohusika Kujenga Chama katika kipindi hiki kigumu. Kwa Lissu na Heche...
  16. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania LISSU alimruhusu HECHE kuendelea kupeleka Moto, nyinyi mnaojiita Viongozi CHADEMA

    Kwamba nyinyi mnaofanya Porojo dhidi ya HECHE, mnajijua CHADEMA kuliko LISSU??. Unakuta kajitu ni kakatibu ka BAVICHA huko matopeni, hawajawahi hata Kuona HECHE Uso kwa Uso, hakachangii hata Chama Wala tonetone, kanatoka mbele kanasema "HECHE Achunguzwee, anakula Pesa ". Tutawashughulikia...
  17. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Kiongozi gani wa CHADEMA anaweza kuwania urais 2030 na kuleta ushindani kwa CCM kati ya hawa?

    Hapa ni kuona ni kiongozi gani wa CHADEMA anaushawishi humu JF. Unaweza kutoa na maoni yako kwa nini unafikiri kiongozi uliyemchagua anaweza kushika nafasi hiyo. Upande wa CCM 1. Emanuel Nchimbi 2. Kassim Majaliwa Ndio wananguvu humu JF. Ingawaje nusu ya wapiga kura hawaitaki CCM. Karibuni
  18. N

    JamiiForums Tanzania CHADEMA: Tupo tayari kumsimamisha Heche pindi atakapopatikana Humphrey Polepole aje kuchukua nafasi yake

    Kazi kwenu kwa mnaotaka Heche awekwe pembeni inabidi apatikane Humphrey Polepole ili aje kuchukua nafasi yake. Ni jukumu lenu sasa kumtafuta Polepole popote alipo hii inaitwa ukisimama mshale ukikimbia mshale. Tume ya jaji Chande iliyochunguza yaliyotokea kabla na baada ya uchaguzi cha ajabu...
  19. Mzee Mwanakijiji

    JamiiForums Tanzania Waache Ufyatu: Haiwezekani CHADEMA Iwaume Zaidi

    Na. M. M. Mwanakijiji Inashangaza na inakera kwa wakati mmoja. Mojawapo ya mambo yanayoshangaza sana ni kwa jinsi gani wapinzani uchwara wa CHAUMA wanajitahidi sana kufuatilia mambo yanayoendelea CHADEMA na kutaka CHADEMA ifanye usafi na hasa wakijitahidi kutaka Jabari John Heche aondolewe ili...
  20. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania CHADEMA: Heche Ahojiwe, Hakuna Kinga kwa Ufisadi

    CHADEMA kuna fukuto la ufisadi linaendelea dhidi ya Makamu Mwenyekiti wa chama hicho John Heche. Hili naomba tuliweke sawa, katika siasa, hakuna kiongozi anayepaswa kupewa kinga dhidi ya maswali au kuwajibishwa kwa sababu ya umaarufu wake. Madai ya matumizi mabaya ya fedha yaliyoibuliwa dhidi...
Back
Top Bottom