Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni chama cha kiasiasa nchini Tanzania ambacho kilianzishwa tarehe 28 Mei 1992 na mwanasiasa mkongwe Edwin Mtei, aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha katika miaka 1997 hadi 1979.
Mwaka 2000 CHADEMA hakikuwa na mgombea wa Urais. Mwaka 2005 mgombea wa CHADEMA Freeman Mbowe alikuwa namba tatu kati ya wagombea kumi akapata asilimia 5.88 za kura.
Mwaka 2010 CHADEMA ilipata asilimia 27.1% na mgombea Urais wa chama Wilbroad Peter Slaa na kura 4,627,923 kwa 31.75%.
Hata hivyo CHADEMA imekataa matokeo mengi kutokana na mchakato mzima kuwa mikononi mwa Tume ya Uchaguzi isiyo huru.
Kama ni hatua Kali zichukuliwe kwa hawa viongozi wa chadema wamekuwa wakitoa kauli ambazo zimekosa uzalendo ambazo ni kichocheo cha VURUGU.
Hata mwaka Jana wahusika wakuu ni viongozi wa chadema Tunaomba kama Taifa tuwachukulie hatua Kali ikiwa ni pamoja na kukifutia usajili chama cha chadema
Pamoja na uchadema wangu na kuwa siwapendi sana police Kwa kuwa mara kadhaa wamekuwa wakitumika visivyo,
Hii haimaanishi kuwa hawa Watanganyika wenzetu police hawana jema hata 1
Ila viongozi wangu makini wa Chadema, hebu wahurumieni hawa Watanganyika wenzetu police
Kuwaita masikini, kuwa...
Hapa DUNIANI,
Siasa, DINI, Michezo na Mapenzi huenda ndio vitu pekee ambavyo hushika "HISIA / EMOTIONS" .
Sasa Wanawake ni viumbe waishio kwa HISIA .
Ni katika kulijua hili, Mtunzi mzuri wa Tamthiliya uhakikisha ANATUNGA KWA KUZINGATIA HISIA, NA UKWELI YA KWAMBA KILE ATAKACHOKITUNGA...
Watanzania wengi tunaendelea kuamini kuwa siasa za amani mshikamano na kuheshimu sheria ndizo msingi wa ustawi wa taifa letu.
Ndiyo maana kumekuwa na wito mkubwa kwa vyama vya siasa hususan Chama cha Demokrasia na Maendeleo kuhakikisha kuwa shughuli zao za kisiasa hazigeuki chanzo cha...
Baada ya Chadema Kuchoma Kituo cha Polisi Nyankumbu mkoani Geita, leo CHADEMA wameamua kupandisha bendera yao mbele ya kituo hiko cha polisi katika mlingoti unaopandishwa bendera ya Jeshi la Polisi.
Hii ni Ishara kuwa Chadema wamedharau jeshi la Polisi na sasa wamedhamiria kuteka, kulipua na...
Nyinyi wenyewe mliona , baada ya kuanza Kuomba Watanzania wachangie Chama kwa buku buku tu, mliona, mliona Kila Wilaya mlopita Wananchi walishindana kushinda Wilaya nyingine.
Matokeo yake ilileta Umoja na Mshikamano Mkubwa sana.
Naaaaa sote ni Mashahidi, Oktoba 29 ikadhihirisha Hasira za...
Naendesha mkweche wangu wa bei rahisi na huwa hauli mafuta maana ni Suzuki Jimmy ya kizamani. Natoka Katoro naenda zangu Igunga.
Leo zilikuwa zinashushwa nondo za uhakika za kudai maslahi ya umma na wala sio kuendekeza njaa.
Hoja kubwq ni kupata katiba mpya ambayo itatetea maslahi ya umma ...
ATTENTION: Kuna mpango wa CHADEMA kupitia Makamu Mwenyekiti wake John Heche kuhusu kuwatumia vijana Redbrigade kutoka Musoma, Tabora na Kigoma kufanya vurugu eneo la Katoro ili kuwatisha wafanyabiashara wa Katoro wafunge maduka yao ili waende wakahudhurie mkutano wao.
Inaelezwa kuwa asubuhi ya...
CHADEMA WALIKOROGA
- Heche, wenzake wakichimbia kaburi chama chao
- Msajili wa Vyama vya Siasa awapa siku 14 za kukihami chama chao kisisimamishwe
- Ni kwa kukiuka makusudi sheria ya vyama vya siasa, kuhamasisha uvunjifu wa sheria, vurugu na machafuko
DAR ES SALAAM
Kauli zinazodaiwa...
KATIBU MKUU WA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO NDUGU, JOHN MNYIKA, UNAPOTOSHA WATANZANIA.
Na David Maphone.
Nimebahatika kusikiliza vizuri sana, Katibu Mkuu wa chama cha demokrasia na Maendeleo CHADEMA kilicho sajiliwa nchini Tanzania .
Akizungumza nje ya mahakama, Katibu Mkuu wa CHADEMA...
Jamaa baada ya kuvuliwa uwanachama wa CHADEMA ameamua kuendelea kuipambania chama hicho kwa namna yake
============
Mwenyekiti wa kamati ya kusukuma mchakato wa maridhiano ya Kitaifa na Mchambuzi wa masuala ya siasa Bw. Charles Odero amekishauri Chama cha demokrasia na maendeleo Chadema kukaa na...
The Office of the Registrar of Political Parties (ORPPs) has given opposition party Chadema until 3.30pm on May 20 to submit a detailed explanation as to why it should not face disciplinary sanctions, including suspension, a fine, or both, for allegedly breaching laws governing political conduct...
Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa, Sisty Nyahoza amesema barua waliyoiandikia CHADEMA imemaanisha kuwasimamisha kwa muda (suspension) au kuwatoza faini endapo watawakuta na hatia kulingana na maelezo watakayotoa na sio kuwafuta kwenye daftari la Msajili, kama ambavyo imekuwa ikijadiliwa.
Soma...
Malengo ya waasisi wa CHADEMA yalikuwa ni kukijenga chama kwenye misingi imara ya kisiasa nchini kikisimama kama taasisi kuu ya upinzani iliyokusudiwa kutoa ushindani wa kisera na kuwa mbadala wa fikra baada ya CCM.
Hata hivyo mwelekeo huo wa kimaono ulianza kupotea na kuyumba pale chama...
Kauli anazoendelea kuzitoa Sheikh Said Mwaipopo kuna wakati zinakuacha mtu ukibaki mdomo wazi, ukijiuliza kama kweli zimefikirika kabla ya kutolewa.
================
Shekhe Said Mwaipopo amesema amesikia taarifa ya msajili wa vyama kutoa taarifa ya onyo kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
Katika hali inayoibua hofu kuhusu mustakabali wa siasa za ushindani nchini Tanzania, Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imekiandikia chama cha CHADEMA barua ya kukitaka kujieleza kwa nini kisichukuliwe hatua za kisheria, ikiwemo kusimamishwa usajili au kutozwa faini kwa madai ya kukiuka Sheria...
Kama mwanadiplomasia na mwanasiasa mwandamizi nchini, nimeifuatilia chadema kwa karibu sana na kwa muda mrefu, na nimethibitisha pasina shaka na kujiridhisha kwamba, chadema inakiuka sheria na masharti ya usajili wake, na kwahivyo inastahili kufutwa rasmi kisheria.
Na hii itasaidia sana...
Mzee Joseph Warioba,Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ananikumbusha "story" ya Waziri Mkuu wa zamani wa Nchi ya Burundi,Mh. Generali Alain Bunyoni ambaye alishiriki kuunda na kutekeleza njama za kutaka kumpindua Rais wa sasa wa Nchi ya Burundi,Mh Evarist Ndayshimiye.
Haya...
Kulingana na huyu kada wa CHADEMA, Dayon Monsoh ambaye ni kuwa mwanaharakati mwenzao aitwaye NURUVAZI anatafuna michango inayochangwa na baadhi ya watanzania wenzetu wasiojitambua.
Kwa sasa kuna vita ya wao kwa wao kuhusu hizo pesa. Mimi nitafurahi zaidi ugomvi wao ukizidi kuwa mkubwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.