Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni chama cha kiasiasa nchini Tanzania ambacho kilianzishwa tarehe 28 Mei 1992 na mwanasiasa mkongwe Edwin Mtei, aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha katika miaka 1997 hadi 1979.
Mwaka 2000 CHADEMA hakikuwa na mgombea wa Urais. Mwaka 2005 mgombea wa CHADEMA Freeman Mbowe alikuwa namba tatu kati ya wagombea kumi akapata asilimia 5.88 za kura.
Mwaka 2010 CHADEMA ilipata asilimia 27.1% na mgombea Urais wa chama Wilbroad Peter Slaa na kura 4,627,923 kwa 31.75%.
Hata hivyo CHADEMA imekataa matokeo mengi kutokana na mchakato mzima kuwa mikononi mwa Tume ya Uchaguzi isiyo huru.
Hili ni kokoro linasomba yeyote yule.
Maisha ya Ajabu sana. Leo hii Selasini aliyekaribishwa na Mbatia NCCR alimtimua Mbatia aaliyemkaribisha baada ya kutumiwa na TISS. Huyu pia alitumika kudhoofisha NCCR ya akina Mabere / Mrema miaka ya 1990s
Selasini ni bingwa wa siasa za majungu, unafiki na...
Viongozi wangu wa Chadema tunaomba ikiwezekana kwenye mikutano mtuwekee nyimbo za kuhamasisha ukombozi wa nchi yetu.
Nyimbo zinahamasisha sana sana. Kumbuka Afrika Kusini pamoja na kuwaua watu weusi lakini nyimbo za ukombozi zilipokuwa zinapigwa watu walihamasika sana.
Lazima tuikomboe nchi yetu
Maana mivutano ni mkali sana ndani ya Chadema taifa kwasasa baina ya wanaotaka Lissu atoke korokoroni dhidi ya wale wanaotaka Lissu aendelee kusota korokoroni.
Je, unadhani vita hii inalenga kumuadhibu lisu kisaikolojia akiwa korokoroni au kuidhoofisha chadema kama taasisi?🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Kwasababu lazima tueleze ukweli kwamba ni wazi kuna vita vya chini kwa chini ndani ya chadema na kumeibuka makundi kinzani ambayo yana mitazamo tofauti hususani dhidi ya maridhiano na mchakato wa kuelekea katiba mpya.
Je,
wewe mwanachadema,
upo kwenye kundi la wale wanaopendelea pawepo na...
Friends and Our Enemies,
Tulishawaeleza Chadema na wana harakati uchwara ambao walishiriki kwa kiasi kikubwa kuhamasisha fujo na vurugu kabla na baada ya uchaguzi mkuu ya kwamba hawatoboi.
Pamoja na kwamba chadema walipata nguvu kubwa kutoka kwa baadhi ya makanisa na wanaharakati uchwara ndani...
Ni wazi, huenda kinachochochea sarakasi na drama zinazoendelea ndani ya CHADEMA ni mapambano na vita vya kupindua na kunyakua mamlaka ya kitaifa ya chama hicho, kutokana na muonekano wa hali ya mwenyekiti wake ilivyo hivi sasa ya kua dhaifu sana, na mashtaka ya uhaini yanayomkabili. Ambapo...
Dr alishasema chadema Wana kikundi cha kuteka watu wa chadema kwa manufaa ya kisiasa nimewaka USHAHIDI HAPO chini. Je hicho kikundi ni lini kilivunjwa?
Mnaona donation zimedoda mkaamua mje na huu usanii wa kitoto
Chadema acheni siasa za kitapeli mnatekana wenyewe ili mpate public sympathy 🚮
Tumeruhusu kutekwa, kisha matamko. Matamko hayajapunguza watu kuuawa. Kama tutaendelea na vimatamko wanachama wetu wote wenye maono watakwisha. Tutaua manabii wetu wote.
Viongozi naona mko salama kiasi. Lkn wanachama chini yenu wanaishaa. Tukibadili tu mbinu mabadiliko ni ndani ya miezi mitatu...
Nilimuonya LEMA na wengineo kua Waache Siasa za kuihalalisha Serikali ya CCM, Nikawashauri hapa
https://www.jamiiforums.com/threads/mikutano-ya-chadema-ijikite-kuzungumzia-mo29-lissu-utekaji-na-mauaji-yanayoendelea-ijikite-kuwatia-wananchi-huzuni-na-hasira-lema-shituka.2436248/
Hapa Lengo ni...
Huu hapa chini ndio ujumbe alioutoa Hilder Newton kupitia Mtandao wa X:
Muda huu Jeshi la Polisi limezingira ofisi ya Makao Makuu ya CHADEMA Mikocheni, watu hawaruhusiwi kuingia wala kutoka.
Ikumbukwe asubuhi hii chama kilikuwa kinatarajia kuzungumza na Waandishi wa Habari.
Naibu...
SINEMA INAENDELEA : Mwanaharakati Maria Sarungi, Hilda Newtown na Twaha, walivyokutwa kwenye kikao cha siri huko Nairobi cha kutengeneza sinema ya kupotea kwa kijana msaidizi wa Tundu Lissu ambaye hafahamiki hata na familia ya Tundu Lissu.
CHADEMA wala waje na kitu kingine ila hili la kujiteka...
Hapa ni Mhongolo iliyopo Manispaa ya Kahama. Wananchi walijenga kizimba cha CHADEMA kikavunjwa, wakajenga tena Katibu Mkuu akakizindua nacho kimevunjwa tena.
Ni Aibu kwa CCM ya huyo wennu Samia.
Kizimba kinaandamana? Kinapiga kura? Kuua wanachama wa Chadema mumeona haitoshi?
Katika siasa za kidemokrasia, uwepo wa upinzani si hisani kwa chama tawala bali ni sehemu ya mfumo wenyewe. Ndiyo maana swali la “ikiwa Chadema itadhoofika au kufa, CCM itabaki salama?” lina uzito mkubwa kuliko wengi wanavyofikiria.
Kwa miaka mingi, imekuwa chama kikubwa na chenye mizizi...
Inasemekana zaidi ya makada mia mbili na ushee watahamia Chadema.
Wamevutiwa na msimamo imara na madhubuti wa Heche na Lissu.
CCM chini ya rais Samia inaendeshwa kwa undugunization na
imekumbatia wapigaji.
Wengi wa makada hawa walikuwa wanamsumbua Heche wakidhania Chadema ingeshiriki...
Guys
Chadema ilitisha sana kahama pamoja na.mizengwe ya CCM
1. NMB Wakagawa mitungi ya gas bure waaapi.
2. Leseni bure kwa boda boda waapi
3. Asili festival wapiii
Watu walikataa yote hayo wakachagua Chadema.
Mwana dada na mwanaharakati Mange Kimambi amewaambia Viongozi wa Chadema kuwa wanapotoka kupiga miziki na kucheza wakati wa mikutano
Hii haina tija ukizingatia wananchi wana majeraha ya kupoteza wapendwa wao, majeraha, hujuma katika uchaguzi , ufisadi n. K
Kucheza mziki ni kuingia kwenye...
Nawashukuru sana Arsenal baada ya miaka 22 kusubiri hadi kuwa mabingwa wa kombe lenye hadhi kubwa ulimwenguni la EPL (ENGLISH PREMIER LEAGUE)
Nimefurahi mnooooo!
Arsenal imechukua ubingwa wakati ambao Chadema wanaenda kuwa mabingwa na viongozi wakuu wa nchi ya Tanzania
Ahsante Chadema...
CCM ikiongoza serikali wanaangaika na Chadema bila hata sababu za msingi. Swali la kujiuliza CCM bado inasimamia misingi ya uanzishwaji wake? CCM imezaliwa na TANU cha kushangaza chama cha wakulima na wafanyakazi ghafla kikawa chama cha wafanya biashara, Mafisadi ni ukweli usiopingika kwamba...
CHADEMA Dodoma Yatia Shaka Mwenendo wa Kesi ya Tundu Lissu 'Haki Inachelewa Kupatikana' wakiendelea kusema wanahitaji Mwenyekiti wao Tundu Lissu awe huru kwa sababu kesi iliyomuweka ndani mwaka mmoja na mwezi ni kesi ya kubabikiziwa.
Hayo yamesemwa na Katibu wa CHADEMA mkoa wa Dodoma Ashura...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.