chadema

CHADEMA (Chama cha Demokrasia na Maendeleo)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni chama cha kiasiasa nchini Tanzania ambacho kilianzishwa tarehe 28 Mei 1992 na mwanasiasa mkongwe Edwin Mtei, aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha katika miaka 1997 hadi 1979.

Mwaka 2000 CHADEMA hakikuwa na mgombea wa Urais. Mwaka 2005 mgombea wa CHADEMA Freeman Mbowe alikuwa namba tatu kati ya wagombea kumi akapata asilimia 5.88 za kura.

Mwaka 2010 CHADEMA ilipata asilimia 27.1% na mgombea Urais wa chama Wilbroad Peter Slaa na kura 4,627,923 kwa 31.75%.

Hata hivyo CHADEMA imekataa matokeo mengi kutokana na mchakato mzima kuwa mikononi mwa Tume ya Uchaguzi isiyo huru.
  1. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Hatimaye CHADEMA yaanza kuwapandisha Majukwaani Waathirika wa Mauaji ya Oktoba 29 !!.

    Sasa Mwana JF ,tusaidiane kusambaza Video kama Hizi kwenye Mitandao ya kijamii Mbalimbaliii https://youtu.be/W70vVrOQhFw?is=pL1TLi3gTeXz1ZpV
  2. Huihui2

    JamiiForums Tanzania Selasini arudi CHADEMA baada ya kukihama NCCR

    Hili ni kokoro linasomba yeyote yule. Maisha ya Ajabu sana. Leo hii Selasini aliyekaribishwa na Mbatia NCCR alimtimua Mbatia aaliyemkaribisha baada ya kutumiwa na TISS. Huyu pia alitumika kudhoofisha NCCR ya akina Mabere / Mrema miaka ya 1990s Selasini ni bingwa wa siasa za majungu, unafiki na...
  3. T

    JamiiForums Tanzania CHADEMA Tunaomba kwenye mikutano yenu mtupigie nyimbo zinazohamasisha ukombozi ili tupandishe morali ya kuikomboa nchi yetu

    Viongozi wangu wa Chadema tunaomba ikiwezekana kwenye mikutano mtuwekee nyimbo za kuhamasisha ukombozi wa nchi yetu. Nyimbo zinahamasisha sana sana. Kumbuka Afrika Kusini pamoja na kuwaua watu weusi lakini nyimbo za ukombozi zilipokuwa zinapigwa watu walihamasika sana. Lazima tuikomboe nchi yetu
  4. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Anae lengwa kuumizwa zaidi kwenye vita inayoendelea ndani ya uongozi wa Chadema taifa ni Tundu Lissu au Chadema kama taasisi?

    Maana mivutano ni mkali sana ndani ya Chadema taifa kwasasa baina ya wanaotaka Lissu atoke korokoroni dhidi ya wale wanaotaka Lissu aendelee kusota korokoroni. Je, unadhani vita hii inalenga kumuadhibu lisu kisaikolojia akiwa korokoroni au kuidhoofisha chadema kama taasisi?🐒 Mungu Ibariki Tanzania
  5. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Wanao ihujumu Chadema ni wale wa upande wa Lema, Sugu na Heche au ni wale wa upande wa Mnyika, Amani na Boniyai?

    Kwasababu lazima tueleze ukweli kwamba ni wazi kuna vita vya chini kwa chini ndani ya chadema na kumeibuka makundi kinzani ambayo yana mitazamo tofauti hususani dhidi ya maridhiano na mchakato wa kuelekea katiba mpya. Je, wewe mwanachadema, upo kwenye kundi la wale wanaopendelea pawepo na...
  6. THE BIG SHOW

    JamiiForums Tanzania CHADEMA baada ya kufeli kwa Vita yenu dhidi ya Tume ya Jaji Chande, Mmeamua sasa kuja na Maigizo yenu ya kutekana

    Friends and Our Enemies, Tulishawaeleza Chadema na wana harakati uchwara ambao walishiriki kwa kiasi kikubwa kuhamasisha fujo na vurugu kabla na baada ya uchaguzi mkuu ya kwamba hawatoboi. Pamoja na kwamba chadema walipata nguvu kubwa kutoka kwa baadhi ya makanisa na wanaharakati uchwara ndani...
  7. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Huenda kuna vita ya kutwaa madaraka ya kitaifa kimapinduzi ndani ya CHADEMA

    Ni wazi, huenda kinachochochea sarakasi na drama zinazoendelea ndani ya CHADEMA ni mapambano na vita vya kupindua na kunyakua mamlaka ya kitaifa ya chama hicho, kutokana na muonekano wa hali ya mwenyekiti wake ilivyo hivi sasa ya kua dhaifu sana, na mashtaka ya uhaini yanayomkabili. Ambapo...
  8. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Kile kikundi cha chadema cha utekaji kwa Mujibu wa katibu mkuu mstaff Dr. Slaa kilipotelea wapi? Kama siyo hicho kinachoteka watu mpaka sasa

    Dr alishasema chadema Wana kikundi cha kuteka watu wa chadema kwa manufaa ya kisiasa nimewaka USHAHIDI HAPO chini. Je hicho kikundi ni lini kilivunjwa? Mnaona donation zimedoda mkaamua mje na huu usanii wa kitoto Chadema acheni siasa za kitapeli mnatekana wenyewe ili mpate public sympathy 🚮
  9. H

    JamiiForums Tanzania CHADEMA iimarishe mikakati ya siasa. Tunawapa wauaji sababu ndogo za kutumaliza. Matamko na press zimeshindwa ata kupunguza utekaji

    Tumeruhusu kutekwa, kisha matamko. Matamko hayajapunguza watu kuuawa. Kama tutaendelea na vimatamko wanachama wetu wote wenye maono watakwisha. Tutaua manabii wetu wote. Viongozi naona mko salama kiasi. Lkn wanachama chini yenu wanaishaa. Tukibadili tu mbinu mabadiliko ni ndani ya miezi mitatu...
  10. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa CHADEMA wakinielewa kama Mange Kimambi anavyonielewa, CCM itachukiwa Kuanzia ngazi ya Familia Hadi Taifa, kuanzia Kijijini Hadi Mijini

    Nilimuonya LEMA na wengineo kua Waache Siasa za kuihalalisha Serikali ya CCM, Nikawashauri hapa https://www.jamiiforums.com/threads/mikutano-ya-chadema-ijikite-kuzungumzia-mo29-lissu-utekaji-na-mauaji-yanayoendelea-ijikite-kuwatia-wananchi-huzuni-na-hasira-lema-shituka.2436248/ Hapa Lengo ni...
  11. S

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ofisi za CHADEMA Makao Makuu zimezingirwa na Polisi muda huu

    Huu hapa chini ndio ujumbe alioutoa Hilder Newton kupitia Mtandao wa X: Muda huu Jeshi la Polisi limezingira ofisi ya Makao Makuu ya CHADEMA Mikocheni, watu hawaruhusiwi kuingia wala kutoka. Ikumbukwe asubuhi hii chama kilikuwa kinatarajia kuzungumza na Waandishi wa Habari. Naibu...
  12. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Sinema ya CHADEMA: Sarungi, Newtown na msaidizi wa Lissu aliyetekwa Wanaswa Nairobi

    SINEMA INAENDELEA : Mwanaharakati Maria Sarungi, Hilda Newtown na Twaha, walivyokutwa kwenye kikao cha siri huko Nairobi cha kutengeneza sinema ya kupotea kwa kijana msaidizi wa Tundu Lissu ambaye hafahamiki hata na familia ya Tundu Lissu. CHADEMA wala waje na kitu kingine ila hili la kujiteka...
  13. figganigga

    JamiiForums Tanzania Kahama: CCM, yaanza kuvunja Vizimba vya CHADEMA

    Hapa ni Mhongolo iliyopo Manispaa ya Kahama. Wananchi walijenga kizimba cha CHADEMA kikavunjwa, wakajenga tena Katibu Mkuu akakizindua nacho kimevunjwa tena. Ni Aibu kwa CCM ya huyo wennu Samia. Kizimba kinaandamana? Kinapiga kura? Kuua wanachama wa Chadema mumeona haitoshi?
  14. Kaptula la max

    JamiiForums Tanzania Chadema Ikifa, Siasa za Vyama Vingi Zitakufa — Je, CCM Itabaki Salama?

    Katika siasa za kidemokrasia, uwepo wa upinzani si hisani kwa chama tawala bali ni sehemu ya mfumo wenyewe. Ndiyo maana swali la “ikiwa Chadema itadhoofika au kufa, CCM itabaki salama?” lina uzito mkubwa kuliko wengi wanavyofikiria. Kwa miaka mingi, imekuwa chama kikubwa na chenye mizizi...
  15. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Sio Gambo tu zaidi ya makada 200 wa CCM kuhamia CHADEMA hii ni kwasababu CCM imeparaganyika tangu Oktoba 29

    Inasemekana zaidi ya makada mia mbili na ushee watahamia Chadema. Wamevutiwa na msimamo imara na madhubuti wa Heche na Lissu. CCM chini ya rais Samia inaendeshwa kwa undugunization na imekumbatia wapigaji. Wengi wa makada hawa walikuwa wanamsumbua Heche wakidhania Chadema ingeshiriki...
  16. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Hii CHADEMA Kiboko inatisha itawatoa Mapafu CCM

    Guys Chadema ilitisha sana kahama pamoja na.mizengwe ya CCM 1. NMB Wakagawa mitungi ya gas bure waaapi. 2. Leseni bure kwa boda boda waapi 3. Asili festival wapiii Watu walikataa yote hayo wakachagua Chadema.
  17. ngara23

    JamiiForums Tanzania Mange awashauri Chadema kuacha kupiga miziki na vibe kwenye mikutano

    Mwana dada na mwanaharakati Mange Kimambi amewaambia Viongozi wa Chadema kuwa wanapotoka kupiga miziki na kucheza wakati wa mikutano Hii haina tija ukizingatia wananchi wana majeraha ya kupoteza wapendwa wao, majeraha, hujuma katika uchaguzi , ufisadi n. K Kucheza mziki ni kuingia kwenye...
  18. UMUGHAKA

    JamiiForums Tanzania Kwasasa ni Arsenal na Chadema ndiyo Habari ya mjini,Nyie wengine subirini kwanza!

    Nawashukuru sana Arsenal baada ya miaka 22 kusubiri hadi kuwa mabingwa wa kombe lenye hadhi kubwa ulimwenguni la EPL (ENGLISH PREMIER LEAGUE) Nimefurahi mnooooo! Arsenal imechukua ubingwa wakati ambao Chadema wanaenda kuwa mabingwa na viongozi wakuu wa nchi ya Tanzania Ahsante Chadema...
  19. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Matatizo ya nchi hii hayatokani wala kusababishwa na CHADEMA bali CCM imekengeuka sio tena Chama cha wakulima na wafanyakazi

    CCM ikiongoza serikali wanaangaika na Chadema bila hata sababu za msingi. Swali la kujiuliza CCM bado inasimamia misingi ya uanzishwaji wake? CCM imezaliwa na TANU cha kushangaza chama cha wakulima na wafanyakazi ghafla kikawa chama cha wafanya biashara, Mafisadi ni ukweli usiopingika kwamba...
  20. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania CHADEMA Kanda ya Kati: Tunahitaji Tundu Lissu awe huru, Haki inachelewa kupatikana

    CHADEMA Dodoma Yatia Shaka Mwenendo wa Kesi ya Tundu Lissu 'Haki Inachelewa Kupatikana' wakiendelea kusema wanahitaji Mwenyekiti wao Tundu Lissu awe huru kwa sababu kesi iliyomuweka ndani mwaka mmoja na mwezi ni kesi ya kubabikiziwa. Hayo yamesemwa na Katibu wa CHADEMA mkoa wa Dodoma Ashura...
Back
Top Bottom