chadema

CHADEMA (Chama cha Demokrasia na Maendeleo)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni chama cha kiasiasa nchini Tanzania ambacho kilianzishwa tarehe 28 Mei 1992 na mwanasiasa mkongwe Edwin Mtei, aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha katika miaka 1997 hadi 1979.

Mwaka 2000 CHADEMA hakikuwa na mgombea wa Urais. Mwaka 2005 mgombea wa CHADEMA Freeman Mbowe alikuwa namba tatu kati ya wagombea kumi akapata asilimia 5.88 za kura.

Mwaka 2010 CHADEMA ilipata asilimia 27.1% na mgombea Urais wa chama Wilbroad Peter Slaa na kura 4,627,923 kwa 31.75%.

Hata hivyo CHADEMA imekataa matokeo mengi kutokana na mchakato mzima kuwa mikononi mwa Tume ya Uchaguzi isiyo huru.
  1. Waufukweni

    Rais wa TLS, Mwabukusi: Hakuna Chama kinachopendwa Nchi hii kama CHADEMA

    “Hakuna Chama kinachopendwa Nchi hii kama Chadema, na ndicho chama cha kweli cha upinzani hapa Tanzania, kuthibitisha hilo Juzi mmeona furaha ya watanzania Chadema walipofunguliwa kufanya Siasa” Adv. Boniface Mwabukusi - RAIS WA TLS "Hivi vyama vingine ukikuta watu wanajiita wanachama, jua kuna...
  2. Mkalukungone Mwamba

    Kihongosi: Tunaona wenzetu wanapenda kuombaomba michango. Msiwachangie

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimewakosoa vikali wanasiasa wanaotegemea michango ya wananchi kwa kile kilichoelezwa kuwa ni “kuombaomba kisiasa,” kikiwataka Watanzania kuelekeza fedha zao kwenye shughuli za maendeleo badala ya kuchangia miradi isiyo na uwazi. Akizungumza leo Aprili 17, 2026 wakati...
  3. October 2pm

    Vijana Chadema Lissu hajajisalimisha na hatajisalimisha

    Hahahaha! Hii ndio yenewe mayi! Wanaachia usuzi wanusa wenyewe. Heheee! Na bado. Mwajua jinsi Lisu ako. Hawezi muinamia mapembelosi. Waache wacheze Ngoma yao menyewe. Ukombozi uko pale. Na bado MTU wao Siku sio nyingi anapanda anga la mbali na akiwa na NASA. Dadeki. Soma hiyooo
  4. Zack Abdul

    SI KWELI Mnyika: Wanaharakati waanzishe chama chao wasitutegemee CHADEMA

  5. M

    Lema: Nina wasiwasi na Wakili Kisabo juu ya maneno aliyosema yamesemwa na Lissu. Watanzania tusubiri kauli ya Lissu mwenyewe

    Nina wasiwasi na baadhi ya maneno uliyoandika mtandaoni kuhusu kauli ya Lissu baada ya wewe kutoka mahabusu. Msimamo wa Mkti Lissu mara zote kuhusu uhuru wake umekuwa wazi, kwamba kesi inayomkabili ni ya uongo na anapaswa kuachiwa huru bila masharti yoyote. Hajawahi, wakati wowote, kuweka...
  6. G

    Ndugu zangu tuache mihemko kuliko uhalisia. Msimamo wa CHADEMA uko wazi. Lissu aachiliwe bila masharti kwanza ndo wataamua wafanye maridhiano au la

    Acheni mihemko na hisia za kijinga Msimamo wa chadema uko wazi Lisu aachiliwe ndo waamue kama watafanya mariandano au la Ndo maana CCM wameng'ang'ania apewe masharti kabla ya kutoka chadema wamekataa Na Kwa msimamo huo wa chadema unafanya lisu aendelee kubaki mahabusu Hadi pale ccm...
  7. O

    CHADEMA imewasaliti Watanzania

    Iwapo jambo hili ni kweli, basi ni wazi kwamba CHADEMA imewasaliti Watanzania. ma
  8. L

    Ni aibu na fedheha kubwa sana kwa CHADEMA Kushindwa Kuwa Na Vitega Uchumi Kwa Miaka 34 Na Kuishia Kuombaomba Tu Michango Inayoishia Kutafunwa hovyo

    Ndugu zangu Watanzania, CHADEMA ni Lichama La Hovyo sana kuwahi kutokea katika Taifa letu. Ni lichama lisilo na mbele wala nyuma. Ni lichama ambalo halinaga Dira wala Muelekeo. Limejaa na kusheheni Viongozi wasio na Maono wala Dira wala Muelekeo wala mipango wala mikakati ya mbele. Ni Lichama...
  9. ngara23

    Napata mashaka mno na CHADEMA, wamelegeza msimamo wao?

    Kwa ufahamu wangu japo mdogo naona chadema wameregeza kamba kwenye hoja na misimamo Yao Kwadababu 1. Kushangilia ushindi fake wa kuruhusuwa kufanya siasa. Naona mtandao viongozi wa Chadema wakifurahi mno. Hivi hawa akina Heche wanaona ati mahakama imewatendea haki?😂 2. Media tour ya Heche...
  10. M

    Anaeamini Chadema ina nguvu, hajui siasa za Tanzania

    Anaeamini Chadema ina nguvu, hajui siasa za Tanzania. Chama hivi sasa wanaosikilikana Heche, Mnyika na Amani. Tofauti na zamani Mdee Bulaya Boniface Jackub Salum Mwalim Kigaira
  11. Mkalukungone Mwamba

    Mbunge: CHADEMA kufunguliwa ina dhihirisha 'utawala bora' wa awamu ya sita

    Mbunge wa Lupembe Edwin Swale adai CHADEMA kufunguliwa ina dhihirisha 'utawala bora' wa awamu ya sita, 'mama anapenda vyama vyote'.
  12. baz kaiza

    Tunasema always msaliti ni msaliti tu Halima Mdee kurudi chadema. Nachoweza kusema mnatafuta kusalitiwa tena Chama na Simba Mdee na Chadema

    Ukishangaa ya Chama na Simba utaona ya Mdee na chadema ni kweli chadema imeshindwa ku move on kwa Mdee? Huyu alishakua msaliti na msaliti ni msaliti tu.
  13. Waufukweni

    PostGE2025 Tundu Lissu: Nipo tayari kwa mazungumzo nikiwa huru na CHADEMA ikifutiwa kesi zote

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, amewasilisha orodha ya mambo saba muhimu anayoyachukulia kama msingi wa mustakabali wa demokrasia na utawala wa sheria nchini Tanzania. Soma maamuzi ya Kesi: Mahakama ya rufani yairuhusu CHADEMA kuendelea na shughuli za...
  14. M

    Msemaji wa CHADEMA amepwaya sana

    Huwa najiuliza sana sipati jibu 1. Sijui kwanini sio verified member wa JF. 2. Sijui huu woga umetokea wapi? 3. Naamini anatumia I'd ambayo not verified. Kwanini atumie I'd iliojificha? Mbona dk Slaa akiwa mtumiaji mzuri wa JF, achilia mbali hoja hiyo. Hoja nyengine kwamba amekuwa mbali sana...
  15. Waufukweni

    PostGE2025 John Heche: Walioondoka CHADEMA na kwenda CHAUMMA walitaka Madaraka

    Katika mahojiano yake na Wasafi FM, John Heche alitoa mtazamo wake kuhusu hali ya kisiasa, kuhama vyama, na msimamo wa Chadema kwa waliohama CHADEMA na kwenda Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) "Watu waliotoka kwa wingi ambao wamewahi kuwa viongozi kwenye chama hiki ni watu walioenda chama...
  16. Mafyangula

    John Heche: CHADEMA itatoa taarifa ya michango yote, baada ya tarehe 29 ya Kamati kuu

    Makam Mwenyekiti wa CHadema John Heche wakati akijibu moja ya swali aliloulizwa kupitia kipindi cha Jana na Leo kuhusu kampeni ya Tone Tone hadi sasa CHadema wamekusanya kiasi gani amesema bado yeye ajui hii ni kutokana na kufungiwa kufanya shughuli zozote zile za kichama. Soma Pia: John...
  17. Mafyangula

    John Heche: Chadema tupo tayari kumpokea Halima Mdee

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa John Heche amesema wao kama CHADEMA wapo tayari kupokea Halima Mdee Heche ameyasema hayo kwenye kipindi cha Jana Na Leo kupitia Wasafi Fm Aprili 15, 2026
  18. Waufukweni

    PostGE2025 John Heche: Tupo tayari kumpokea Halima Mdee CHADEMA

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, John Heche amezungumzia kurejea kwa Halima Mdee ndani ya chama hicho wakati wa mahojiano kupitia Wasafi FM; "Kwanza niseme Halima ni rafiki yangu, na mimi nampenda na anajua. Tumekuwa naye kwenye chama... ni mtu nampenda, anajua...
  19. R

    Judgement ya CHADEMA hii hapa

    Soma judgement ya CHADEMA hapa =========== At the High Court of Tanzania, the respondents herein instituted a petition against the applicants both jointly and severally for the following substantive reliefs: One, declaration that the applicants are in breach of section 6A (1), (2) and (5) of...
  20. kibori nangai

    Yeriko Nyerere Umesahu nini CHADEMA

    Habari zenu wananchi wenzanguu Niweke wazi mimi ni aina gani ya mtuu. Mimi sipendi kuona mtu yoyote anaonewaa. Sasa leo niko na Yericko Nyerere Umesahau nini CHADEMA mbona ni kama unatumia nguvu nyingi kuisema CHADEMA kwa mabaya Wakati mimi na wengine wengi tunaona kama unapoteza mdaa...
Back
Top Bottom