chadema

CHADEMA (Chama cha Demokrasia na Maendeleo)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni chama cha kiasiasa nchini Tanzania ambacho kilianzishwa tarehe 28 Mei 1992 na mwanasiasa mkongwe Edwin Mtei, aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha katika miaka 1997 hadi 1979.

Mwaka 2000 CHADEMA hakikuwa na mgombea wa Urais. Mwaka 2005 mgombea wa CHADEMA Freeman Mbowe alikuwa namba tatu kati ya wagombea kumi akapata asilimia 5.88 za kura.

Mwaka 2010 CHADEMA ilipata asilimia 27.1% na mgombea Urais wa chama Wilbroad Peter Slaa na kura 4,627,923 kwa 31.75%.

Hata hivyo CHADEMA imekataa matokeo mengi kutokana na mchakato mzima kuwa mikononi mwa Tume ya Uchaguzi isiyo huru.
  1. L

    Ni aibu na fedheha kubwa sana kwa CHADEMA Kushindwa Kuwa Na Vitega Uchumi Kwa Miaka 34 Na Kuishia Kuombaomba Tu Michango Inayoishia Kutafunwa hovyo

    Ndugu zangu Watanzania, CHADEMA ni Lichama La Hovyo sana kuwahi kutokea katika Taifa letu. Ni lichama lisilo na mbele wala nyuma. Ni lichama ambalo halinaga Dira wala Muelekeo. Limejaa na kusheheni Viongozi wasio na Maono wala Dira wala Muelekeo wala mipango wala mikakati ya mbele. Ni Lichama...
  2. ngara23

    Napata mashaka mno na CHADEMA, wamelegeza msimamo wao?

    Kwa ufahamu wangu japo mdogo naona chadema wameregeza kamba kwenye hoja na misimamo Yao Kwadababu 1. Kushangilia ushindi fake wa kuruhusuwa kufanya siasa. Naona mtandao viongozi wa Chadema wakifurahi mno. Hivi hawa akina Heche wanaona ati mahakama imewatendea haki?😂 2. Media tour ya Heche...
  3. M

    Anaeamini Chadema ina nguvu, hajui siasa za Tanzania

    Anaeamini Chadema ina nguvu, hajui siasa za Tanzania. Chama hivi sasa wanaosikilikana Heche, Mnyika na Amani. Tofauti na zamani Mdee Bulaya Boniface Jackub Salum Mwalim Kigaira
  4. Mkalukungone Mwamba

    Mbunge: CHADEMA kufunguliwa ina dhihirisha 'utawala bora' wa awamu ya sita

    Mbunge wa Lupembe Edwin Swale adai CHADEMA kufunguliwa ina dhihirisha 'utawala bora' wa awamu ya sita, 'mama anapenda vyama vyote'.
  5. baz kaiza

    Tunasema always msaliti ni msaliti tu Halima Mdee kurudi chadema. Nachoweza kusema mnatafuta kusalitiwa tena Chama na Simba Mdee na Chadema

    Ukishangaa ya Chama na Simba utaona ya Mdee na chadema ni kweli chadema imeshindwa ku move on kwa Mdee? Huyu alishakua msaliti na msaliti ni msaliti tu.
  6. Waufukweni

    PostGE2025 Tundu Lissu: Nipo tayari kwa mazungumzo nikiwa huru na CHADEMA ikifutiwa kesi zote

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, amewasilisha orodha ya mambo saba muhimu anayoyachukulia kama msingi wa mustakabali wa demokrasia na utawala wa sheria nchini Tanzania. Soma maamuzi ya Kesi: Mahakama ya rufani yairuhusu CHADEMA kuendelea na shughuli za...
  7. M

    Msemaji wa CHADEMA amepwaya sana

    Huwa najiuliza sana sipati jibu 1. Sijui kwanini sio verified member wa JF. 2. Sijui huu woga umetokea wapi? 3. Naamini anatumia I'd ambayo not verified. Kwanini atumie I'd iliojificha? Mbona dk Slaa akiwa mtumiaji mzuri wa JF, achilia mbali hoja hiyo. Hoja nyengine kwamba amekuwa mbali sana...
  8. Waufukweni

    PostGE2025 John Heche: Walioondoka CHADEMA na kwenda CHAUMMA walitaka Madaraka

    Katika mahojiano yake na Wasafi FM, John Heche alitoa mtazamo wake kuhusu hali ya kisiasa, kuhama vyama, na msimamo wa Chadema kwa waliohama CHADEMA na kwenda Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) "Watu waliotoka kwa wingi ambao wamewahi kuwa viongozi kwenye chama hiki ni watu walioenda chama...
  9. Mafyangula

    John Heche: CHADEMA itatoa taarifa ya michango yote, baada ya tarehe 29 ya Kamati kuu

    Makam Mwenyekiti wa CHadema John Heche wakati akijibu moja ya swali aliloulizwa kupitia kipindi cha Jana na Leo kuhusu kampeni ya Tone Tone hadi sasa CHadema wamekusanya kiasi gani amesema bado yeye ajui hii ni kutokana na kufungiwa kufanya shughuli zozote zile za kichama. Soma Pia: John...
  10. Mafyangula

    John Heche: Chadema tupo tayari kumpokea Halima Mdee

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa John Heche amesema wao kama CHADEMA wapo tayari kupokea Halima Mdee Heche ameyasema hayo kwenye kipindi cha Jana Na Leo kupitia Wasafi Fm Aprili 15, 2026
  11. Waufukweni

    PostGE2025 John Heche: Tupo tayari kumpokea Halima Mdee CHADEMA

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, John Heche amezungumzia kurejea kwa Halima Mdee ndani ya chama hicho wakati wa mahojiano kupitia Wasafi FM; "Kwanza niseme Halima ni rafiki yangu, na mimi nampenda na anajua. Tumekuwa naye kwenye chama... ni mtu nampenda, anajua...
  12. R

    Judgement ya CHADEMA hii hapa

    Soma judgement ya CHADEMA hapa =========== At the High Court of Tanzania, the respondents herein instituted a petition against the applicants both jointly and severally for the following substantive reliefs: One, declaration that the applicants are in breach of section 6A (1), (2) and (5) of...
  13. kibori nangai

    Yeriko Nyerere Umesahu nini CHADEMA

    Habari zenu wananchi wenzanguu Niweke wazi mimi ni aina gani ya mtuu. Mimi sipendi kuona mtu yoyote anaonewaa. Sasa leo niko na Yericko Nyerere Umesahau nini CHADEMA mbona ni kama unatumia nguvu nyingi kuisema CHADEMA kwa mabaya Wakati mimi na wengine wengi tunaona kama unapoteza mdaa...
  14. Q

    Zuio la Chadema kufanya siasa lafutwa.

    BREAKING NEWS CHADEMA FREE TO CONTINUE POLITICAL ACTIVITIES - COURT RULES‼️ The Court of Appeal in Dodoma has ruled that the only real opposition party @ChademaTZ2 that was illegally banned from conducting political activities last year is now free to conduct activities as it wishes! This is...
  15. Heparin

    Mahakama ya rufani yairuhusu CHADEMA kuendelea na shughuli za kisiasa nchini

    Mahakama ya rufani kanda ya Dodoma imetengua maamuzi ya Mahakama kuu yaliyoizua CHADEMA kufanya shughuli za kisiasa nchini katika kesi iliyofunguliwa na Said Issa na wenzake dhidi ya Bodi ya Wadhamini wa chama na Katibu Mkuu, maarufu kama kesi ya Mgawanyo wa mali za chama. Sasa CHADEMA ni ruksa...
  16. Waufukweni

    PostGE2025 CHADEMA: Mahakama ya Rufaa kusoma uamuzi wa kesi ya Saidi Issa Mohamed leo Aprili 15, 2026

    Mahakama ya Rufaa inatarajiwa kusoma uamuzi wa kesi ya Saidi Issa Mohamed dhidi ya CHADEMA leo Aprili 15, 2026. Chama kimesema kimepokea taarifa hiyo kutoka mahakamani na kuahidi kuujulisha umma kuhusu matokeo ya uamuzi huo mara tu utakapotolewa. Kesi hii inahusiana na mgawanyo wa mali na...
  17. Idugunde

    Pamoja na kumuweka Tundu Lissu gerezani bila makosa. Rais Samia anazidi kuchukiwa huku CHADEMA ikizidi kupata nguvu mitaaani

    Fuatilia kwa ukaribu jinsi wafuasi wa Chadema wanavyozidi kuwa na mshikamano na umoja. Iwe kwenye misiba na hata kwenye michango ya kisaidiana kwa matatizo ya kichama au binafsi. Mitaani Rais Samia anachukiwa kama kiongozi kibaraka wa genge la wanaCCM ambao wapo madarakani kuwaibia Watanzania...
  18. M

    Ushauri kwa chadema wakae na Rais katika ufumbuzi wa Tundu lissu

    Hivi sasa uendeshaji wa dunia umebadilika. UNO ipo lkn kama mpitishaji wa ajenda za USA ICC ipo lkn haiwezi kuikosoa Isreal. Vipo vyombo vya habari vikubwa kama bbc , CNN lkn vyote hivyo huvisikii kumkosoa Trump. Yaani hivi sasa dunia inavyoendeshwa kama inaendeshwa na watu na sio mihimili...
  19. The Palm Beach

    Video: CHADEMA wamjibu Chalamila & Katibu mwenezi wa CCM - Kenani Kihongozi kwa utetezi wao dhaifu wa kupanda kwa bei ya nishati ya petrol

    https://youtu.be/QIqjJSoPFQ4?si=3-ZD6Dz4OrPa60Oq HOJA ZA UTETEZI WA SERIKALI HARAMU YA CCM ILIYOJIWEKA MADARAKANI KWA MTUTU WA BUNDUKI KUMTWISHA MZIGO MWANANCHI: ##Wanasema, wananchi acheni kulalamika, bebeni tu mzigo huu wa gharama kwa kuwa ni mwepesi sana na kwa kuwa: 1. Bei zetu CCM na...
  20. H

    Siikubali CCM kwa namna wanavyoendesha nchi ila Sina Imani na mpinzani wake CHADEMA

    Habari wanajf Japo sipendezwi na aina ya uongozi wa mama kwa baadhi ya Mambo na namna CCM inavyorun nchi lakini Nina Imani sio wote CCM ni wabaya wapo ambao wanaweza kufanya mabadiliko na wengine hawafurahishwi na baadhi ya vitu vinavyofanyika, pamoja na ubaya wote wa CCM ila Kuna Mambo ya ovyo...
Back
Top Bottom