26 Agosti 2026
Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Lembrus Mchome, anadaiwa kukabiliwa na hatua zaidi za kinidhamu ndani ya chama hicho, baada ya viongozi kujadili uwezekano wa kumvua uanachama.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka ndani ya chama, Amani Golugwa, Naibu Katibu Mkuu wa...