Kwa nini CHADEMA inawapokea waliohama

Kwa nini CHADEMA inawapokea waliohama

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
25,763
Reaction score
50,236
Katiba ya nchi na Sheria ya vyama vya siasa inaonesha vyama vya siasa ni vyama vya hiyari na ni mali ya umma.

Katiba zote za vyama vya siasa havijaweka kipengere cha kuzuia mtu akihama asirudi tena kwenye chama husika kwa kuwa itakuwa ni kinyume cha Katiba na sheria za nchi.

Ila vyama vyote vina kanuni ya kuwaangalia waliorudi kabla ya kuwapa madaraka ndani ya vyama vyao.

Vyama vya siasa ni mlango wazi, anayetoka huwezi kumzuia asitoke na anayeingia huwezi kumzuia asiingie.
 
Katiba ya nchi na Sheria ya vyama vya siasa inaonesha vyama vya siasa ni vyama vya hiyari mali ya umma.

Katiba zote za vyama vya siasa havijaweka kipengere cha kuzuia mtu akihama asirudi tena kwenye chama husika kwa kuwa itakuwa ni kinyume cha Katiba na sheria za nchi.

Ila vyama vyote vina kanuni ya kuwaangalia waliorudi kabla ya kuwapa madaraka ndani ya vyao.

Vyama vya siasa ni mlango wazi, anayetoka huwezi kumzuia asitoke na anayeingia huwezi kumzuia asiingie.
Nadhani chadema,
inawapokea wanaorudi kwasababu wanachama wake wengi ilionao hawana msaada wowote zaidi ya kua ni waporomosha matusi wenye mihemko, makasiriko na chuki useless badala ya kusaidia na kuitetea agenda na hoja za chadema bila kutukana.


Lakini pai,
nadhani chadema inawapokea wanao rudi kwakua ni haki na uhuru wa kikatiba kwa mwanachama wa chama chochote cha siasa nchini, kuhama na kurejea kwenye chama apendacho kadiri ya maono na matamanio yake.

kuwanyima nafasi au fursa kama hiyo wananchi,
kwanza ni kudidimiza ustawi wa demokrasia nchini, lakini pia ni kumdidimiza ustawi wa vyama vya siasa nchini ikiwa ni pamoja na chadema yenyewe. 🐒
 
Kwa vile haki ya kumfukuza mwanachama ipo. Tusifadhaike Sana.
Tuwafukuze hawa akina Selasini wakionekana wanaenda kinyume cha taratibu za chama.
 
Kwa vile haki ya kumfukuza mwanachama ipo. Tusifadhaike Sana.
Tuwafukuze hawa akina Selasini wakionekana wanaenda kinyume cha taratibu za chama.
Hii ndiyo hoja ya kujadili. Lakini unamfukuza kwa kufanya nini... Aina hii ya watu ni kuwapuuza tu.
 
Back
Top Bottom