cctv

CCTV stands for Closed-Circuit Television. It is widely known as video surveillance.

Unlike regular television broadcasts that are sent out to the public, "closed-circuit" means the video feed is transmitted privately to a specific, limited number of monitors
  1. Gordon Technology

    JamiiForums Tanzania Fundi Wa Cctv Camera in Mwanza

    Piga 0746373222. Je? Unaishi mkoa wa mwanza au mikoa ya kanda ya ziwa na umekuwa unajiuliza wapi utapata mafundi wa cctv camera(Specialists of security system) ndani ya mwanza. Km jibu ni ndiyo basi majibu yako ni rahisi sana wasiliana nasi kwa kupiga namba hiyo hapo(0746373222) na utapata...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Cctv video: Kuweni makini mnapokuwa mnarudi majumbani usiku, Anusurika kuvamiwa na majambazi Getini

    Hii imetokea 10/08/2025, Goba madale karibu na Joy Eslava , mdada alikua anasubiri kufunguliwa geti alisahau remote ndani. Wakati anasubiri, hao jamaa wa boda wakamvamia. aliweza kuwakimbia ila kaumia mkono walimkata na kisu, pia kaumia jicho, vioo viliingia kwenye jicho moja. Asubuhi amesema...
  3. D

    JamiiForums Tanzania Huduma za ufundi wa vifaa vya electronics na umeme

    Karibu kwa huduma ya ufundi wa vifaa vyote vya electronics na umeme, kwa ufundi wenye uhakika bila ubabaishaji na uaminifu wa hali ya juu. Vifaa hivyo ni kama;- Tv aina zote, Projectors, Amplifiers, mixers, Vinanda, Machine za kufulia, machine kubwa na ndogo za kuprint, machine za mazoezi...
  4. Gordon Technology

    JamiiForums Tanzania Back Up Power For Cctv Camera

    Contacts☎️0746373222 Kwa wale ambao wamefunga mifumo ya cctv camera kwa ajili ya ulinzi na pia una hitaji hata kama umeme ukikatika basi cctv camera ziendelee kufanya kazi basi suluhisho lako tunalo. Sote tuna tambua kuwa umeme unapokatika basi cctv camera huzimika mpk pale umeme wa tanesco...
  5. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mauaji ya Albert Ojwang Kenya: Angalia CCTV camera zilivyowaumbua police wakikana kuhusika kuhusika na mauaji yake

    IGP wa Kenya alisema kuwa Ajwang alijipiga kweye kuta za gereza na kujiua. Ona CCTV camera zilivyomuumbua!
  6. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mtaalamu aliyevuruga mfumo wa CCTV kwenye kituo cha polisi alichoshikiliwa Ojwang' kwa malipo ya Ksh 3,000 amekamatwa

    Mtuhumiwa wa pili amekamatwa kuhusiana na mauaji ya kikatili ya mwalimu mwenye umri wa miaka 31, Albert Ojwang’, hatua inayozidi kuongeza uzito wa uchunguzi wa tukio hilo la kusikitisha. Vyanzo vya karibu na Citizen Digital vimethibitisha kuwa fundi aliyedaiwa kuvuruga mfumo wa CCTV katika...
  7. Fbn

    JamiiForums Tanzania Inakuwaje CCTV ikaweza kuona majini na wachawi ila waganga wakashindwa kutuonesha

    Kama umefunga CCTV majumbani na kwengine muwe mnapitia rekodi mtakuja kugundua mengi sana. CCTV inauwezo gani wa kujua mpaka muriro kapita.
  8. V

    JamiiForums Tanzania Imarisha ulinzi wa mali zako nyumbani na ofisini kwa kufunga CCTV CAMERA leo.

    Karibu tukufungie cctv camera leo kwa ubora wa hali ya juu na kwa gharama nafuu. Huduma zetu ni za uhakika na tunazingatia mahitaji ya mteja. -Tunazo camera nzuri zinazoonyesha picha nzuri 24/7 Tunazo brand maarufu za Dahua na HIk Vision Tunatoa mafunzo bure kwa mteja jinsi ya kutumia na...
  9. V

    JamiiForums Tanzania Je unahangaika kupata huduma ya kufunga cctv camera kwa ajili ya ulinzi wa mali zako? Karibu tukuhudumie.

    Nenda kidigitali na ishi kwa amani bila kuhofia usalama wa mali zako nyumbani au ofisini kwa kufunga Cctv camera leo. Tunazo camera nzuri za kisasa zinazoonyesha picha nzuri usiku na mchana zenye 2MP Tunao mafundi wazuri wenye uzoefu wa kutosha Tunazo brand maarufu za Dahua na HIk VISION...
  10. V

    JamiiForums Tanzania Funga Cctv camera kwa ulinzi imara

    Ishi bila wasiwasi kwa kufunga Cctv camera nyumbani au ofisini kwako. Tunao ujuzi na uzoefu wa kutosha na tunafunga camera zenye ubora wa hali ya juu. Utaona picha angavu zenye rangi usiku na mchana. Tupigie kupitia simu namba 0764308320 . Karibu tukuhudumie.
  11. V

    JamiiForums Tanzania Karibu ujipatie huduma ya cctv camera

    Imarisha ulinzi wa nyumba ,ofisi au sehemu ya biashara kwa kufunga Cctv camera. Tunazo camera zenye ubora zinaonyesha picha angavu( HD) hata usiku. Pia unaweza kuangalia matukio yote kupitia kwenye simu yako ya mkononi ukiwa popote. Bei zetu ni nzuri na tunao mafundi wazuri wenye uzoefu wa...
  12. Gordon Technology

    JamiiForums Tanzania Fundi wa cctv camera in dar es salaam

    Piga 0746373222..Je,.unahitaji fundi wa CCTV camera Kwa ajili ya kutengeneza na kuboresha CCTV camera zako ndani ya dar es salaam? Je, unahitaji ushauri wa kitaalamu kuhusu CCTV camera kabla ya kufunga au baada ya kufunga? Je,umekua ukisumbuliwa na fundi wako wa CCTV camera kukupa huduma Bora...
  13. K

    JamiiForums Tanzania CCTV Camera Hikvision 4-Channel Kit

    HIKVISION KIT 4CHANNEL CCTV CAMERA Features; → Full channel HD resolution recording DVR → High Definition Camera → Mega-pixel Resolution → Live view from PC, MAC, Smartphone & Tablets → HDMI Output for HD local playback... ➡️ Price 785,000/=Tsh Contact;0719 38 99 90
  14. The Watchman

    JamiiForums Tanzania Meya jiji la Arusha: Tutahakikisha tunafunga CCTV Camera mitaa ya Arusha

    Meya wa Jiji la Arusha, Maxmillian Matle Iranqhe, amesema Halmashauri ya Jiji hilo imetenga zaidi ya shilingi bilioni 4 kwa mwaka wa fedha 2025 kwa ajili ya kuboresha miundombinu, ikiwemo ununuzi wa mitambo ya kutengeneza barabara. Akizungumza na waandishi wa habari Februari 26, 2025, Meya...
  15. Mwanza CCTV CAMERA

    JamiiForums Tanzania FUNDI CCTV CAMERA MWANZA , ELECTRIC FENCE, REMOTE GATE, ALARM SYSTEM MWANZA 0747274532

    Tunafunga CCTV camera, alarm systm, Electric Fence, Remote gates nk Tunafunga camera za ulinzi majumbani, maofisini, mashuleni, hospitali, migodini, mashambani nk. Tunaunga mifumo yote kwenye sjmu ya mkononi hivyo utaweza kuona matukio yote kwenye simu yako ukiwa popote pale. Tunafunga fensi...
  16. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania DC wa ILALA Asubuhi kaja na "HALA BI MKUBWA" akishirikiana na Mwijaku, Jioni anakuja na CCTV za zaidi ya Million 500 !!

    Mbwembwe za kumtumia Mwijaku na Yale Makamera, Lengo lake Sasa ni hili la CCTV Kwa zaidi ya Milion 500 . Hapo anajua Kamtekenya Mama, kwahiyo Hatoulizwa hiiii gharama vipi? Sawa ni Cameras, kuwepo na Center ya uchakataji wa Taarifa , bado Milioni 500? Jamaa anakula na Kupuliza. sOMA: Pre...
  17. upupu255

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mkurugenzi wa Jiji Dar asema Jiji halitawavumilia wakandarasi wanaochelewesha miradi, Ufungaji wa kamera za CCTV katika Soko la Kariakoo kuanza

    Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Elihuruma Mabelya, amesisitiza kuwa jiji hilo halitawavumilia wakandarasi wanaochelewesha miradi. Tamko hilo amelitoa katika Viwanja vya Karimjee kwenye hafla ya utiaji saini wa miradi mitano muhimu inayolenga kuboresha huduma za jamii na...
  18. Half american

    JamiiForums Tanzania Utapunguza kufanya nini endapo CCTV camera itafungwa ndani unapoishi?

    Ikitokea katika chumba/Nyumba yako zikafungwa CCTV Camera, ni mambo gani utakayopunguza kuyafanya?
  19. The Watchman

    JamiiForums Tanzania Jiji la Dodoma 2025 limetenga milioni 300 kuweka kamera za ulinzi barabarani (CCTV ) yakitokea matukio kama la Tundu Lissu 2017 zinachakachuliwa

    Badala ya kubana matumizi/ kuondoa matumizi mabaya wakati huu ambao misaada imesitishwa mathalani sekta ya afya kutoka USAID fedha kama hizi zingesaidia kuziba gaps zinanunuliwa CCTV camera ambazo ukitokea uhalifu hazitoi msaada wowote na kukaa kama mapambo tu... mfano tukio la Lissu 2017...
  20. K

    JamiiForums Tanzania CCTV Camera Installation

    Tuna toa huduma za kufunga camera popote Tanzania na Zanzibar. Ofisini, Majumbani, Viwandani, Mashuleni, nk. Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba 0773373839 Au fika ofisini kwetu Buza kanisani, Dar es salaam Bububu, Zanzibar
Back
Top Bottom