cctv

CCTV stands for Closed-Circuit Television. It is widely known as video surveillance.

Unlike regular television broadcasts that are sent out to the public, "closed-circuit" means the video feed is transmitted privately to a specific, limited number of monitors
  1. Mwanamwana

    JamiiForums Tanzania RC Chalamila: Tunafanya utafiti tusajili CCTV Camera ili unachokiona na sisi tukione

    Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila amesema kwasasa wanafanyia utafiti camera zinazofungwa majumbani kwa watu au sehemu mbalimbali nazo zisajiliwe kama ndege ambazo hazina rubani(drones) kwa sababu baadhi ya camera hizo hutumiwa vibaya na watu kuchunguza maisha ya watu binafsi...
  2. Fbn

    JamiiForums Tanzania Mbinu za kujisafisha kwa mataifa mengine zinvyozidi kuonesha udanganyifu wenu serikali ya CCM. Na hili la UN limebuma

    Picha anayoonyesha Kombo baada ya kumbabatiza Katiba Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayosema ni ofisini kwa Katibu Mkuu, siyo kweli. HAIKUWA OFISINI kwa maana nyingi, hakuna, Mkutano rasmi wa Kombo na Katibu Mkuu uliofanyika hili alipokea document tu Mazingira ya ofisi za Katibu Mkuu wa UN ni...
  3. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kuna video ya CCTV inaonyesha polisi wanapiga vijana lakini kuna kivuli kinatembea kwa nyuma. Je, kuna matumizi ya AI?

    Angalia kwenye barabara, kuna kiumbe hakionekani vizuri kinatembea Isije ikawa wataalam wa ku edit videos na kutumia AI wapo kazini Kufikia sekunde ya 37, utaona kiumbe kingine kikionekana upande wa pili wa gari nyeusi, kikikimbilia kuelekea kwa mwenzake karibu na gari hilo. Baada ya hapo...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Polisi wanalazimisha biashara ns nyumba zenye cctv kufuta picha.

    Kama una cctv ambayo imechukua picha zozote za maandamano, tafadhali hamisha hizo picha haraka na kuzitunza. Wanataka dunia isijue kilichotokea. Kama una ndugu Unajua ana cctv mfikishie ujumbe. Wa record hizo taarifa zote na kuzificha. Polisi wanaanza kupita kwenye biashara za watu kufuta...
  5. Ashampoo burning

    JamiiForums Tanzania Wizi wa Karne! Benki Kuu Yaibwa Bila CCTV Kuona – Hela Zaidi ya Bilioni 180 Tsh Zimepulizwa

    Tarehe 8 Agosti 2005, Jumatatu pale Ceará, Brazil – mambo yalilipuka! Wakati walinzi wa benki walikuwa kwenye ukaguzi wao wa kawaida ndani ya chumba cha hazina, wakakutana na kitu cha ajabu sana. Mbele yao, shimo kubwa limetobolewa sakafuni, na kumbe si mchezo – zaidi ya tani 3.5 za hela...
  6. Mwanza CCTV CAMERA

    JamiiForums Tanzania Fundi CCTV camera, Mwanza

    Offer offer offer!!!! Pata complete set ya cctv camera 4 ikiwa na vitu vyote pamoja na ufundi kwa bei ya 750,000 tu ✓ufundi bure ✓tunamfata mteja popote alipo kwa gharama Zetu ✓camera zetu ni high quality ✓zina nasa sauti hivyo unaweza kusikiliza maongezi ✓zina mwanga mzuri hata kama ni...
  7. Mwanza CCTV CAMERA

    JamiiForums Tanzania Tunafunga CCTV Camera, tupo Mwanza

    Tunafunga CCTV camera, alarm systm, Electric Fence, Remote gates nk Tunafunga camera za ulinzi majumbani, maofisini, mashuleni, hospitali, migodini, mashambani nk. Tunaunga mifumo yote kwenye sjmu ya mkononi hivyo utaweza kuona matukio yote kwenye simu yako ukiwa popote pale. Tunafunga fensi...
  8. Gordon Technology

    JamiiForums Tanzania Fundi Wa Cctv Camera in Mwanza

    Piga 0746373222. Je? Unaishi mkoa wa mwanza au mikoa ya kanda ya ziwa na umekuwa unajiuliza wapi utapata mafundi wa cctv camera(Specialists of security system) ndani ya mwanza. Km jibu ni ndiyo basi majibu yako ni rahisi sana wasiliana nasi kwa kupiga namba hiyo hapo(0746373222) na utapata...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Cctv video: Kuweni makini mnapokuwa mnarudi majumbani usiku, Anusurika kuvamiwa na majambazi Getini

    Hii imetokea 10/08/2025, Goba madale karibu na Joy Eslava , mdada alikua anasubiri kufunguliwa geti alisahau remote ndani. Wakati anasubiri, hao jamaa wa boda wakamvamia. aliweza kuwakimbia ila kaumia mkono walimkata na kisu, pia kaumia jicho, vioo viliingia kwenye jicho moja. Asubuhi amesema...
  10. D

    JamiiForums Tanzania Huduma za ufundi wa vifaa vya electronics na umeme

    Karibu kwa huduma ya ufundi wa vifaa vyote vya electronics na umeme, kwa ufundi wenye uhakika bila ubabaishaji na uaminifu wa hali ya juu. Vifaa hivyo ni kama;- Tv aina zote, Projectors, Amplifiers, mixers, Vinanda, Machine za kufulia, machine kubwa na ndogo za kuprint, machine za mazoezi...
  11. Gordon Technology

    JamiiForums Tanzania Back Up Power For Cctv Camera

    Contacts☎️0746373222 Kwa wale ambao wamefunga mifumo ya cctv camera kwa ajili ya ulinzi na pia una hitaji hata kama umeme ukikatika basi cctv camera ziendelee kufanya kazi basi suluhisho lako tunalo. Sote tuna tambua kuwa umeme unapokatika basi cctv camera huzimika mpk pale umeme wa tanesco...
  12. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mauaji ya Albert Ojwang Kenya: Angalia CCTV camera zilivyowaumbua police wakikana kuhusika kuhusika na mauaji yake

    IGP wa Kenya alisema kuwa Ajwang alijipiga kweye kuta za gereza na kujiua. Ona CCTV camera zilivyomuumbua!
  13. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mtaalamu aliyevuruga mfumo wa CCTV kwenye kituo cha polisi alichoshikiliwa Ojwang' kwa malipo ya Ksh 3,000 amekamatwa

    Mtuhumiwa wa pili amekamatwa kuhusiana na mauaji ya kikatili ya mwalimu mwenye umri wa miaka 31, Albert Ojwang’, hatua inayozidi kuongeza uzito wa uchunguzi wa tukio hilo la kusikitisha. Vyanzo vya karibu na Citizen Digital vimethibitisha kuwa fundi aliyedaiwa kuvuruga mfumo wa CCTV katika...
  14. Fbn

    JamiiForums Tanzania Inakuwaje CCTV ikaweza kuona majini na wachawi ila waganga wakashindwa kutuonesha

    Kama umefunga CCTV majumbani na kwengine muwe mnapitia rekodi mtakuja kugundua mengi sana. CCTV inauwezo gani wa kujua mpaka muriro kapita.
  15. V

    JamiiForums Tanzania Imarisha ulinzi wa mali zako nyumbani na ofisini kwa kufunga CCTV CAMERA leo.

    Karibu tukufungie cctv camera leo kwa ubora wa hali ya juu na kwa gharama nafuu. Huduma zetu ni za uhakika na tunazingatia mahitaji ya mteja. -Tunazo camera nzuri zinazoonyesha picha nzuri 24/7 Tunazo brand maarufu za Dahua na HIk Vision Tunatoa mafunzo bure kwa mteja jinsi ya kutumia na...
  16. V

    JamiiForums Tanzania Je unahangaika kupata huduma ya kufunga cctv camera kwa ajili ya ulinzi wa mali zako? Karibu tukuhudumie.

    Nenda kidigitali na ishi kwa amani bila kuhofia usalama wa mali zako nyumbani au ofisini kwa kufunga Cctv camera leo. Tunazo camera nzuri za kisasa zinazoonyesha picha nzuri usiku na mchana zenye 2MP Tunao mafundi wazuri wenye uzoefu wa kutosha Tunazo brand maarufu za Dahua na HIk VISION...
  17. V

    JamiiForums Tanzania Funga Cctv camera kwa ulinzi imara

    Ishi bila wasiwasi kwa kufunga Cctv camera nyumbani au ofisini kwako. Tunao ujuzi na uzoefu wa kutosha na tunafunga camera zenye ubora wa hali ya juu. Utaona picha angavu zenye rangi usiku na mchana. Tupigie kupitia simu namba 0764308320 . Karibu tukuhudumie.
  18. V

    JamiiForums Tanzania Karibu ujipatie huduma ya cctv camera

    Imarisha ulinzi wa nyumba ,ofisi au sehemu ya biashara kwa kufunga Cctv camera. Tunazo camera zenye ubora zinaonyesha picha angavu( HD) hata usiku. Pia unaweza kuangalia matukio yote kupitia kwenye simu yako ya mkononi ukiwa popote. Bei zetu ni nzuri na tunao mafundi wazuri wenye uzoefu wa...
  19. Gordon Technology

    JamiiForums Tanzania Fundi wa cctv camera in dar es salaam

    Piga 0746373222..Je,.unahitaji fundi wa CCTV camera Kwa ajili ya kutengeneza na kuboresha CCTV camera zako ndani ya dar es salaam? Je, unahitaji ushauri wa kitaalamu kuhusu CCTV camera kabla ya kufunga au baada ya kufunga? Je,umekua ukisumbuliwa na fundi wako wa CCTV camera kukupa huduma Bora...
  20. K

    JamiiForums Tanzania CCTV Camera Hikvision 4-Channel Kit

    HIKVISION KIT 4CHANNEL CCTV CAMERA Features; → Full channel HD resolution recording DVR → High Definition Camera → Mega-pixel Resolution → Live view from PC, MAC, Smartphone & Tablets → HDMI Output for HD local playback... ➡️ Price 785,000/=Tsh Contact;0719 38 99 90
Back
Top Bottom