Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
Ndugu zangu Watanzania,
Ukweli Mchungu ni kuwa Kwa kazi kubwa iliyokuwa imefanywa na Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan katika awamu yake ya kwanza ya uongozi. Ilimfanya na kufanya kukosekana kwa mbadala wake wa kupeperusha Bendera ya CCM hata kama angekuwa hahitaji...
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimefafanua kuwa kuzuiwa kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kufanya shughuli zake za kisiasa hakutokani na uamuzi wa CCM wala Serikali, bali ni maagizo ya Mahakama Kuu ya Tanzania.
kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa Januari 21, 2026, Katibu wa...
Kujua siri za mtu yeyote.
Kujua siri za herufi.
Kujua siri za maneno.
Kujua shughuli za siri.
Kwa mashauri ya kijeshi ya kamanda.
Kujua siri za...
Kujua utajiri mtu alionao.
Kujua siri ya sanaa zote.
12\1 MEGILLA, E....... G......, I......, L......, L......, A.....M
12\2 SIMBASI, I...
https://www.youtube.com/watch?v=JoLdIMXPKac
Serikali ya Kijiji cha Namwangwa, Kata ya Hezya Wilayani Mbozi mkoani Songwe ikiongozwa na Mwenyekiti Japhet Mbukwa imeachia madaraka kwa madai ya Mtendaji wa Kata amemkamata na kumshikilia katika ofisi yake kwa madai ya kuwa Mwenyekiti huyo...
Leo hii hii nchi ni mali ya familia na koo za wanaCCM.
Familia za akina Kikwete, Samia, Mwinyi Nyererere na hat akina Jenista Mhagama ndio wanarithishana madaraka ya nchi hii.
Wewe mpuuzi ambae huna mbele wala nyuma CCM ya nini kwako?
Laiti mngekuwa na hekima hata kidoogo kabisa, mlipaswa mnyamaze kabisaa hata uongozi wenu uiishe tuu ili tujue moja kwamba, tunapaswa Tuishi nanyi kwa kukwepana sana ili tunusuru uhai wetu
Mnaisemea Rwanda eti haina Amani, Nchi ndoogo kama mji wa Dar-es-salaam
Nchi ambayo GDP yake inaelekea...
Fuatilia kila anapopita na kusikiliza kero za watu. J
Hakuna muitikio au msisimko kama kuna kiongozi mkuu wa chama tawala yupo kusililiza kero na kujua mapunngufu ya chama chake.
CCM haikubaliki kwa sasa hii ndio picha kamili.
Mwenezi wa CCM nae hakubaliki.
Chama cha Mapinduzi ni chama cha siasa, lakini ndani yake kinaonekana ni chama cha kifamilia kutokana na historia inavyojionyesha huko nyuma,
Kuna baadhi ya Wabunge wake waliofariki kwenye majimbo yao na nafasi zao kuchukuliwa na watoto wao.
Mf; Omary Abdallah Kigoda - Handeni
Salum Turkey -...
Namshukuru Mungu kuwa miongoni mwa watanzania waliopata bahati kushiriki siasa za Tanzania tangu uchaguzi wa kwanza wa vyama vingine mwaka 1995.
Lakini Kila miaka inavyosonga mbele naona idadi ya watanzania wanaoishangilia CCM ikitangazwa kushinda chaguzi yoyote ile, inazidi kupungua...
Naziona juhudi za CCM kupambana na watu wanaotumia mitandao ya kijamii kukikosoa chama hicho.
China nchi ambayo CCM wanajibaraguza kuwa wanafuata mfano wake, hawazimi mitandao bali huwapa wachina mbadala wa kile wanachozuia wasitumie.
Sasa CCM wanazima TikTok, Whatsapp, YouTube na Twitter bila...
GT
maCCM mnapoteza mda kujinadi kwa.maneno ya kwenye kanga watz wana hasira sana na ninyi.
Hakuna neno mtakalosema mkaeleweka matendo yenu ndiyo yatakayoamua hatima yenu.
Tuna.hasira sana hii M029 imetuachia majonzi makubwa hayatasahaurika kamwe mioyoni mwetu na hatutawasemehe kamwe.
Wito kwa Watanzania.
Achaneni na huyu mpuuzi Kenan Kihongosi anayewakilisha kiburi cha Taasisi anayotoka ( ccm) na kebehi za chama chao kwa Watanganyika baada ya kutuua na kumwaga damu zetu kikatili sana.
Achaneni na Waigizaji wote na CCM na madalali wao ambao muda huu wanalipwa kuleta maigizo...
Nimekuwa nikijiuliza sana imekuwaje hawa jamaa wamegeuka ghafla kuwa machawa wa ccm na wapumbavu kupindukia? Badala ya kusimamia maslahi ya wananchi na Taifa sasahivi wanasimamia maslahi ya CCM? Ila sasa nimepata majibu.
Angalia mwenyewe! Huwezi kuwa na kitambi alafu ukawa na akili.
Askari wa...
Mjumbe wa Kamati ya Uendeshaji Chipukizi CCM Taifa Ndg. Isaac M. Nchemba amewaasa Watanzania kuipenda na kuilinda nchi ya Tanzania kwakuwa kupitia upendo ndipo uzalendo wa kuijenga nchi kimaendeleo kwa mtu mmoja kunatokea pia amewaasa wazazi na walezi kuwaonjesha watoto tunu hiyo ya uzalendo kwa...
Kitendo cha Kihongosi kumfokea Mzee Warioba kwa sababu tu katoa maoni tofauti na chama chake CCM si cha kiungwana kinatakiwa kukemewa na jamii nzima na wapenda haki wote.
Mzee hanuniwi mzee hafokewi hata kama kakosea kuna njia nzuri na sahihi za kumueleza.
Kiumri Kihongosi ni mjukuu wa Mzee...
Yuko wapi Polepole na yule kijana wa Mbeya ambae alipotea baada ya kulipiwa faini na wanaCHADEMA?
Vpi kuhusu Ufisadi unaoendelea sasa hivi hapa nchini?
Vipi kuhusu CCM mtandao kula keki ya taifa mpala kuvimbiwa?
Leo hii mnadhania kusomesha vijana Veta kuwq mama ntilie ndio CCM itakubalika?
Kuna Padre Askari Komando, Architect, muhadhiri wa chuo kikuu alipata umaarufu sana kwenye vyombo vya habari miaka minne iliyopita.
Anaitwa Dr. Henry Rimisho.
Jamaa ukisikiliza wasifu wake wa elimu na mengineyo unaweza kuwaogopa sana kanisa Katoliki.
Jamaa Askari wa jeshi na alikuwa vitani...
GT.
Ila Mungu anajua kuwaumbua wajinga leo wansema FR Kitima ni Askofu.
Hii ni project endelevu ya kujaribu. kulichafua kanisa ikiongozwa na Mwigulu Nchemba.
Kwa mujibu wa katiba ya Simba viongozi wote wa kuchaguliwa wanafika ukomo mwezi huu mwishoni.
Hadi sasa wanasimba hatuoni dalili yoyote ya uchaguzi tukimaanisha hakuna kamati iliyotangazwa kwa mujibu wa katiba kuendesha zoezi hilo kuanzia hatua za awali ambazo ni kutangazwa tarehe ya uchaguzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.