Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya imefanikiwa kukamata dawa za kuelevya aina ya mirungi kilo 106.25 katika wilaya ya Longido mkoani Arusha zikiwa zinasafirishwa kwa gari aina ya Toyota Wish yenye namba ya usajili T 889 DPG.
Akizungumza Aprili 14,202 jijini Dar es Salaam...
Eti Wakuu?
Mtu ndugu zake wameuliwa Oktoba 29, leo anakwambia mama anaupigwa mwingi, ni mwana demokrasia na mdiplomasia wa kweli!😂🤣
Maisha yanamchapa kweli kweli anaishia kutegemea afsaba saba za kuwa bot kwenys mtandao lakini anakwambia mama hana deni! Aaah huu uzwazwa unahitaji kufanyiwa PhD...
https://youtu.be/QIqjJSoPFQ4?si=3-ZD6Dz4OrPa60Oq
HOJA ZA UTETEZI WA SERIKALI HARAMU YA CCM ILIYOJIWEKA MADARAKANI KWA MTUTU WA BUNDUKI KUMTWISHA MZIGO MWANANCHI:
##Wanasema, wananchi acheni kulalamika, bebeni tu mzigo huu wa gharama kwa kuwa ni mwepesi sana na kwa kuwa:
1. Bei zetu CCM na...
Mbunge wa Kigoma Mjini, Clayton Revocatus Chipando maarufu Baba levo amesema kuwa wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) hawapo bungeni kwa ajili ya kukubaliana na kila hoja inayowasilishwa, bali huchambua na kuchukua msimamo kulingana na maslahi ya wananchi.
Ameongeza kuwa tayari kuna baadhi ya...
Habari wanajf
Japo sipendezwi na aina ya uongozi wa mama kwa baadhi ya Mambo na namna CCM inavyorun nchi lakini Nina Imani sio wote CCM ni wabaya wapo ambao wanaweza kufanya mabadiliko na wengine hawafurahishwi na baadhi ya vitu vinavyofanyika, pamoja na ubaya wote wa CCM ila Kuna Mambo ya ovyo...
Nimekaa mda mrefu na kutochangia JF.Ila leo shauku limenifika.
Hivi tanzania ya leo tuseme usalama,JwTZ,TCRA na wengine au vinara wazuri wa CCM ambao jeshi la polisi wanajitafakari kweli.
Mfano leo tunaona ushambulizi wa vita vya iran na Israel hivi hawa watu wanajua lolote zaidi ya kusema...
Wanabodi kumekuwa na utaratibu licha ya ccm kujigamba kwamba Ina rasilimali watu ya kutosha lakini inaonekana watu smart sana wanapatikana upinzani.
Mwanzo nilijua tu kuwa labda ni kivutio cha kuwashawishi wapinzani wengi kuhamia huko ila baada ya kuona jinsi mashabiki wa ccm wanavyojenga hoja...
Kwanini CHADEMA hawapingi vita Mashariki ya kati ili mafuta yashuke bei?
Katika statement zao, sijaona wala kusikia angalau kuilamu USA kuivamia Iran.
Wao wanamlaumu Rais wa Tanzania tu badala angalau kutoa statement 1 ya kulaumu nchi zilizosababisha haya mambo
Wakuu,
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Kenani Kihongosi, amewajibu wanaoshinikiza kufutwa kwa ushuru na tozo kwenye mafuta, akisema kuwa hatua hiyo ni "udanganyifu wa kisiasa" na jambo ambalo haliwezekani katika uendeshaji wa nchi yoyote duniani.
“Nchi yoyote duniani inaendeshwa kwa kodi...
Nauliza kwa dhati kabisa
Nauliza swali ambalo wengi wanaogopa kuliuliza waziwazi…
Hivi hawa machawa wa CCM wanaishi nchi hii hii tunayoiishi sisi, au wanaishi kwenye dunia yao?
Kwa sababu ukweli hauhitaji kupakwa rangi,
Maisha yamekuwa magumu kupindukia
Vijana hawana ajira
Wananchi wanalia...
CCM na huyo Samia wao, wametenga hela nyingi kwa Content Creators ili wawe wanahoji mambo ya kijinga ili kuwasahaulisha watu Ugumu wa maisha, Ripoti ya CAG na Mauaji waliyofanya tarehe 29 Oktoba 2025 walipokuwa wanalazimisha kuongoza Nchi.
Hii Video ni Ushahidi kwamba tarehe 29 Oktoba 2025...
Mtangazi wa Radio 47 ya Kenya Billy Miya katika kipindi cha Maskani47 amedeai kwamba Msanii wa bongo fleva kutoka hapa Tanzania Diamond Platnumz ametumia pesa kutoka CCM kurebrand Wasafi FM.
March 30 Wasafi fm walizindua studio zao baada ya kufanyiw marekebisho makubwa, wengine wakihoji pesa...
HUYU NDIYE MMOJA WA WABUNGE MZIGO. ANAPEWA KIMEMO NA MAFISADI WAKIONGOZWA NA KENANI KIHONGOZI KWA UJIRA WA 1M NYONGEZA YA POSHO YAKE YA SIKU, ANAFYATUKA BILA KUSHUGHULISHA KICHWA CHAKE KWA KUFANYA UTAFITI MDOGO TU NDIPO APANUE DOMO LAKE KUSEMA
Mtu ‘anayejiita mbunge’ anasema Serikali ya CCM...
Mbunge wa Jimbo la Kalenga, Jackson Gidel Kiswaga akizungumza leo Aprili 2, 2026 kwenye Bunge la 13 Mkutano wa 3 kikao cha 3 Dodoma, ameeleza kuwa kulingana na hali ya kukosekana kwa mafuta duniana kufuatia mgoggoro unaondelea mashariki ya kati inabidi watanzania wakubali bei ya mafuta...
Kama Mwanachadema wa Kanda ya Kaskazini wa Chadema, naijua kanda hii vizuri – tumejenga imani ya wananchi kwa miaka mingi, tumevumilia mateso, na tumeendelea kuwa nguvu ya mabadiliko
Nawakumbusha ndugu zangu wa Chadema: hawa si wa kwanza, wala hawatakuwa wa mwisho. Na hii si habari mbaya tu –...
KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (SUKI), Rabia Abdalla Hamid amewasilisha salamu za pole za Chama kwa Algeria, kutokana na kifo cha Rais Mstaafu wa nchi hiyo, Liamine Zeroual.
Rabia aliwasilisha rambirambi hizo leo Aprili 1...
TANU baba mzazi wa CCM aliyezaliwa 07/07/1954 na kuzikwa mwaka 05/02/1977 aliondoka na mambo yake yote.
Kuzaliwa kwa CCM kulichagizwa na sababu ya Muungano wa nchi mbili Tanganyika ambaye ni Marehemu na Zanzibar zote zikiwa nchi zenye mamlaka kamili.
Waasisi waliamini Muungano tu hautoshi,ili...
DIWANI AFARIKI DUNIA.
Diwani wa Viti Maalum wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Semeni Musa Mtoka, alimefariki dunia leo Machi 31, 2026.
Marehemu Mtoka amefariki Dunua wakati alipokuwa akipatiwa matibabu katika Cardinal Rugambwa Hospital.
Mwenginee huyu naye kafa
Nimezoea kuone CCM na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.