Vijana kwa sasa tumekuwa watu ambao hatujifunzi style za uongozi bali tunajifunza namna ya kumuwin mwenyekiti akupe cheo tu.Nina mifano mingi ya watu ambao wakiwa vijana walifaa kuwa viongozi wazuri lakini kwa ujinga wao wamepoteza sifa hasa wakati wa JPM waliamini kutukana wazee ndio njia ya kupata cheo haraka haraka.Wanacho sahau ni kuwa unayemtukana anawafuasi wanao mwamini.Kusema kuna democracy hapa tukatae.
Hivi ushaona duniani kuna vyama vina vaa sale na kuweka vyeo vya mfano wa kijeshi.View attachment 3636369
Wao ni migambo!Onesha mabega kama wamevaa vyeo