ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. baz kaiza

    Uzuri ni kwamba tumejua CCM itaondoka madarakani sio kwa box la kura bali ni kwa Nguvu ya Umma

    Watanzania wote wenye akili timamu na wananchi wote wamejua kupitia uchaguzi wa mwaka huu kwamba CCM haiwezekani kuondoka madarakani kwa box la kura na box la kura ni utapeli mtupu baada ya wananchi 98% kuonekana wamepiga kura kitu ambacho ni Uongo...
  2. G

    CCM watawezaje kuandaa taifa la watu wenye uadilifu , watawezaje kufundisha watoto wetu wasiibe , wasile rushwa wasiue wasiseme uongo ?

    Kama tutakosa taifa lenye kizazi Cha watu wenye uadilifu Nini hatima ya Taifa letu ? Watawafundishaje kushindana bila kumuua mpinzni wako kimasomo kibiashara na kimaisha ? Mzazi anafurahi kuona anaondoka akiwa amewaacha wototo wake kwenye mazingira salama Kwa matendo tuliyoyaona ya Serikali...
  3. Mkalukungone Mwamba

    PostGE2025 BAVICHA: Yalitokea Oktoba 29, Serikali ya CCM wameharibu msingi wasitafute wa kumuangushia Jumba bovu"

    Baraza la Vijana wa CHADEMA Taifa kupitia kwa Katibu Muenezi wa BAVICHA Taifa, Felius Festo kinimi watoa tamko juu ya yaliyotokea yaliyotokea Oktoba 29, 2025, "wameharibu msingi wasitafute wa kumuangushia Jumba bovu"
  4. D

    CCM Kizimkazi tayari wanamsagia kunguni Emmanuel Nchimbi

    Kama upo Dodoma wakati huu utayasikia haya; CCM Kizimkazi, CCM Janjaweed tayari wanamsagia kunguni Dr.Nchimbi, kwamba asijikute yeye ni Rais. Hawapendezwi na “tone” ya maridhiano ya Dr.Nchimbi. Wanadai ndiyo kwanza kumekucha “mission unaccomplished”, penda tusipende. Wakati Ukuta, Watanganyika...
  5. M

    It takes longer to crawl out of a hole than it does to fall into it, its sad Ccm makes no effort to crawl out

    Despite what happened in the darkness, the truth is coming out fiercely every day like a volcano, and the evidence is overwhelming. Yet, there has been: No accountability. No resignations. No appeasements. No investigations No public mourning No local media coverage No relief.
  6. H

    Nitaendelea kusisitiza wapinzani wote ni CCM, munielewe

    Viongozi wa upinzani wote Tanzania ni mamruki wa ccm wanalipwa kufanya maigizo ndiyo maana hawadhuriki kwenye maandamano na familia zao kwa serikali inagharamia kila kitu ikiwemo kuwalipa wanapokaa ndani na kuhudumia famialia zao. Hiyo ya kukamatwa mara kwa mara ni geresha kuwapumbaza...
  7. D

    Tafakari hii fedheha: Hakuna kiongozi hata mmoja wa juu kutoka CCM mwenye uwezo wa kufanya mahojiano na media kubwa kama Al Jazeera au CNN

    Hiyo ni kuanzia na aliyejiapisha hadi aliyeapisha. Ukweli ni kwamba hawa wanaojiita viongozi wetu ni dumbheads tu hakuna kitu vichwani mwao. Yan wao ni full janjajanja, ghilba, wizi, ufisadi na uongo. Wakati akina Kagame na akina Ruto interviews za AJ, CNN na BBC huzigonga tu kama wananawa...
  8. Dumelang

    Ukishangaa ya CCM utayaona ya Watanzania

    Hawa “Watoto” wanaoisumbua CCM na Serikali yake, CCM waliwaandaa wenyewe. Kama vile Mkoloni alivoandaa waafrika kwa nafasi duni za ukarani, mesenja nk akiamini wakiwa na elimu kubwa watamwangusha akawapa Elimu duni ya Masingi tu lakini ajabu haohao bado wakatumika kumtoa, “mkoloni hakuamini.”...
  9. ngara23

    Misimamo wetu ni ule ule hatutaki maridhiano na CCM wauaji

    Agenda ya Chama chakavu cha mauaji ni kuleta maridhiano baada ya kuuwa Watanganyika zaidi ya 10,000 Kesho Chama chakavu cha mauaji kinaenda kumhidhinisha spika wa bunge na Waziri mkuu Tundu Lissu ataachiwa J5. DPP atafuta kesi Leo wamewaachia viongozi wa Chadema bila masharti ili kuonyesha...
  10. Voltaire

    GE2025 Kwa lilitokea Oktoba 2025 naamini hata CCM wamepata madhara kwa katiba kumpa Rais mamlaka yaliyopitiliza

    Short and clear, madaraka ya rais kikatiba yanapaswa kuangaliwa vizuri mnooo...yaliyotokea ni mojawapo ya madhara hayo. Waliokuwa wanaona suala la katiba ni Agenda nyepesi naamini wameo a kilichotokea! Usimamizi ni kwenye rasilimali za Taifa je? Naamini tunaelekea kuipata katiba ya haki na...
  11. J

    Wajumbe/mabalozi wa CCM watupa bendera za chama chao

    Habari za muda huu waungwana! Katika Hali ya kustaajabisha, wakati wa pita pita zangu katika kata yangu nimekuta BENDERA ZA ccm ambazo tumezoea kuziona zikipepea katika nyumba za mabalozi/wajumbe wa ccm zikiwa zimeshushwa, wengine wamefika hatuna ya kuzifanya tambara za kudekia
  12. Mayor Quimby

    Nini kimeipata Tanzania na CCM

    Back in the days, wakati najiunga JF kwa kufuata mkumbo; nilikuwa namtukana raisi wa muda huo JK. Being me, sikosi haters; kulikuwa na mods wana re-type posts zangu nionekane siwezi hata kuandika. Lakini uwezi zuia uwezo, na vichwa vya CCM vilkuwa vinapita humu; vinaona uwezo. Na pengine...
  13. figganigga

    27January 2001, CCM iliekeza Majeshi kuua na kubaka watu Zanzibar waliotaka Katiba Mpya

    Swali kwa CCM, Mtaendelea kutumia Polisi watuue hadi lini? Watu wakilalamikia Uchaguzi tu muunatuma Polisi watubambikize kesi, wakidai katiba mpya tu risasi. Mtatuua hadi lini? Ni mauaji ya sisi kwa sisi yatafika kikomo? Mtu akishavvaa sare yya jeshi anajiona si Mtanzania. Anageuka kuua ndugu...
  14. The Palm Beach

    Ansbert Ngurumo (Video): Mlipata wapi kura 32,000,000 za Samia?

    https://youtu.be/a3x3e1QFasQ?si=WxGatqMY68D7RZ8v Hili ni swali la Ansbert Gurumo kupitia Youtube Channel yake (SK Media Online TV) Na huyu hapa 👇🏻👇🏻ni mmoja wa watazamaji wake waliotoa maoni yake akijitambulusha kuwa yeye alikuwa msimamizi wa kituo cha kupigia kura huko Shintanga, Manispaa ya...
  15. The Burning Spear

    CCM sikio la Kufa Zungu Hawezi kuendesha bunge la kuisimamia Serikali sahau

    GT Nadhani kwa sasa mnaona wote jinsi serikali ilivyoanza na uhuni bungeni. Zungu ni team msoga genge la wahuni hawezi kuruhusu mjadala wowote wa maana wenye tija kwa taifa. Amewekwa pale kulinda maslahi ya mafisadi hakuna jingine tumwombe tu mungu afanye yake mapema
  16. tpaul

    Ushahidi: Jinsi CCM "walivyoshinda uchaguzi" kwa kishindo cha 98%

    Mbinu zilizotumika kwenye "uchaguzi" wa mwaka 2020 ndizo walizopanga kuzitumia pia mwaka 2025. Lakini safari hii liliwakuta jambo ikabidi wabadili gea angani. Mwaka 2020 wasimamizi wa vituo waliletewa matokeo ya bandia na ARO Kata wakati upigaji wa kura halali ukiendelea. Hizo kura za mchongo...
  17. C

    CCM msitupigie kelele mnapo kuwa mnagonga meza kwa shangwe pale bungeni huwa mnaona mnatunga sheria za kuwakomoa CHADEMA na fikra zinakomea hapo

    Mkiwa na viongozi wasio na maono haya ndio madhara yake, mnapo kuwa kwenye vikao vya chama mnapitisha mambo huwa hamuwazi nje ya kikao hicho , na manapo kuwa mnapitisha sheria za hovyo pale bungeni kwa umoja na mshikamano mkubwa kabisa huwa hamuwazi nje ya pale.sasa mnatulalamikia nini huku...
  18. Genius Man

    Kwa mauwaji ya kutisha yaliyofanyika hata Kikwete na CCM wanamshangaa huyu mama haijawai tokea

    Kikwete alishawai kuwa raisi sizani kama anahusika na mauwaji haya bali at as kuwa katika mshangao mkubwa vile nchi inavyoenda. Wasanii nao walikuwa ni mama mama na wanashangaa yanayoendelea huyu mama ni laana mlifanya makosa makubwa sana kumuunga mkono. Kwa mauwaji ya kutisha yaliyofanyika...
  19. President of China

    Napendekeza: Tuwe na CCM Pekee Kama Ilivyo China na CCP, Vyama Vingine Visiwe Washindani Bali Vishiriki Ndani ya CCM

    Katika kipindi cha miaka ya karibuni, siasa za ushindani nchini Tanzania zimegeuka kuwa uwanja wa lawama, chuki, na migawanyiko badala ya kuwa chanzo cha mawazo ya maendeleo. Vyama vingi vya upinzani vimeshindwa kuja na sera mbadala zinazotekelezeka, badala yake vimekuwa vikijikita katika maneno...
  20. A

    Ushauri wangu kwa CCM

    Kwenye maandamano ya tarehe 9 CCM wasijaribu kutumia ile mbinu ambayo walitumia tarehe 29 watakuwa wamekosea sana na pia watakuwa wamejiingiza kwenye matatizo makubwa sana ambayo kuyazima Itachukuwa mda sana Unajua kwanini Kilichotokea tarehe 29 kiliwapa watu picha halisi ya kujua upande wa...
Back
Top Bottom